Tiwa Savage: Mchepuko ulinidanganya, najuta kuvunja ndoa yangu, nampigia magoti mume wangu anisamehe

Tiwa Savage: Mchepuko ulinidanganya, najuta kuvunja ndoa yangu, nampigia magoti mume wangu anisamehe

Hivi kwani hakuna wanaume wanaoshawishiwa na michepuko yao na kuachana na wake zao kisha mambo yakigeuka wanawarudia wake zao, au yakimtokea mwanaume ni sawa ila yakimtokea mwanamke ndio hana akili ili mradi tu mwanamke ndio aonekana ana shida, hebu pelekeni stress zenu huko wapumbavu wapo jinsia zote siyo wanawake tu mada inamhusu tiwa savage majitu yanakuja kusema wanawake hawana akili kawaambieni hivyo mama zenu
Hahahaa! Pole sana dada ila usikate tamaa endelea kumbembeleza mumeo atakusamehe tu, wewe na TIWA mmejifunza kwa njia ngumu mno
 
Hivi kwani hakuna wanaume wanaoshawishiwa na michepuko yao na kuachana na wake zao kisha mambo yakigeuka wanawarudia wake zao, au yakimtokea mwanaume ni sawa ila yakimtokea mwanamke ndio hana akili ili mradi tu mwanamke ndio aonekana ana shida, hebu pelekeni stress zenu huko wapumbavu wapo jinsia zote siyo wanawake tu mada inamhusu tiwa savage majitu yanakuja kusema wanawake hawana akili kawaambieni hivyo mama zenu
Umalaya wa mwanaume haufananishwi,kupimwa au kulinganishwa na wa mwanaume hata kwa sekunde moja tu kutokana na sababu za kimaumbile,kimapokeo,kiasilia na kihisia.Jitahidi hilo likae kichwani kwa kung'ang'ania lisitoroke.
 
Aman iwe kwenu akina mama na akina Baba wote wa jamiiforum

Huko kwa wakuitwa TIWA SAVAGE kimeumana

Baada ya mchepuko kumpiga sound naye akajaa leo ndo kaanza kulia Lia na kumkumbuka mume wake wa ndoa

Wanawake ni viumbe wajinga sana wasiokuwa na akili hata moja

Akili kubwa waliyonayo ni kuvaa na kuvua chupi zao tu

LONDON BOY

---
Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, Tiwa Savage amesema anajutia kuachana na mume wake, Tunji Balogun maarufu kama Teebillz na kuanzisha uhusiano na mwanaume mwingine.

Msanii huyo amebainisha hayo wakati akifanya mahojiano na jarida la Elle South Africa na kusema hiyo ndio moja ya kosa kubwa ambalo amewahi kufanya.

"Nilimfanya mume wangu asijisikie kuwa mwanaume kwa sababu nilianza kutoka na mwanaume mwingine, bado nampenda na najua nilimkosea lakini nataka kurekebisha mambo na turudiane,” amesema

"Sina uhakika kuwa anaweza kunirudisha tena na sikuwahi kutaka kumpa talaka lakini mwanaume mwingine alinihadaa nimuache mume wangu niwe naye.”

Tiwa ameongeza kuwa sio rahisi mwanamke aliyemwacha mumewe kuolewa na mwanamume mwingine huku akiwasihi wanawake kutofanya alichokifanya.

Mwananchi
Waendelee kujuta sasa wakati wake wa kujioa
 
Aman iwe kwenu akina mama na akina Baba wote wa jamiiforum

Huko kwa wakuitwa TIWA SAVAGE kimeumana

Baada ya mchepuko kumpiga sound naye akajaa leo ndo kaanza kulia Lia na kumkumbuka mume wake wa ndoa

Wanawake ni viumbe wajinga sana wasiokuwa na akili hata moja

Akili kubwa waliyonayo ni kuvaa na kuvua chupi zao tu

LONDON BOY

---
Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, Tiwa Savage amesema anajutia kuachana na mume wake, Tunji Balogun maarufu kama Teebillz na kuanzisha uhusiano na mwanaume mwingine.

Msanii huyo amebainisha hayo wakati akifanya mahojiano na jarida la Elle South Africa na kusema hiyo ndio moja ya kosa kubwa ambalo amewahi kufanya.

"Nilimfanya mume wangu asijisikie kuwa mwanaume kwa sababu nilianza kutoka na mwanaume mwingine, bado nampenda na najua nilimkosea lakini nataka kurekebisha mambo na turudiane,” amesema

"Sina uhakika kuwa anaweza kunirudisha tena na sikuwahi kutaka kumpa talaka lakini mwanaume mwingine alinihadaa nimuache mume wangu niwe naye.”

Tiwa ameongeza kuwa sio rahisi mwanamke aliyemwacha mumewe kuolewa na mwanamume mwingine huku akiwasihi wanawake kutofanya alichokifanya.

Mwananchi
Kukiri kosa ni njia mojawapo ya kuonyesha anajutia alicho kifanya, swali linakuja je anaweza kubadilika kweli?
Je anaweza kuvumilia pindi mambo ya kiwa hayako sawa ktk familia? maana inaonekana Moyo wake hauna uvumilivu wa kubeba jukumu na uurahisi sana kupeperushwa na kushaurika vibaya.
 
Hivi kwani hakuna wanaume wanaoshawishiwa na michepuko yao na kuachana na wake zao kisha mambo yakigeuka wanawarudia wake zao, au yakimtokea mwanaume ni sawa ila yakimtokea mwanamke ndio hana akili ili mradi tu mwanamke ndio aonekana ana shida, hebu pelekeni stress zenu huko wapumbavu wapo jinsia zote siyo wanawake tu mada inamhusu tiwa savage majitu yanakuja kusema wanawake hawana akili kawaambieni hivyo mama zenu
Wanaume ndo wanaongoza kwa usaliti na kurudi rudi kwa wanawake ni wachache sana.
 
Ila maisha haya mnavyojishaua kutusema Wanawake vibaya kama vile hamna ndugu zenu wa kike huko mlipo. Lol.

Jifunzeni kutumia neno baadhi itawasaidia sana na sisi sisi wanawake mnaotuitaa wajinga na tusio na akili baadhi ndo tunaowaongoza huko mnakopata shilingi mbili tatu.
 
Hivi kwani hakuna wanaume wanaoshawishiwa na michepuko yao na kuachana na wake zao kisha mambo yakigeuka wanawarudia wake zao, au yakimtokea mwanaume ni sawa ila yakimtokea mwanamke ndio hana akili ili mradi tu mwanamke ndio aonekana ana shida, hebu pelekeni stress zenu huko wapumbavu wapo jinsia zote siyo wanawake tu mada inamhusu tiwa savage majitu yanakuja kusema wanawake hawana akili kawaambieni hivyo mama zenu
Wewe kucheat Kwa mwanamke ina impact tofauti saana na akicheat mwanaume,

Don't force to make comparison.
 
Ila maisha haya mnavyojishaua kutusema Wanawake vibaya kama vile hamna ndugu zenu wa kike huko mlipo. Lol.

Jifunzeni kutumia neno baadhi itawasaidia sana na sisi sisi wanawake mnaotuitaa wajinga na tusio na akili baadhi ndo tunaowaongoza huko mnakopata shilingi mbili tatu.
Sawa

Tusameheeeni
 
Back
Top Bottom