Tito Magoti: Waziri Mkuu unajisikiaje kuwa Kiongozi wa Serikali usiyetaka kuwajibika?

ubarikiwe sana mkuu
ilikuwa inaniuma sana nilipokuwa nakuona mahakamani
hatimaye mungu alisikia dua zangu hapo tarehe 17/3/2021
hakika nilifurahi sana usiku ule, acha mungu aitwe mungu
 
Viongozi wetu, kwa maneno yao wenyewe, wanastahili ma vi8 mapya kuendana na hadhi yao, na "walitusamehe" tozo, pia kwa maneno yao wenyewe.

Tuwashukuru na sio kutegemea zaidi kwa kutaka watuokoe tunapopatwa majanga.
 
Tunajua kuna njama za kumtoa ili makamba aje achukue kitu, kozi yeye anaonekana ndio tishio kwao,CCM mnalaana nyie , wa TZ wanashida mpaka basi mnashindwa kuwatimizia mahitaji Yao , nyie mnawaza kuendelea kubaki madarakani forever nyie NI 🚮🚮
 
Natamani kuongea ila acha tuendelee kupiga kazi… Mama endelea kusimamia mipango yako, wananchi wanakutegemea sana kuwavusha… hiki ni kipindi cha kuwavusha watanzania
 
Punguza ujinga usio na manufaa.Ni mzigo tu kwako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna siku Watanzania watapata wokovu na haki yao kwa kuandikaandika, kubweka bweka na kulialia.

Haki inapatikana kwa watu kujitoa na kwa damu kumwagika, msidanganyike kuna siku haki itakuja mezani kama lunch box, haki hupiganiwa usiku na mchana mitaani na mabarabarani sio JF na kwenye keyboard.
 
Punguza ujinga usio na manufaa.Ni mzigo tu kwako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Bora mjinga!! siku akijifunza ataelewa!! kuliko weye Mpumbavu! kamwe hutaelewa kitu chochote hata tukikutwanga upya tukakuumba!.....Ni Makosa kuropoka hovyo kuhusu Waziri wako Mkuu!

Zama za udikteta unapotezwa faster! kafanye kazi ukome kumuongelea Waziri Mkuu! humpangii cha kufanya weye km nani kwanza?? unajua majukumu ya waziri wa kawaida kweli weye? au umeamua kuropoka tu??

Yeye Majaliwa ange wafufua wafu hao, kwa kuhudhuria kwake pale??...yeye ndoa aliwaua siyo?? kosa afanye Jiwe mkamuogopa!... leo mnamlilia Majaliwa??
 
Ww mapessa kila siku uzi wako ni PM tu?

Huyo Tito Magoti nae akili hana. Siyo kila kitu uanaharakati tu.

Majaliwa amekaliwa vibaya sana na Vijana wa Lumumba aka Buku 7, Vijana Wa Zanzibar, Nape Nnauye, J. Makamba, Mama Mkubwa, J.K. Kuna kijana mmoja dalali wa Siasa Zitto Zuberi Kabwe, juzi kwenye mdahalo wa Gesi kamdhihaki PM. Genge ni kubwa mnoo kumsakama PM. Wana hofu nae 2025.

Hivyo basi, Watanzania tusiwe wapumbavu na bendera fuata upepo..eti Kila baya Kassim Majaliwa. Aahh Hapana Aisee!!

Majaliwa usijibu. Komaa hivyo hivyo hadi 2025 tukupe nchi wa Bara.

Afu PM awe Anthony Mtakama.
Makamu wa Rais , Luhaga Mpina.
 
Ulionesha utayari na mamlaka katika kusimamia ‘sherehe ya mazishi’ kuliko kuokoa maisha ya watu.
Watu wa Musoma mna tatizo la msingi wa kujua kiswahili ivo ile waona ilikuwa ni sherehe ya Mazishi?? hujuikutofautisha sherehe na Msiba na hujui maana zake?

weye uliona tunafuraha pale?? iombe ofisi ya Waziri Mkuu samahani na mie ntasimamia zoezi hilo! Mapesa =Magoti!= ngoja kwanza!
 
