Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wawe ndio ex husband wake huo uchi uliuonea wapi?Kwa uchi wake ule mbaya bado ana cheat duh watu majasiri
Unaishi dunia gan video yake aki t*mbwa ujawai iona ?Mkuu wawe ndio ex husband wake huo uchi uliuonea wapi?
Aisee kumbe kwenye pilau, hapana sijawahi kuona.Unaishi dunia gan video yake aki t*mbwa ujawai iona ?
Noma kweliDuh aiseee
Hahahaa! Pole sana dada ila usikate tamaa endelea kumbembeleza mumeo atakusamehe tu, wewe na TIWA mmejifunza kwa njia ngumu mnoHivi kwani hakuna wanaume wanaoshawishiwa na michepuko yao na kuachana na wake zao kisha mambo yakigeuka wanawarudia wake zao, au yakimtokea mwanaume ni sawa ila yakimtokea mwanamke ndio hana akili ili mradi tu mwanamke ndio aonekana ana shida, hebu pelekeni stress zenu huko wapumbavu wapo jinsia zote siyo wanawake tu mada inamhusu tiwa savage majitu yanakuja kusema wanawake hawana akili kawaambieni hivyo mama zenu
sichangii chochote hadi nione uo ubwabwq kwa macho ya nyamaUnaishi dunia gan video yake aki t*mbwa ujawai iona ?
Umalaya wa mwanaume haufananishwi,kupimwa au kulinganishwa na wa mwanaume hata kwa sekunde moja tu kutokana na sababu za kimaumbile,kimapokeo,kiasilia na kihisia.Jitahidi hilo likae kichwani kwa kung'ang'ania lisitoroke.Hivi kwani hakuna wanaume wanaoshawishiwa na michepuko yao na kuachana na wake zao kisha mambo yakigeuka wanawarudia wake zao, au yakimtokea mwanaume ni sawa ila yakimtokea mwanamke ndio hana akili ili mradi tu mwanamke ndio aonekana ana shida, hebu pelekeni stress zenu huko wapumbavu wapo jinsia zote siyo wanawake tu mada inamhusu tiwa savage majitu yanakuja kusema wanawake hawana akili kawaambieni hivyo mama zenu
Waendelee kujuta sasa wakati wake wa kujioaAman iwe kwenu akina mama na akina Baba wote wa jamiiforum
Huko kwa wakuitwa TIWA SAVAGE kimeumana
Baada ya mchepuko kumpiga sound naye akajaa leo ndo kaanza kulia Lia na kumkumbuka mume wake wa ndoa
Wanawake ni viumbe wajinga sana wasiokuwa na akili hata moja
Akili kubwa waliyonayo ni kuvaa na kuvua chupi zao tu
LONDON BOY
---
Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, Tiwa Savage amesema anajutia kuachana na mume wake, Tunji Balogun maarufu kama Teebillz na kuanzisha uhusiano na mwanaume mwingine.
Msanii huyo amebainisha hayo wakati akifanya mahojiano na jarida la Elle South Africa na kusema hiyo ndio moja ya kosa kubwa ambalo amewahi kufanya.
"Nilimfanya mume wangu asijisikie kuwa mwanaume kwa sababu nilianza kutoka na mwanaume mwingine, bado nampenda na najua nilimkosea lakini nataka kurekebisha mambo na turudiane,” amesema
"Sina uhakika kuwa anaweza kunirudisha tena na sikuwahi kutaka kumpa talaka lakini mwanaume mwingine alinihadaa nimuache mume wangu niwe naye.”
Tiwa ameongeza kuwa sio rahisi mwanamke aliyemwacha mumewe kuolewa na mwanamume mwingine huku akiwasihi wanawake kutofanya alichokifanya.
Mwananchi
Kukiri kosa ni njia mojawapo ya kuonyesha anajutia alicho kifanya, swali linakuja je anaweza kubadilika kweli?Aman iwe kwenu akina mama na akina Baba wote wa jamiiforum
Huko kwa wakuitwa TIWA SAVAGE kimeumana
Baada ya mchepuko kumpiga sound naye akajaa leo ndo kaanza kulia Lia na kumkumbuka mume wake wa ndoa
Wanawake ni viumbe wajinga sana wasiokuwa na akili hata moja
Akili kubwa waliyonayo ni kuvaa na kuvua chupi zao tu
LONDON BOY
---
Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, Tiwa Savage amesema anajutia kuachana na mume wake, Tunji Balogun maarufu kama Teebillz na kuanzisha uhusiano na mwanaume mwingine.
Msanii huyo amebainisha hayo wakati akifanya mahojiano na jarida la Elle South Africa na kusema hiyo ndio moja ya kosa kubwa ambalo amewahi kufanya.
"Nilimfanya mume wangu asijisikie kuwa mwanaume kwa sababu nilianza kutoka na mwanaume mwingine, bado nampenda na najua nilimkosea lakini nataka kurekebisha mambo na turudiane,” amesema
"Sina uhakika kuwa anaweza kunirudisha tena na sikuwahi kutaka kumpa talaka lakini mwanaume mwingine alinihadaa nimuache mume wangu niwe naye.”
Tiwa ameongeza kuwa sio rahisi mwanamke aliyemwacha mumewe kuolewa na mwanamume mwingine huku akiwasihi wanawake kutofanya alichokifanya.
Mwananchi
Mheshimu hata aliyekuzaa na kukulea hadi ukafikia hapo ulipo.Wanawake ni viumbe wajinga sana wasiokuwa na akili hata moja
Wanaume ndo wanaongoza kwa usaliti na kurudi rudi kwa wanawake ni wachache sana.Hivi kwani hakuna wanaume wanaoshawishiwa na michepuko yao na kuachana na wake zao kisha mambo yakigeuka wanawarudia wake zao, au yakimtokea mwanaume ni sawa ila yakimtokea mwanamke ndio hana akili ili mradi tu mwanamke ndio aonekana ana shida, hebu pelekeni stress zenu huko wapumbavu wapo jinsia zote siyo wanawake tu mada inamhusu tiwa savage majitu yanakuja kusema wanawake hawana akili kawaambieni hivyo mama zenu
Msamehe bure akili za nyuma ya keyboard hizo.Mheshimu hata aliyekuzaa na kukulea hadi ukafikia hapo ulipo.
Wewe kucheat Kwa mwanamke ina impact tofauti saana na akicheat mwanaume,Hivi kwani hakuna wanaume wanaoshawishiwa na michepuko yao na kuachana na wake zao kisha mambo yakigeuka wanawarudia wake zao, au yakimtokea mwanaume ni sawa ila yakimtokea mwanamke ndio hana akili ili mradi tu mwanamke ndio aonekana ana shida, hebu pelekeni stress zenu huko wapumbavu wapo jinsia zote siyo wanawake tu mada inamhusu tiwa savage majitu yanakuja kusema wanawake hawana akili kawaambieni hivyo mama zenu
SawaIla maisha haya mnavyojishaua kutusema Wanawake vibaya kama vile hamna ndugu zenu wa kike huko mlipo. Lol.
Jifunzeni kutumia neno baadhi itawasaidia sana na sisi sisi wanawake mnaotuitaa wajinga na tusio na akili baadhi ndo tunaowaongoza huko mnakopata shilingi mbili tatu.