Mimi niwe chadema mimi ww ulisikia wapi??? Et Mheshimiwa mimi siwezi kuwa chadema siku itafika ccm watajielewa na kiongoz bora atapatikana na taasisi imara zitajengwa huo ndio utakuwa msingi bora wa ccm kuongoza vyemaNaona mnajifariji huku mkiumia sana mioyoni mwenu CHADEMA
Msengerema moja wewβ¦β¦.. shwainNdugu zangu Watanzania,
Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.
Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.
Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.
View attachment 3105353View attachment 3105355View attachment 3105356
Hapa chini pichani akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.
View attachment 3105359
Alisikika mtu akisema nchi hii ni tajiri sana.Nilikua mkoni Ruvuma kwa wiki moja niseme tu kwa kifupi kua kodi zetu zinatumika vibaya sana .
Umesamehewa dhambi zako bure kabisaMsengerema moja wewβ¦β¦.. shwain
Kidumu Chama Tawala Daima.Mimi niwe chadema mimi ww ulisikia wapi??? Et Mheshimiwa mimi siwezi kuwa chadema siku itafika ccm watajielewa na kiongoz bora atapatikana na taasisi imara zitajengwa huo ndio utakuwa msingi bora wa ccm kuongoza vyema
Kwa sasa ccm ipo bado kwenye transition mkuu
#kidumu cha chama cha mapinduzi
Naona mnajifariji huku mkiumia sana mioyoni mwenu CHADEMA
Mnaumia sana kuona mafuriko hayo ya Mheshimiwa Rais huku Ninyi jana mlikimbilia vyumbani kujificha.Wenye Fuso Huko Songea Wamepiga PesA Ndefu Kusomba Watu Mitaani
Kula CCM, Kura CHADEMA
Mchana CCM, Usiku CHADEMA
By Mzilankende
Asilimia kubwa ya kizazi cha Tanzania akili zilishaoza ikiwemo hao walioenda kumsikiliza huyo mama kizimkazi.Ndugu zangu Watanzania,
Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.
Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.
Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.
View attachment 3105353View attachment 3105355View attachment 3105356
Hapa chini pichani akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.
View attachment 3105359
Msukule Wa CCM UleNahisi wewe jamaa utakua shoga Watu wanakupiga Dudu kwa nyuma.
Wewe ndiye huna akili labda.Asilimia kubwa ya kizazi cha Tanzania akili zilishaoza ikiwemo hao walioenda kumsikiliza huyo mama kizimkazi.
Kila atakayekuwa kinyume na sisiem Ni Chadema ... Yaani una majibu yako mfukoni unatafuta pakuthibitishia.Ninyi Ma CHADEMA ndio mfarijiane kwa kushindwa kwenu kufanya maandamano kwa kukosa watu
Endelea kuweweseka tuNahisi wewe jamaa utakua shoga Watu wanakupiga Dudu kwa nyuma.
ushirikina na ramli za mtu au chama chochote cha upinzani, haziwezi kabisa, kuzuia waTanzania kumpenda, kumuamini na kumuunga mkono kiongozi wao makini sana, na kipenz cha waTanzani wote Dr.Samia Suluhu Hassan kitaifa na kimataifa..
so ,
ni vizuri ukarilax gentleman, na ukawaachia nafasi waTanzania waonyeshe mapenzi yao kwa kiongozi wao bila makasiriko π
Huu ni ufisadiNdugu zangu Watanzania,
Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.
Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.
Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.
View attachment 3105353View attachment 3105355View attachment 3105356
Hapa chini pichani akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.
View attachment 3105359
Ufisadi wa nini.Huu ni ufisadi
Rais Samia ni Mpango wa Mungu MwenyeweHii Haijawahi kutokea Tungu mlipuko wa Big Bang
Mungu akisema NDIO hakuna wa kukataa.Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe