Tizama Katika Picha Namna Watu walivyofurika Maelfu Kwa Maelfu Kumlaki na kumsikiliza Rais Samia Mkoani Ruvuma

Tizama Katika Picha Namna Watu walivyofurika Maelfu Kwa Maelfu Kumlaki na kumsikiliza Rais Samia Mkoani Ruvuma

Naona mnajifariji huku mkiumia sana mioyoni mwenu CHADEMA
Mimi niwe chadema mimi ww ulisikia wapi??? Et Mheshimiwa mimi siwezi kuwa chadema siku itafika ccm watajielewa na kiongoz bora atapatikana na taasisi imara zitajengwa huo ndio utakuwa msingi bora wa ccm kuongoza vyema

Kwa sasa ccm ipo bado kwenye transition mkuu

#kidumu cha chama cha mapinduzi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.

Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.

Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.

View attachment 3105353View attachment 3105355View attachment 3105356

Hapa chini pichani akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.

View attachment 3105359
Msengerema moja wew…….. shwain
 
Mimi niwe chadema mimi ww ulisikia wapi??? Et Mheshimiwa mimi siwezi kuwa chadema siku itafika ccm watajielewa na kiongoz bora atapatikana na taasisi imara zitajengwa huo ndio utakuwa msingi bora wa ccm kuongoza vyema

Kwa sasa ccm ipo bado kwenye transition mkuu

#kidumu cha chama cha mapinduzi
Kidumu Chama Tawala Daima.
 
Wenye Fuso Huko Songea Wamepiga PesA Ndefu Kusomba Watu Mitaani
Kula CCM, Kura CHADEMA
Mchana CCM, Usiku CHADEMA
By Mzilankende
 
Wenye Fuso Huko Songea Wamepiga PesA Ndefu Kusomba Watu Mitaani
Kula CCM, Kura CHADEMA
Mchana CCM, Usiku CHADEMA
By Mzilankende
Mnaumia sana kuona mafuriko hayo ya Mheshimiwa Rais huku Ninyi jana mlikimbilia vyumbani kujificha.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.

Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.

Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.

View attachment 3105353View attachment 3105355View attachment 3105356

Hapa chini pichani akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.

View attachment 3105359
Asilimia kubwa ya kizazi cha Tanzania akili zilishaoza ikiwemo hao walioenda kumsikiliza huyo mama kizimkazi.
 
Ninyi Ma CHADEMA ndio mfarijiane kwa kushindwa kwenu kufanya maandamano kwa kukosa watu
Kila atakayekuwa kinyume na sisiem Ni Chadema ... Yaani una majibu yako mfukoni unatafuta pakuthibitishia.
Kwa akili hizo Anko hakika wewe umskule mkongwe.
 
ushirikina na ramli za mtu au chama chochote cha upinzani, haziwezi kabisa, kuzuia waTanzania kumpenda, kumuamini na kumuunga mkono kiongozi wao makini sana, na kipenz cha waTanzani wote Dr.Samia Suluhu Hassan kitaifa na kimataifa..

so ,
ni vizuri ukarilax gentleman, na ukawaachia nafasi waTanzania waonyeshe mapenzi yao kwa kiongozi wao bila makasiriko 🐒
FB_IMG_1644236040854.jpg
😂😂 Kada ukipewa bahasha utu una kukauka vibaya Sana.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.

Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.

Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.

View attachment 3105353View attachment 3105355View attachment 3105356

Hapa chini pichani akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.

View attachment 3105359
Huu ni ufisadi
 
Back
Top Bottom