Matola jifunze kujiheshimu... we ni mtu mzima sana kuongea mambo ya kise'nge senge! We kuna siku nimewahi kumfananisha mama ako na mtu yoyote humu? Narudia... mambo ya kiseng'e senge tafuta wengine sio mimi manake inaelekea kwavile ni mtu unayependa za lugha za hovyo hovyo basi unataka kuleta mambo yako kwa kila mtu hata wale ambao waliamua kukuheshimu ingawaje hustahili heshima hizo! Na kaa ukifahamu watu tuna-pay respect kwa watu wanaojiheshimu lakini wakishindwa we don't care who's along the way! By the way, we huyo Zari ni mamako? Au umepewa kibarua na familia ya Zari kumsemea? Ikiwa Zari mwenyewe anayeto.mbwa anaona okay, wewe kinakuuma nini wakati hata undugu na huyo Zari hauna! Kajiunge team moja na King X basi uanze kuchambana na mademu kwenye social networks manake inaelekea unapenda sana hayo mambo.
Mkuu, achana nae huyo malalamiko yake yalushaletwa ata na kaka yake samweli kiwelu.....nanukuu
" Fredrick Samuel.?
hawa wazee wetu wanauliza Mbona
toka umeondoka nyumbani mpaka
leo Zile pesa hujarudisha?
Hujui km Umetuacha na hali ngumu
sana kuondoka na mtaji wote wa
mzee?
Nimeamua kuweka Picha kabisa ili
labda roho yako Irudi fredrick.
Halafu unaamua kujiita Matola
kwa nini?
We unafahamu Mama kahifadhiwa
tu na huyu bwana. Na hali yakw
inakuwa mbaya Kila siku
Unavyozidi kuchelewa kuzirudisha
hizo pesa.
Naskia Unakula Mirungi kila siku
na Kina FAHMI mwarabu .
Mimi km ni ndugu yako nakuomba
rudisha huo mtaji wa baba wa shs
600,000 uliokwiba. Maisha yanazidi
kuwa magumu mno hapa
nyumbani.
Nakuomba sana.
Halafu mwanao SAMIRA
umemuacha hapa Sinza hana hata
ada ya shule. Umezaa na
mwanamke mitaani hata hajulikani
mamake yuko wapi. Na juu ya
kuwa mwanao yuko hapa lkn pesa
umeondoka nazo.
Wako kakako mpendwa Samuel"