TISS mnatuangusha tunaowaamini kwa kutomsaidia Rais na Mali za Taifa letu

TISS mnatuangusha tunaowaamini kwa kutomsaidia Rais na Mali za Taifa letu

uwenda awana meno zaidi,wanachakata taarifa kisha wanazipeleka ngazi zingine zifanyiwe kazi.
Rais mwenye mamlaka ya kila aina kutulalamikia mbele ya camera ameonyesha kushindwa na hawezi kufanya jambo kuchukua hatua au kukomesha.
 
Mkuu si unawakutaga pale ndani. Wamejibana wanashindia JD huku wanashangaa matako ya Mambise. Sasa kweli wale ndio watulindie pesa zetu [emoji1787][emoji1787]
Hahaha sana tu

Nmecheka tu nkikumbuka visa vyao wakiwaga sehemu za manywaji

Ova
 
Shida ni kuwa GENTAMYCINE pale walipoanza kusifiwa au kupewa sifa wasizokuwa nazo ndiyo shida ilipoanzia .

Ni mimi mpaka mwaka 2002 na umri wangu wakati huo na elimu yangu na kuishi wanapokaa na kufanya mipango kazi sikuwahi hata kuona vitambulisho vyao .

Ni mpaka nilipoamua kuvitafuta ili nivijue vikoje basi ikawa ni ujinga mtu sasa hivi wako bize kujitangaza kwa kila rika .

Mpaka mkulima ukimuuliza kitambulisho cha Teeth anakuambia kikoje kwa kutaja S-CODE Mpaka No CODE sasa hapo unafikiri kuna usalama tena rafiki .

Sasa hivi wako bize na ujinga ujinga kikubwa warejee mihiko na utaratibu wa huko nyuma kutoka 2002 kushuka chini la sivyo hatuna watu wa kuangalia usalama wa taifa letu .

"Stupid pumbavu kabisa" Alisikika dada mmoja pale chumba namba 17 , akiwafokea watoto wake waliodokoa mboga .
Aka sabaya
 
TISS inawezekana vipi Mtu anakopa au anaiba Pesa za Watanzania na Kukimbia nchi halafu hamjui?

TISS kuna Matukio mengi sana yanaendelea nchini ambayo mna Dhamana nayo Kiusalama ila huwa hakuna hatua mnazochukua Kukabiliana nazo.

Hivi TISS mnajua kuwa mnaaminika n kuheshimika sana na Watanzania kuliko hata Taasisi zingine nchini?

TISS kama kweli mngekuwa imara Kiutendaji Wala jana ( Mama / Rais ) asingelalamika vile huku akiwa na Masikitiko makubwa.

TISS kama mnaweza Kufuatilia mambo mengine ( hata yale yasiyokuwa ya Msingi ) mnashindwa nini Kukabiliana na Hawa Wanaoitafuna Kiulini Keki ya Tanzania?

TISS hivi Wengine ( Watu wa Kawaida ) hapa JamiiForums ( hasa Mimi GENTAMYCINE ) tukiwa tunawapeni Changamoto na Ushauri huwa mnaufanyia Kazi japo mnaweza kuwa mnatudharau mkiamini hatuna a,b,c's za Mambo ya Kiusalama?

TISS Wengine tunaumia kwa tunayoyaona na mambo kuharibika huku mkiwepo kwakuwa mmetulea ( hasa Kifamilia ) na tunajiuliza mbona TISS ya kuanzia Uhuru au aliyomaliza nayo Mzee ( Family Friend ) Marehemu Cornel Apson Mwang'onda ( Baba Jimmy ) aliyewahi kuwa DGIS ilikuwa Imara na kamwe haikutiliwa mashaka kama TISS ya sasa?

Mwisho ni Ombi langu tu GENTAMYCINE Kwenu TISS kuwa hebu rejeeni na ule mtindo wenu wa Kuajiri Watu Werevu hasa, wenye Vimelea vyote vya Kimuonekano kuwa wanafaa kwa Kazi yenu hiyo Kubwa na Nyeti lakini achaneni na Mtindo Siri wa sasa wa Kuajiri Watu wenu ( wa Idara ) kutoka UVCCM au kwa Vimemo vya Watawala Wastaafu, Watoto wao wenye Ushawishi, Wakuu ( Wakurugenzi wenu ), Wakuu wa Taasisi zingine za Kimedani, Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Mahawara.

Japo mna Mapungufu yenu kadhaa ya Kiutendaji ila bado GENTAMYCINE nina Imani Kubwa nanyi na natambua pia Uwajibikaji wenu Uliotukuka katika Usalama wa Taifa letu hili zuri la Tanzania.
TISS wako bize na chadema
 
TISS inawezekana vipi Mtu anakopa au anaiba Pesa za Watanzania na Kukimbia nchi halafu hamjui?

