Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Ni kweli!! kwa sababu ni haki yako ya msingi kufikiria km unavyotaka!....huwezi fanya mambo yote kwa wakti mmoja! kila jambo/neno na wkt wake!kumkosoa kwenye jambo moja sioni logic yoyote hpo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli!! kwa sababu ni haki yako ya msingi kufikiria km unavyotaka!....huwezi fanya mambo yote kwa wakti mmoja! kila jambo/neno na wkt wake!kumkosoa kwenye jambo moja sioni logic yoyote hpo
Chawa Ni wengi wanaomsakama Mh Waziri mkuu.
Ndio maana mzee Lowasa alipojiudhuru alisema tatizo Ni uwaziri mkuu. Watu hatukumuelewa
Mwacheni Waziri mkuu apige kazi, Mfumo wetu wa kimamlaka haujampa Waziri mkuu mamlaka makubwa kumzidi Rais..kwahyo Naye anafuata order kutoka juu