TISS mnatuangusha tunaowaamini kwa kutomsaidia Rais na Mali za Taifa letu

Bila kuchukua hatua stahiki, tusitegemee lolote !!!
 
Wale Zacharia aliowalamba risasi kule Mara nao walikuwa hao hao au ni Tessy chocolate?
 
Unataka tisii wainuke waseme mama kwanini unamtuma huyu yankii kwa yoeli kuongelea mali zetu za huko chini ardhini ?

Au oops mbona unapanda gari la raia huko hewani mama?

Au waende roma wakamkamate papa oops sasa imekuwaje mnaongea ukweli ?

Nao upande wanasema .. pombe ni tamu .. ngoja tutaona mwisho ..
 

Unajaribu sema nini?? kwamba kama jamaa wasingeshikilia kipando cha rais (ndege) TISS wangeliona mapema na kushauri kitumike kipando kingine cha umma na kuachilia kile cha sirikali kikawa salama na mateka ya mwarabu?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…