Tizama Katika Picha Namna Watu walivyofurika Maelfu Kwa Maelfu Kumlaki na kumsikiliza Rais Samia Mkoani Ruvuma

Tizama Katika Picha Namna Watu walivyofurika Maelfu Kwa Maelfu Kumlaki na kumsikiliza Rais Samia Mkoani Ruvuma

Ndugu zangu Watanzania,

Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.

Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.

Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.

View attachment 3105353View attachment 3105355View attachment 3105356

Hapa chini pichani akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.

View attachment 3105359
Waalimu hao mkuu
 
CHADEMA wakiona hivi na wakikumbuka namna walivyokataliwa kwenye maandamano yao uchwara wanabakia wanatukana matusi tu kama vichaa au wendawazimu
Lucas .......naona leo unaandika kwa chuki sana, kwani imekuwaje tena, hoja ujibiwa kwa hoja 😀 😀
 
Ujinga na kukosa kwako adabu kuna kusumbua.
Ni mtekaji hilo halina mjadala. Sina tabia ya kuheshimu watu wanaongia madarakani kwa njia zisizo za heshima. Ww ndio unapaswa kuwaheshimu maana maisha yako yanategemea hisani yao.
 
Walioenda ukiwauliza Mama ameongea Nini awajui,, wanajibu walifuata wasanii tu
 
Lucas .......naona leo unaandika kwa chuki sana, kwani imekuwaje tena, hoja ujibiwa kwa hoja 😀 😀
Mimi nawaambia ukweli tu japo mchungu.si unaona mbowe jana alikuwa anaomba akaandamane na waandishi wa habari baada ya kuona amekimbiwa na vijana wake matapeli na waongo
 
Wivu Gani kwahiyot asafirishe watu mpaka kutoka Matiri ndani ndani huko ili waje wamuone yeye Chura akibwabwaja?
Naona leo ma CHADEMA mmeamka na mahasira sana kama wagonjwa baada ya jana kushindikana kwa maandamano na kumuuza Mbowe na familia yake tu
 
Bila shaka una upofu wa macho na akili.
Na wanafunzi mkuu ndio wamejaa kweli tena na watumishi wa halmashuri zote ruvuma mashirika yote ruvuma hapo huwezi mkuta mtu mkulima au mvuvi mkuu.

Na macarder wa chama wano pelekwa pelekwa tu posho wanasaini wengine na marangi rangi yao kijani mda wote

Kofia zimepauka ya toka kikwete bado anayo mpaka leo 😂😂😂
 
Na wanafunzi mkuu ndio wamejaa kweli tena na watumishi wa halmashuri zote ruvuma mashirika yote ruvuma hapo huwezi mkuta mtu mkulima au mvuvi mkuu.

Na macarder wa chama wano pelekwa pelekwa tu posho wanasaini wengine na marangi rangi yao kijani mda wote

Kofia zimepauka ya toka kikwete bado anayo mpaka leo 😂😂😂
Naona mnajifariji huku mkiumia sana mioyoni mwenu CHADEMA
 
Wengi wao hapo hata mia hawana mfukoni, acha waje kula bure na kumwona Diamond, CCM mna dhambi sana
 
Back
Top Bottom