Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye Uraisi kuna mambo mengi sana sio kama ubalozi wa nyumba kumumi kuna SADEC na Nchi wanachama kuna mambo mengi ni lazima Ngombea azimudu lugha zote msitutanie, Ukienda kuomba kazi sehemu mbalimbali kwa nini kiswahili na Kingereza ni moja ya vigezo?Huyu baba wa watu inabid ahojiwe kwa kingereza wakalimali si wapo shida nn sasa
Why English? Usitutishe mkuu tumeshachoka na " catalyst in chemistry" ,tunakata mdahalo kwa lugha ya kisukuma.JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,
Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
Ni mlipa kodi mwaminifu, wewe umeifanyia nini familia yako, tuanzie hapa.Midahalo ihusu kwanza ndani ya vyama vyao wamefanya nini.Kabla kutushawishi tuwape taifa la Tanzania kuliongoza.
Utasomaje hadi elimu ya juu halafu uwe hujui lugha iliyotumika kufundishiwa? wewe unaona inawezekana hiyo? kushindwa kuongea vizuri kiingereza hayo ni matatizo ya wengi na yana sababu zake ila huwezi kusema huyo mtu hujui kiingereza halafu et ana PHD."Mahouse girl hawajui kusoma wala kuandika ila wanaongea kingereza kizuri " Vipi kwa waliosoma mpaka PhD kwa kingereza na kingereza hawakijui? Huoni tatizo hapo?
Hapa umemdhalilisha 'mtukufu wenu '
Kiingereza ndicho kinatumika kutunga sheria zetu kisha zinatafsiriwa kwa kiswahili, pia itatusaidia kurudisha uhusiano na nchi zote badala ya kujifungia ndani.Kwani kingereza ndio kinajenga vituo vya afya, barabara na SGR? Kwendeni huko[emoji1][emoji1][emoji1][emoji111]
Mtamuua jaman mzee wa watu na PHD yakeKwenye Uraisi kuna mambo mengi sana sio kama ubalozi wa nyumba kumumi kuna SADEC na Nchi wanachama kuna mambo mengi ni lazima Ngombea azimudu lugha zote msitutanie, Ukienda kuomba kazi sehemu mbalimbali kwa nini kiswahili na Kingereza ni moja ya vigezo?
Lissu na Magufuli hawana tofauti,huyo Magufuli hawezi kabisa kuongea na huyo mwengine anachojua ni kuifoka tu.Namkaribirisha Rais Magufuli Tutakapopitishwa kuwa Wagombea 26/08; Namkaribisha Tufanye Mjadala wa Hadhara, Utakaorushwa Kwenye TV Kati Yake na Mimi Mgombea Urais wa CHADEMA Na Wagombea Wengine Tuzungumze Habari za Tanzania, Kwa Lugha Yeyote Atakayoichagua.
#Niyeye2020
Mbona unakuwa mkali wakati kiingereza ni lugha rasmi ya taiga pamoja na kiswahili, inaelekea haukijui kwa sababu ulitoroka shule.Uanze kumfanyia mdahalo kwa kingereza baba yako ufahamu kama kweli alistahili kuwa mzazi wako!
JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,
Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
[/QUOTE
Miaka zaidi ya 60 sasa na bado kuna watanzania wanaamini kuwa kuongea kiingereza ndo uwezpo wa kuongoza??? Marehemu Mkapa alikuwa gwiji wa kiingereza si angestaafu na kutuacha kwenye nchi ya maziwa na asali?????
Kwa kuanzia kusudi tujue kama wakifanya mdahalo wa kiingereza wewe utawaelewa ingekubidi uandike kwa kiingereza. Pili staki kukuita mpumbavu japo una viashiria vyote vya upumbavu nani alikuambia kwamba uwezo wa mtu unajulikana kwa uwezo wa kuongea lugha ya kigeni?JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,
Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
hoviyoooooooooooooo... mfyieuuuuuuuuuuuuuu....Kwani kingereza ndio kinajenga vituo vya afya, barabara na SGR? Kwendeni huko[emoji1][emoji1][emoji1][emoji111]