Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchoraji amekasahau kale kamguu na buti la jeje.Lissu wachezeshe!!!View attachment 1592647
Yaani ktk hali ya kawaida na kwa mtu mwenye kuujali utu wake, heshima yake na mwenye kufikira Image yake in future,I smell something fishy!
Nahisi ni mbinu za NEC hizo za kutafuta justification za kuwazuia ACT na CHADEMA, manake kwa sasa kila wakijaribu kupinga kuungana mkono, wanajikuta wanaonekana maboya hata mbele ya maboya kwa kutumia double standard!!!
Hata hivyo, haitawasaidia kwa sababu CHADEMA na ACT hawaungani, bali upande mmoja unamuunga mkono wa mtu wa upande mwingine!
Yaani aibu tupu!!Yaani ktk hali ya kawaida na kwa mtu mwenye kuujali utu wake, heshima yake na mwenye kufikira Image yake in future,
Angejiuzuru urais, ameharibu na anazidi kuharibu
Aliyoyafanya nao walitaka kuyafanyaUlipowauliza wamesema sababu ni zipi?
Uoni Kama ni maagizo ili waweze dili na ukawa ya ACT na CDMUlipowauliza wamesema sababu ni zipi?
Haisaidii kuteleza kwa mitiYaani aibu tupu!!
Na mwaka huu I doubt kama hawa jamaa wasivyokimbia na masanduku ya kura au kuzima umeme wakati zoezi la kuhesabu kura likiendelea!
beberu naskia kawapa kupunguza madeniC
Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Mwenzako kachukua likizo kuogopa spanaC
Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Kaliwe na wewe! Beberu kawapeni billion 44 za kusaidia kaya Maskini. Au hamuna taarifa?C
Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Usituletee stress záko hapa za kukwama kimaisha!C
Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Lissu wachezeshe!!!View attachment 1592647
Nilitamani kumfahamu huyu aliyeruka huku kichwa kikiwa chini na miguu ikiwa juu ni nani? Polepole, mahera, nyahoza, au ni mzee mwenyewe!!!!Lissu wachezeshe!!!View attachment 1592647
beberu naskia kawapa kupunguza madeni
Too late to justify their (NEC) action. Damage has already been done.Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imesema vyama vya Tanzania Labour (TLP) na United Democratic (UDP) ambavyo vilitangaza kumuunga mkono mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli, vilisitisha mpango huo kwa sababu vilikuwa havijafuata kanuni na sheria za uchaguzi.
Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sity Nyahoza, alisema hayo jana wakati akihojiwa na Radio One kwenye kipindi cha Kumepambazuka...
Shabiki kipofu.Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.