Machi 2021, wakati wananchi wanamtafuta kiongozi wao, ulilitangazia Taifa kuwa Rais Magufuli ni mzima anachapa kazi. Ulisema ukiwa msikitini. Kumbe Rais alikuwa mgonjwa mahututi. Ukikumbuka tukio hili huwa unajiambia nini?
Hili jamaa nalo lina mtindio wa Ubongo nachelea kusema ivo kwa sababu zifuatazo!

1).Muheshimiwa Majaliwa Yeye siyo Daktari wa Binadamu na wala hajawahi kusomea somo lolote linalo husu tiba!..Lkn Magoti anataka Waziri atoe matamko ya kidaktari! huo ni ujinga magoti kasome tena!!

Madaktari wao km wao! ni kutoa matumaini kwa wauguzaji, hiyo ni sehemu ya tiba pia! waziri mkuu akiwa mmoja wao kwa hiyo madaktari walikuwa wanatibu tema nzima kwa kuwapa wao matumaini! kuhusu afya ya Mgonjwa!

2) Yeye km waziri alisomea wapi huo ufahamu wa kujua huyu ni mahututi na huyu si mahututi?? kitaalamu (Death comfirmations??) wataka sema majaliwa alijua jiwe atakufa?? na km alijua hivo kwa nini alimtoa kwa hao madaktari!

Kusema ni mzima na anaendelea na shughuli ni kweli kwa sababu tulimpelekea Forms zilizo kuwa zinahitaji signs zake akafanya kweli! lkn hali ikabadilika baadaye sana, ulitaka tuseme amekufa?? sasa hayo ni mawazo yako si yetu!

Ndo nasema weye Magoti tangu uanze kukubali kutumiwa akili yako haiko sawa! imekaa tenge katibiwe hutaki!
 
Punguza ujinga usio na manufaa.Ni mzigo tu kwako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Wahuni wamejipanga, na mpunga umeshatembea, nyumba ikikosa wakubwa au wakawepo na wasisikizwe, ni tafrani tu.
 
Kwani ukiwa waziri ndo usiwe mbunifu?? au usipeke waaarifu mahakamani?? sheria za Mahakama si ndi njia rahisi au hiyo ni serikali yako?? kuunda tume ni kutafuta kutenda haki ktk misingi ya sheria kosa lao nini?

huna lolote bana wee usitafute umaarufu!
 
Anayenishangaza zaidi ni Rais. Ina maana ameshindwa kumpata mtu mwingine ambaye angeimudu vema hiyo nafasi kuliko huyu ambaye inaonekana hana mipango wala maono, bali hushtuliwa na matukio?
Mkuu, tangu kifo, aliyeshika usukani anachofanya ni kusafiri na ku-twiti, akipata jukwaa, mipasho inarindima!

Waliopewa makali unawaona wakilindima tuwatakavyo, waliokuwa FIRM walitolewa kwa kigezo cha kuwaweka karibu kaka zangu ilhali ni kufuta alama za mtangulizi.

Ingawa pia nakubali kuwa, utendaji wa PM umedhihirisha wazi kuwa unategemea na Supervisor aliyenaye! Kwa sasa, mtindo wake ndo wa supervisor wake.
 
Ukiwa CEO JMT, wananchi wengi wamepotezwa. Hawajulikani walipo. Wamo wakosoaji wa serikali. Haujawahi kujishughulisha kuwatafuta ama kuomba msaada wa kuwatafuta.
watu kupotea kwani yeye ndo kawapoteza inawezekana weye unajua kitu unaweza kutusaidia walipo tuwafuate popote Duniani Watu hupotea mpka leo hawajapatikana hata mifupa sasa sie bongo si kisiwa au sie siyo Malaika wa kujua kila kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…