myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Wamwagieni ushauri, mengi yatafanyiwa kazi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha sana tuMkuu si unawakutaga pale ndani. Wamejibana wanashindia JD huku wanashangaa matako ya Mambise. Sasa kweli wale ndio watulindie pesa zetu [emoji1787][emoji1787]
Pumbavu.Wewe kama nani wa kutuambia nini cha kufanya na nini tusifanye?
Sasa ngoja tukutafute utueleze vizuri mbele yetu.
Idiot.Ati hawafanyi kazi huyu kizibo kweli. Hayo unayoyasikia unadhani ni malaika wameyashusha?
Hebu wapewe meno zaidi uone moto wake.
Aka sabayaShida ni kuwa GENTAMYCINE pale walipoanza kusifiwa au kupewa sifa wasizokuwa nazo ndiyo shida ilipoanzia .
Ni mimi mpaka mwaka 2002 na umri wangu wakati huo na elimu yangu na kuishi wanapokaa na kufanya mipango kazi sikuwahi hata kuona vitambulisho vyao .
Ni mpaka nilipoamua kuvitafuta ili nivijue vikoje basi ikawa ni ujinga mtu sasa hivi wako bize kujitangaza kwa kila rika .
Mpaka mkulima ukimuuliza kitambulisho cha Teeth anakuambia kikoje kwa kutaja S-CODE Mpaka No CODE sasa hapo unafikiri kuna usalama tena rafiki .
Sasa hivi wako bize na ujinga ujinga kikubwa warejee mihiko na utaratibu wa huko nyuma kutoka 2002 kushuka chini la sivyo hatuna watu wa kuangalia usalama wa taifa letu .
"Stupid pumbavu kabisa" Alisikika dada mmoja pale chumba namba 17 , akiwafokea watoto wake waliodokoa mboga .
kila siku Unapokunya kwako kwenye choo cha shimo bila bughdha kwa amani ujiulizi ni kwasababu ya akina nani wanakupa huo uhuru wa kukata kimba kwenye mazingira ya amani na tulivu?Pumbavu.
TISS wako bize na chademaTISS inawezekana vipi Mtu anakopa au anaiba Pesa za Watanzania na Kukimbia nchi halafu hamjui?
TISS kuna Matukio mengi sana yanaendelea nchini ambayo mna Dhamana nayo Kiusalama ila huwa hakuna hatua mnazochukua Kukabiliana nazo.
Hivi TISS mnajua kuwa mnaaminika n kuheshimika sana na Watanzania kuliko hata Taasisi zingine nchini?
TISS kama kweli mngekuwa imara Kiutendaji Wala jana ( Mama / Rais ) asingelalamika vile huku akiwa na Masikitiko makubwa.
TISS kama mnaweza Kufuatilia mambo mengine ( hata yale yasiyokuwa ya Msingi ) mnashindwa nini Kukabiliana na Hawa Wanaoitafuna Kiulini Keki ya Tanzania?
TISS hivi Wengine ( Watu wa Kawaida ) hapa JamiiForums ( hasa Mimi GENTAMYCINE ) tukiwa tunawapeni Changamoto na Ushauri huwa mnaufanyia Kazi japo mnaweza kuwa mnatudharau mkiamini hatuna a,b,c's za Mambo ya Kiusalama?
TISS Wengine tunaumia kwa tunayoyaona na mambo kuharibika huku mkiwepo kwakuwa mmetulea ( hasa Kifamilia ) na tunajiuliza mbona TISS ya kuanzia Uhuru au aliyomaliza nayo Mzee ( Family Friend ) Marehemu Cornel Apson Mwang'onda ( Baba Jimmy ) aliyewahi kuwa DGIS ilikuwa Imara na kamwe haikutiliwa mashaka kama TISS ya sasa?
Mwisho ni Ombi langu tu GENTAMYCINE Kwenu TISS kuwa hebu rejeeni na ule mtindo wenu wa Kuajiri Watu Werevu hasa, wenye Vimelea vyote vya Kimuonekano kuwa wanafaa kwa Kazi yenu hiyo Kubwa na Nyeti lakini achaneni na Mtindo Siri wa sasa wa Kuajiri Watu wenu ( wa Idara ) kutoka UVCCM au kwa Vimemo vya Watawala Wastaafu, Watoto wao wenye Ushawishi, Wakuu ( Wakurugenzi wenu ), Wakuu wa Taasisi zingine za Kimedani, Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Mahawara.
