Uwe unabadilisha topic siku mojamoja
Ni kweli kabisa. Siku moja moja Lucas Mwashambwa toa elimu kuhusu kilimo, changamoto zake na fursa za masoko watu wajifunze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unabadilisha topic siku mojamoja
Hayo yote ya habari ya kilimo nilishaandika. nimeandika na kugusa maeneo mengi sana. Lakini pia nanyi mpo huru kuzungumza na kuandika kuhusu maeneo ambayo mnahisi sijaandika ili nami nipate kujifunza kupitia Ninyi.Ni kweli kabisa. Siku moja moja Lucas Mwashambwa toa elimu kuhusu kilimo, changamoto zake na fursa za masoko watu wajifunze
Endelea kuhangaika tu.Afu Nasikia unapumuliwa kisogoni
Lukas msambwanda angalia Kundu Hilo linazidi kutepetaEndelea kuhangaika tu.
Kuwa chawa ndiyo kujielewa? Wewe unaandika hata usiyojua ili kumfurahisha mimi naandika ninachothibisha,huku Usukumani hatumpendiHujielewi kabisa wewe
Hilo ni pungaAfu Nasikia unapumuliwa kisogoni
Haumpendi wewe na nani?Huyo huku Usukumani hapati kura hata moja hatumpendi hatumpendi hatumpendi.
Nimefurahi sana na kugalagala kwa furaha kama Jenister hakika mama anapendeka na kupendwa ,mama Samia oyeeeeeeNdugu zangu Watanzania,
Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.
Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.
Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.
View attachment 3105353View attachment 3105355View attachment 3105356
Hapa chini pichani akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.
View attachment 3105359
Kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hata ukifaHilo ni punga