Tizama picha hii ili ufahamu kuwa Rais Samia aliandaliwa na hajafika hapo alipo kwa kubahatisha

Mimi nichukie watu kupewa $3 /day kumsifia mama Abdul?

Ushahidi gani unahitaji , nyie na lile group la Ummy Mwalimu akiwa waziri wa afya kuwalipa watu kusambaza hashtag mlidhani hamjulikani?
Endelea kuumia tu.Mama anapendwa na watanzania kwa hiyari ya mioyo yao.na siyo kulazimishwa au kwa malipo.
 
Ashindwe kwenye kufanya nini? Imeandikwa katika Biblia kuwa kwa kila jambo na majira yake na wakati kwa kusudi maalumu chini ya Mbingu. Unaifahamu safari ya sana wa Israel? Je nani aliwatoa kutoka Israel? Ni nani aliwafikisha Canaan?
Kwahio na wabakaji walawiti na vifo vya Albino vyote vina kusudi maalumu..., Na kwa nchi za mbali kufanya mababu zako watumwa na kuwafanyisha kazi hadi kuwaambia utamaduni wao ni wa kipumbavu na kuwaletea hio Imani yako unayotagaza leo ilikuwa ni mipango yake to what end....

Ukipenda kuchanganya imani na vitu factual usiingie na kutoka au kuchagua hiki na kile nenda mzima mzina (ila kwa taarifa yako it wont make logical sense)
 
Kwani hao maarubino wanaouwawa na nani kama siyo wanajamii wenyewe ikiwepo wazazi wa watoto husika.
 
Huyu ni mpuuzi sn hata mimi tunafahamiana vizuri sn
 
Mama Samia alikuwa anaishi Ikulu wakati wa JK.

Keyword: Anaishi.
 
Hiyo picha mbona amekaa kama beki tatu anaesubiri kutoa vyombo wageni wakiondoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…