Japo mna Mapungufu yenu kadhaa ya Kiutendaji ila bado GENTAMYCINE nina Imani Kubwa nanyi na natambua pia Uwajibikaji wenu Uliotukuka katika Usalama wa Taifa letu hili zuri la Tanzania.
Wameomba kupewa hayo Meno wakanyimwa?Tiss haijapewa meno ya kufanya kazi
Rais ndo hajali mali za taifa. Kawakabidhi watu wafanye wapendavyo. Kisa kuheahimu katiba.TISS inawezekana vipi Mtu anakopa au anaiba Pesa za Watanzania na Kukimbia nchi halafu hamjui?
TISS kuna Matukio mengi sana yanaendelea nchini ambayo mna Dhamana nayo Kiusalama ila huwa hakuna hatua mnazochukua Kukabiliana nazo.
Hivi TISS mnajua kuwa mnaaminika n kuheshimika sana na Watanzania kuliko hata Taasisi zingine nchini?
TISS kama kweli mngekuwa imara Kiutendaji Wala jana ( Mama / Rais ) asingelalamika vile huku akiwa na Masikitiko makubwa.
TISS kama mnaweza Kufuatilia mambo mengine ( hata yale yasiyokuwa ya Msingi ) mnashindwa nini Kukabiliana na Hawa Wanaoitafuna Kiulini Keki ya Tanzania?
TISS hivi Wengine ( Watu wa Kawaida ) hapa JamiiForums ( hasa Mimi GENTAMYCINE ) tukiwa tunawapeni Changamoto na Ushauri huwa mnaufanyia Kazi japo mnaweza kuwa mnatudharau mkiamini hatuna a,b,c's za Mambo ya Kiusalama?
TISS Wengine tunaumia kwa tunayoyaona na mambo kuharibika huku mkiwepo kwakuwa mmetulea ( hasa Kifamilia ) na tunajiuliza mbona TISS ya kuanzia Uhuru au aliyomaliza nayo Mzee ( Family Friend ) Marehemu Cornel Apson Mwang'onda ( Baba Jimmy ) aliyewahi kuwa DGIS ilikuwa Imara na kamwe haikutiliwa mashaka kama TISS ya sasa?
Mwisho ni Ombi langu tu GENTAMYCINE Kwenu TISS kuwa hebu rejeeni na ule mtindo wenu wa Kuajiri Watu Werevu hasa, wenye Vimelea vyote vya Kimuonekano kuwa wanafaa kwa Kazi yenu hiyo Kubwa na Nyeti lakini achaneni na Mtindo Siri wa sasa wa Kuajiri Watu wenu ( wa Idara ) kutoka UVCCM au kwa Vimemo vya Watawala Wastaafu, Watoto wao wenye Ushawishi, Wakuu ( Wakurugenzi wenu ), Wakuu wa Taasisi zingine za Kimedani, Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Mahawara.
Japo mna Mapungufu yenu kadhaa ya Kiutendaji ila bado GENTAMYCINE nina Imani Kubwa nanyi na natambua pia Uwajibikaji wenu Uliotukuka katika Usalama wa Taifa letu hili zuri la Tanzania.
Hawahusiki kabisa, na ukumbuke wao ni washauri tu na kama ilivyo desturi, ukiletewa ushauri kuna kukubali au kukataa.
Mbuzi wa bwana heri na shamba la bwana heriHiyo TGFA hapo Dg wao ni mtu wa Tiss,na wafanyakazi wengi hapo ni Tiss, ndio hao walioleta invoice ya ongezeko ya malipo ya Mabilioni ya ndege ya mizigo.
#Jina TISS lilikua siri kubwa ,utendaji kazi wao ulikua impartial na smart, na ilikuwa ipo respected na iliwatia hofu mafisadi na wezi wa pie yetu, Leo hii hata kuficha number plates za magari yao ni zero, na upuuzi mkubwa kuweka double number plate kwenye gari moja na why mnatumia SA number plates kwenye magari yenu?
Labda Kulinda serikali iliokuwepo madarakani na sio nchi (aka $). Ila ni vizuri kila mmoja kuwa tiss wa familia yake majirani na mtaa wako. Utakuwa verified tiss katika taifa lako pendwa Tanzania. Uzalendo ndo kitu muhimu katika taifa lako 😂😂 #43Kama mnawatumia kuzima ugaidi au kuua political opponents wa serikali why wasiue au kuteka mafisadi?
Tuseme tu TISS ipo kulinda maslahi ya serikali sio ya nchi.
Haaa Wanakuwa awana ndevu si ndo watu wanavyosemaga mtaani. #Ila siku hizi imekua rahisi sana kumjua mtu wa TISS .