Chawa Ni wengi wanaomsakama Mh Waziri mkuu.
Ndio maana mzee Lowasa alipojiudhuru alisema tatizo Ni uwaziri mkuu. Watu hatukumuelewa
Mwacheni Waziri mkuu apige kazi, Mfumo wetu wa kimamlaka haujampa Waziri mkuu mamlaka makubwa kumzidi Rais..kwahyo Naye anafuata order kutoka juu