Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Mbona watanzania tuna ishi kwa amani sana.Yule bibi ametufanya tunaishi kama Digi gidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona watanzania tuna ishi kwa amani sana.Yule bibi ametufanya tunaishi kama Digi gidi
Embu soma ulichoandika.Lindi,Mtwara,Dodoma,Singida ni mikoa yenye wajinga na makini wengi sana,so sishangai.
Kwa hakika hakuna kabisa .Hakuna kama mama.
Waalimu hao mkuuNdugu zangu Watanzania,
Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.
Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.
Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.
View attachment 3105353View attachment 3105355View attachment 3105356
Hapa chini pichani akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.
View attachment 3105359
Lucas .......naona leo unaandika kwa chuki sana, kwani imekuwaje tena, hoja ujibiwa kwa hoja 😀 😀CHADEMA wakiona hivi na wakikumbuka namna walivyokataliwa kwenye maandamano yao uchwara wanabakia wanatukana matusi tu kama vichaa au wendawazimu
Ndio maana nikataka nikuone na ww mwanamke mwenzake ujasiri wako wa kuja kuniangalia.Kwanini hukuandamana.hadi mtoto wa kike wa Mbowe amekuzidi ujasiri?
Ni mtekaji hilo halina mjadala. Sina tabia ya kuheshimu watu wanaongia madarakani kwa njia zisizo za heshima. Ww ndio unapaswa kuwaheshimu maana maisha yako yanategemea hisani yao.Ujinga na kukosa kwako adabu kuna kusumbua.
HujanielewaCHADEMA mnapata maumivu makali sana mkiona mafuriko ya namna hiyo.
Bila shaka una upofu wa macho na akili.Waalimu hao mkuu
Unaumia na kuteseka ukiwa wapi.Walioenda ukiwauliza Mama ameongea Nini awajui,, wanajibu walifuata wasanii tu
Jibu unaloUnaumia na kuteseka ukiwa wapi.
Mimi nawaambia ukweli tu japo mchungu.si unaona mbowe jana alikuwa anaomba akaandamane na waandishi wa habari baada ya kuona amekimbiwa na vijana wake matapeli na waongoLucas .......naona leo unaandika kwa chuki sana, kwani imekuwaje tena, hoja ujibiwa kwa hoja 😀 😀
Wivu Gani kwahiyot asafirishe watu mpaka kutoka Matiri ndani ndani huko ili waje wamuone yeye Chura akibwabwaja?Wivu tu ndio unaokusumbua hapo ulipo.Mapokezi mazito ya Mheshimiwa Rais yanaendelea kuwachanganya na kuwavuruga sana wapinzani wa Rais Samia.
Naona leo ma CHADEMA mmeamka na mahasira sana kama wagonjwa baada ya jana kushindikana kwa maandamano na kumuuza Mbowe na familia yake tuWivu Gani kwahiyot asafirishe watu mpaka kutoka Matiri ndani ndani huko ili waje wamuone yeye Chura akibwabwaja?
Na wanafunzi mkuu ndio wamejaa kweli tena na watumishi wa halmashuri zote ruvuma mashirika yote ruvuma hapo huwezi mkuta mtu mkulima au mvuvi mkuu.Bila shaka una upofu wa macho na akili.
Naona mnajifariji huku mkiumia sana mioyoni mwenu CHADEMANa wanafunzi mkuu ndio wamejaa kweli tena na watumishi wa halmashuri zote ruvuma mashirika yote ruvuma hapo huwezi mkuta mtu mkulima au mvuvi mkuu.
Na macarder wa chama wano pelekwa pelekwa tu posho wanasaini wengine na marangi rangi yao kijani mda wote
Kofia zimepauka ya toka kikwete bado anayo mpaka leo 😂😂😂