BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
and so you have a hubby! doh ngekubebea everything, your arguments zimekaa poa sana, your signature is so inviting I couldn't help it but reading your profile..! Waganda sio hata saizi yetu, wacha waandike vyovyote vile, kile kitendo cha kutawaliwa na Idi Amini tu kinatosha kupima uwezo wao wa kufikiria.hawa kwa vile wako ng'ambo darling akibeba handbag ya sweetie its ok lakini Africa unakua mtumwa. Uswahili kitu kibaya sana. My hubby always carry my handbag, na sijamfanya mtumwa
wow......hilo guu la zari si mchezo.....
wamependeza......mengine watajuana wenyewe......
Bonkmate?
[
HUYU SIO MZIMA DUME ZIMA KUBEBA POCHI TENA KAIBANA KWAPANI!!!!!!! WANAUME WASI SIKU HIZI BANA,WAKE ZENU WATAWAVALISHA MPAKA BIKINI.
kama ni hvy basi hii ni hatari kwasababu Jana wakati tunatoka kwenye semina ya Mwakasege hapa arusha mke wangu alinipa pochi yake na nikaibeba all the way kutoka viwanja vya reli hadi njiro.
Zari kama sikosei is 31 na Diamond 24, saa ngapi Zari atamzaa mtoto kama Diamond? Age is just numbers... In case you didn't know
Kawadanganye mapoter wenzako! miaka 31 watoto 5 na kati yao hakuna mapacha?
Mmh jamani acheni uongo!
Ana watt wa 3 wote wanaume!
Na wa 1 na 2 hawajapishana sn ni km pacha hiv....ol in ol ana 34!!
Hana 34 mamii, birthday ya mwaka juzi zari alisema ametimiza 34, so this year anaelekea 36 ( according to yeye ila wakaribu yake wanadai Ana zaidi). Kuhusu watoto ana 3 ambao anawakubali publicly na mmoja yuko mlimani alimzaa long time huwa hamuweki wazi ( as per reliable sources).
Tena hata kama huyo Zari ana umri sawa na mama ake Diamond, hao akina Kill 3 inawahusu nini? Yeye ndo keshaamua, kama mwanaume anavyoamua kutoka na binti mdogo yeye kaamua kutoka na mwanamke aliyezidi umri.... tatizo liko wapi! Watu badala ya kufanya mambo ya maana wanaishia kuingilia maisha binafsi ya watu... kama kuna aibu basi ndo hii ya kuingilia maisha binafsi ya mtu ambae wala sio ndugu yako!!Zari kama sikosei is 31 na Diamond 24, saa ngapi Zari atamzaa mtoto kama Diamond? Age is just numbers... In case you didn't know