TL na JP Tutawafanyia Mdahalo kwa lugha yakingereza ili kupata kufahamu uwezo wenu

TL na JP Tutawafanyia Mdahalo kwa lugha yakingereza ili kupata kufahamu uwezo wenu

Basi kama hvyo na watoto wa st.marry's nao wawepo kama kuongea kiingereza ndio kuwa na uelewa
 
Huyu baba wa watu inabid ahojiwe kwa kingereza wakalimali si wapo shida nn sasa
Kwenye Uraisi kuna mambo mengi sana sio kama ubalozi wa nyumba kumumi kuna SADEC na Nchi wanachama kuna mambo mengi ni lazima Ngombea azimudu lugha zote msitutanie, Ukienda kuomba kazi sehemu mbalimbali kwa nini kiswahili na Kingereza ni moja ya vigezo?
 
Kwani kingereza ndio kinajenga vituo vya afya, barabara na SGR? Kwendeni huko[emoji1][emoji1][emoji1][emoji111]
 
JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,

Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
Why English? Usitutishe mkuu tumeshachoka na " catalyst in chemistry" ,tunakata mdahalo kwa lugha ya kisukuma.
 
Akikubali kuja kwenye mdahalo tunamwambia lisu amuachie huo uraisi ..
 
"Mahouse girl hawajui kusoma wala kuandika ila wanaongea kingereza kizuri " Vipi kwa waliosoma mpaka PhD kwa kingereza na kingereza hawakijui? Huoni tatizo hapo?

Hapa umemdhalilisha 'mtukufu wenu '
Utasomaje hadi elimu ya juu halafu uwe hujui lugha iliyotumika kufundishiwa? wewe unaona inawezekana hiyo? kushindwa kuongea vizuri kiingereza hayo ni matatizo ya wengi na yana sababu zake ila huwezi kusema huyo mtu hujui kiingereza halafu et ana PHD.
 
Kwani kingereza ndio kinajenga vituo vya afya, barabara na SGR? Kwendeni huko[emoji1][emoji1][emoji1][emoji111]
Kiingereza ndicho kinatumika kutunga sheria zetu kisha zinatafsiriwa kwa kiswahili, pia itatusaidia kurudisha uhusiano na nchi zote badala ya kujifungia ndani.
 
Kwenye Uraisi kuna mambo mengi sana sio kama ubalozi wa nyumba kumumi kuna SADEC na Nchi wanachama kuna mambo mengi ni lazima Ngombea azimudu lugha zote msitutanie, Ukienda kuomba kazi sehemu mbalimbali kwa nini kiswahili na Kingereza ni moja ya vigezo?
Mtamuua jaman mzee wa watu na PHD yake
 
Namkaribirisha Rais Magufuli Tutakapopitishwa kuwa Wagombea 26/08; Namkaribisha Tufanye Mjadala wa Hadhara, Utakaorushwa Kwenye TV Kati Yake na Mimi Mgombea Urais wa CHADEMA Na Wagombea Wengine Tuzungumze Habari za Tanzania, Kwa Lugha Yeyote Atakayoichagua.
#Niyeye2020
Lissu na Magufuli hawana tofauti,huyo Magufuli hawezi kabisa kuongea na huyo mwengine anachojua ni kuifoka tu.
 
Uanze kumfanyia mdahalo kwa kingereza baba yako ufahamu kama kweli alistahili kuwa mzazi wako!
Mbona unakuwa mkali wakati kiingereza ni lugha rasmi ya taiga pamoja na kiswahili, inaelekea haukijui kwa sababu ulitoroka shule.
 
JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,

Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
[/QUOTE

Miaka zaidi ya 60 sasa na bado kuna watanzania wanaamini kuwa kuongea kiingereza ndo uwezpo wa kuongoza??? Marehemu Mkapa alikuwa gwiji wa kiingereza si angestaafu na kutuacha kwenye nchi ya maziwa na asali?????
 
JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,

Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
Kwa kuanzia kusudi tujue kama wakifanya mdahalo wa kiingereza wewe utawaelewa ingekubidi uandike kwa kiingereza. Pili staki kukuita mpumbavu japo una viashiria vyote vya upumbavu nani alikuambia kwamba uwezo wa mtu unajulikana kwa uwezo wa kuongea lugha ya kigeni?
 
Kwani kingereza ndio kinajenga vituo vya afya, barabara na SGR? Kwendeni huko[emoji1][emoji1][emoji1][emoji111]
hoviyoooooooooooooo... mfyieuuuuuuuuuuuuuu....
muulize huyo bwanenu ameongeza lini mishahara wafanyakaziiii... wavujajashooo......????
*amisema amijenga barabara za gorofa ..SAWA!!
*amijenga mwendo kasi.. SAWA!!
*amininiliuuu.... aminunua EITISIII MPYA... SAWAAA!!
ni kwa KODI ZETU. pesa za ndani kama anavolialia mitaani akikutana wanyonge wajinga. alafu anasema hana cha kutuongezea sie wavujajasho
SASA! SASA! SASA!
wakati umifika wa kulipiza..
TUTALIPIZZA VILLEVILLEEE ALIVOTUFANZIA SIEE WAVUJA ASHO MIAKA MITANO BILA NYONGEZA
 
Huo mdahalo ukiruhusiwa kufanyika, kuna mmojawapo anaweza kuanguka na kuzirai kwa hofu na presha. Maana kiingereza hajui na kujenga hoja ni sifuri.
 
Back
Top Bottom