Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Huyu dada naskia alishawahi bishana na wanaume kama wote kwenye mada ya single mama..unaambiwa huyu jadda ni mtu ma nusu...Poor Brain njoo umchekinhuyu dada ambaye hana akili 🤣🤣🤣🤣
Sasa mama zetu wanakujaje kwenye hii story....huyu kweli hana akili
Ulishauona?😎Kwa uchi wake ule mbaya bado ana cheat duh watu majasiri
Wanakuwaga na maneno ya kuondokea;Aman iwe kwenu akina mama na akina Baba wote wa jamiiforum
Huko kwa wakuitwa TIWA SAVAGE kimeumana
Baada ya mchepuko kumpiga sound naye akajaa leo ndo kaanza kulia Lia na kumkumbuka mume wake wa ndoa
Wanawake ni viumbe wajinga sana wasiokuwa na akili hata moja
Akili kubwa waliyonayo ni kuvaa na kuvua chupi zao tu
LONDON BOY
---
Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, Tiwa Savage amesema anajutia kuachana na mume wake, Tunji Balogun maarufu kama Teebillz na kuanzisha uhusiano na mwanaume mwingine.
Msanii huyo amebainisha hayo wakati akifanya mahojiano na jarida la Elle South Africa na kusema hiyo ndio moja ya kosa kubwa ambalo amewahi kufanya.
"Nilimfanya mume wangu asijisikie kuwa mwanaume kwa sababu nilianza kutoka na mwanaume mwingine, bado nampenda na najua nilimkosea lakini nataka kurekebisha mambo na turudiane,” amesema
"Sina uhakika kuwa anaweza kunirudisha tena na sikuwahi kutaka kumpa talaka lakini mwanaume mwingine alinihadaa nimuache mume wangu niwe naye.”
Tiwa ameongeza kuwa sio rahisi mwanamke aliyemwacha mumewe kuolewa na mwanamume mwingine huku akiwasihi wanawake kutofanya alichokifanya.
Mwananchi
Nakusalimia jirani. TehSawa
Tusameheeeni
Sio wote ni wakatoliki sasaHawa
Hawa wanawake wa kikristo wao wanaamin ndo huwa haifi
Hapo atakupeleka kwa paroko mpaka mludiane
Kwenye kiti anapigwa backshots😂😂Aisee kumbe kwenye pilau, hapana sijawahi kuona.
Thanks.Nakusalimia jirani. Teh
Jamani uzi ufungwe hii spana imejitosheleza "eti wanawake wote hawana akili" kisa Tiwa anataka kulirudia koloni lakeHivi kwani hakuna wanaume wanaoshawishiwa na michepuko yao na kuachana na wake zao kisha mambo yakigeuka wanawarudia wake zao, au yakimtokea mwanaume ni sawa ila yakimtokea mwanamke ndio hana akili ili mradi tu mwanamke ndio aonekana ana shida, hebu pelekeni stress zenu huko wapumbavu wapo jinsia zote siyo wanawake tu mada inamhusu tiwa savage majitu yanakuja kusema wanawake hawana akili kawaambieni hivyo mama zenu
Mkuu sifa ya uchini ni lazima kuwe kubaya na kutisheKwa uchi wake ule mbaya bado ana cheat duh watu majasiri
Wewe ndio umeongea pointi kubwa. " Kiki"Anatoa wapi ujasiri wa kusema anataka arudi!?au labda Kuna nyimbo anataka kutoa anatafuta kiki!?
Mtoa uzi huu moto kautakaPoor Brain njoo umchekinhuyu dada ambaye hana akili 🤣🤣🤣🤣
Sasa mama zetu wanakujaje kwenye hii story....huyu kweli hana akili
👆🏻Huyu dada nahisi ni single motherHivi kwani hakuna wanaume wanaoshawishiwa na michepuko yao na kuachana na wake zao kisha mambo yakigeuka wanawarudia wake zao, au yakimtokea mwanaume ni sawa ila yakimtokea mwanamke ndio hana akili ili mradi tu mwanamke ndio aonekana ana shida, hebu pelekeni stress zenu huko wapumbavu wapo jinsia zote siyo wanawake tu mada inamhusu tiwa savage majitu yanakuja kusema wanawake hawana akili kawaambieni hivyo mama zenu
Mkuu mtu akitoa maoni haina haja ya kum brand majina single mother nae ni mtu na hakuna mtu anaejitia mimba👆🏻Huyu dada nahisi ni single mother
AnajutaAman iwe kwenu akina mama na akina Baba wote wa jamiiforum
Huko kwa wakuitwa TIWA SAVAGE kimeumana
Baada ya mchepuko kumpiga sound naye akajaa leo ndo kaanza kulia Lia na kumkumbuka mume wake wa ndoa
Wanawake ni viumbe wajinga sana wasiokuwa na akili hata moja
Akili kubwa waliyonayo ni kuvaa na kuvua chupi zao tu
LONDON BOY
---
Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, Tiwa Savage amesema anajutia kuachana na mume wake, Tunji Balogun maarufu kama Teebillz na kuanzisha uhusiano na mwanaume mwingine.
Msanii huyo amebainisha hayo wakati akifanya mahojiano na jarida la Elle South Africa na kusema hiyo ndio moja ya kosa kubwa ambalo amewahi kufanya.
"Nilimfanya mume wangu asijisikie kuwa mwanaume kwa sababu nilianza kutoka na mwanaume mwingine, bado nampenda na najua nilimkosea lakini nataka kurekebisha mambo na turudiane,” amesema
"Sina uhakika kuwa anaweza kunirudisha tena na sikuwahi kutaka kumpa talaka lakini mwanaume mwingine alinihadaa nimuache mume wangu niwe naye.”
Tiwa ameongeza kuwa sio rahisi mwanamke aliyemwacha mumewe kuolewa na mwanamume mwingine huku akiwasihi wanawake kutofanya alichokifanya.
Mwananchi