TISS kuna Matukio mengi sana yanaendelea nchini ambayo mna Dhamana nayo Kiusalama ila huwa hakuna hatua mnazochukua Kukabiliana nazo.

Hivi TISS mnajua kuwa mnaaminika n kuheshimika sana na Watanzania kuliko hata Taasisi zingine nchini?

TISS kama kweli mngekuwa imara Kiutendaji Wala jana ( Mama / Rais ) asingelalamika vile huku akiwa na Masikitiko makubwa.

TISS kama mnaweza Kufuatilia mambo mengine ( hata yale yasiyokuwa ya Msingi ) mnashindwa nini Kukabiliana na Hawa Wanaoitafuna Kiulini Keki ya Tanzania?

TISS hivi Wengine ( Watu wa Kawaida ) hapa JamiiForums ( hasa Mimi GENTAMYCINE ) tukiwa tunawapeni Changamoto na Ushauri huwa mnaufanyia Kazi japo mnaweza kuwa mnatudharau mkiamini hatuna a,b,c's za Mambo ya Kiusalama?

TISS Wengine tunaumia kwa tunayoyaona na mambo kuharibika huku mkiwepo kwakuwa mmetulea ( hasa Kifamilia ) na tunajiuliza mbona TISS ya kuanzia Uhuru au aliyomaliza nayo Mzee ( Family Friend ) Marehemu Cornel Apson Mwang'onda ( Baba Jimmy ) aliyewahi kuwa DGIS ilikuwa Imara na kamwe haikutiliwa mashaka kama TISS ya sasa?

Mwisho ni Ombi langu tu GENTAMYCINE Kwenu TISS kuwa hebu rejeeni na ule mtindo wenu wa Kuajiri Watu Werevu hasa, wenye Vimelea vyote vya Kimuonekano kuwa wanafaa kwa Kazi yenu hiyo Kubwa na Nyeti lakini achaneni na Mtindo Siri wa sasa wa Kuajiri Watu wenu ( wa Idara ) kutoka UVCCM au kwa Vimemo vya Watawala Wastaafu, Watoto wao wenye Ushawishi, Wakuu ( Wakurugenzi wenu ), Wakuu wa Taasisi zingine za Kimedani, Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Mahawara.

Japo mna Mapungufu yenu kadhaa ya Kiutendaji ila bado GENTAMYCINE nina Imani Kubwa nanyi na natambua pia Uwajibikaji wenu Uliotukuka katika Usalama wa Taifa letu hili zuri la Tanzania.
Rais ndo hajali mali za taifa. Kawakabidhi watu wafanye wapendavyo. Kisa kuheahimu katiba.

Magu hakuwa mjinga kwenda na mdundo wa kila mradi. Alijua mbongo akiachiwa hawezi kujisimamia.
 
Mama Juzi katukokosea sana Watz , Yaani head of State uje kulalamika kwa wanainchi wako kuwa wateule wako Wanahusika kwenye madili ya kukodoa na kufyonza fyonza tu , who will care. Hata kwenye ngazi ya Familia tu tunaona Mtoto akifanya kosa hutoona Dingi akija kwa kulalamika mbele ya wanafamilia eti mtoto wangu huyu kaiba hela Chumbani niloicha , huwa ni bakola tu mpaka yeye atasema dad sitorudia tena.

Kitendo cha jana Mama kuja kulalamika ni dhahili kuwa ule mhimili hana uwezo wa kuuongoza
 
Jina TISS lilikua siri kubwa ,utendaji kazi wao ulikua impartial na smart, na ilikuwa ipo respected na iliwatia hofu mafisadi na wezi wa pie yetu, Leo hii hata kuficha number plates za magari yao ni zero, na upuuzi mkubwa kuweka double number plate kwenye gari moja na why mnatumia SA number plates kwenye magari yenu?
#
 
Kama mnawatumia kuzima ugaidi au kuua political opponents wa serikali why wasiue au kuteka mafisadi?

Tuseme tu TISS ipo kulinda maslahi ya serikali sio ya nchi.
Labda Kulinda serikali iliokuwepo madarakani na sio nchi (aka $). Ila ni vizuri kila mmoja kuwa tiss wa familia yake majirani na mtaa wako. Utakuwa verified tiss katika taifa lako pendwa Tanzania. Uzalendo ndo kitu muhimu katika taifa lako 😂😂 #43
 
Back
Top Bottom