TISS mnatuangusha tunaowaamini kwa kutomsaidia Rais na Mali za Taifa letu

uwenda awana meno zaidi,wanachakata taarifa kisha wanazipeleka ngazi zingine zifanyiwe kazi.
Rais mwenye mamlaka ya kila aina kutulalamikia mbele ya camera ameonyesha kushindwa na hawezi kufanya jambo kuchukua hatua au kukomesha.
 
Mkuu si unawakutaga pale ndani. Wamejibana wanashindia JD huku wanashangaa matako ya Mambise. Sasa kweli wale ndio watulindie pesa zetu [emoji1787][emoji1787]
Hahaha sana tu

Nmecheka tu nkikumbuka visa vyao wakiwaga sehemu za manywaji

Ova
 
Aka sabaya
 
TISS wako bize na chadema
 
Rais ndo hajali mali za taifa. Kawakabidhi watu wafanye wapendavyo. Kisa kuheahimu katiba.

Magu hakuwa mjinga kwenda na mdundo wa kila mradi. Alijua mbongo akiachiwa hawezi kujisimamia.
Your browser is not able to display this video.
 
Mama Juzi katukokosea sana Watz , Yaani head of State uje kulalamika kwa wanainchi wako kuwa wateule wako Wanahusika kwenye madili ya kukodoa na kufyonza fyonza tu , who will care. Hata kwenye ngazi ya Familia tu tunaona Mtoto akifanya kosa hutoona Dingi akija kwa kulalamika mbele ya wanafamilia eti mtoto wangu huyu kaiba hela Chumbani niloicha , huwa ni bakola tu mpaka yeye atasema dad sitorudia tena.

Kitendo cha jana Mama kuja kulalamika ni dhahili kuwa ule mhimili hana uwezo wa kuuongoza
 
#
 
Kama mnawatumia kuzima ugaidi au kuua political opponents wa serikali why wasiue au kuteka mafisadi?

Tuseme tu TISS ipo kulinda maslahi ya serikali sio ya nchi.
Labda Kulinda serikali iliokuwepo madarakani na sio nchi (aka $). Ila ni vizuri kila mmoja kuwa tiss wa familia yake majirani na mtaa wako. Utakuwa verified tiss katika taifa lako pendwa Tanzania. Uzalendo ndo kitu muhimu katika taifa lako 😂😂 #43
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…