Uchaguzi 2020 TLP na UDP zajiondoa kumpigia debe Magufuli

Uchaguzi 2020 TLP na UDP zajiondoa kumpigia debe Magufuli

kama kura zisipoibwa , hakika nawaambueni mimi si mwanasiasa . Ila Muungano huu na nyakati hizi ni Upinzani . mara nyingi Mungu anapotaka kutenda jambo huwa anatenda kwa kushangaza . Naanza kukumbuka maono ya mtumishi mmoja wa Mungu . Tanzania mpya inakuja kwa mkono wa aliyekataliwa . nakumbuka maisha ya mfalme daud , mwanzo wake na mwisho wake .
 
I smell something fishy!

Nahisi ni mbinu za NEC hizo za kutafuta justification za kuwazuia ACT na CHADEMA, manake kwa sasa kila wakijaribu kupinga kuungana mkono, wanajikuta wanaonekana maboya hata mbele ya maboya kwa kutumia double standard!

Hata hivyo, haitawasaidia kwa sababu CHADEMA na ACT hawaungani, bali upande mmoja unamuunga mkono wa mtu wa upande mwingine!
Lissu anasema serikali haijawahi kuwa na shida na ACT wala chama chengine zaidi ya Chadema na Cuf tu,kwa maana hao Chadema na Cuf ndiyo wapinzani pekee.
 
alama ya hatari hio wa ndugu zetu katika siasa
 
Kwa hiyo like bango la Mrema na Magufuli mbona wengi tumeliona?
 
Kwa sababu TLP na UDP hawaunganishi nguvu, haina maana kuwa ACT na CHADEMA wasiunganishe. Wasitishie watu wazima nyau... Ndio maana Lissu anawaita wapumbavu. Mwaka mzima Cheyo na mrema wanasema wanamuunga mkono CCM na Magufuli, mko kimya, leo zimebaki wiki 3, mnasema mmebadilisha. Huu ni zaidi ya ujinga...
 
Lissu anasema serikali haijawahi kuwa na shida na ACT wala chama chengine zaidi ya Chadema na Cuf tu,kwa maana hao Chadema na Cuf ndiyo wapinzani pekee.
And what is your point?! Au hoja yako inahusiana vipi na nilichoandika?!
 
And what is your point?! Au hoja yako inahusiana vipi na nilichoandika?!
Ni kwamba NEC haiwezi kutafuta mbinu za kuzuia ACT kwa sababu ACT si wapinzani haijawahi kuwa na shida na serikali,kwahiyo point ACT haiwezi kufanya jambo ambalo litakuwa pigo kwa ccm na serikali yake hivyo NEC haina shida yeyote na ACT.
 
Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Net za hao unaowaita mabeberu ndo zinakusaidia wewe na "mazazi" yako. Msitukane mamba kabla hamjavuka mto. Au ndio baniani mbaya kiatu chake dawa?
 
Ni kwamba NEC haiwezi kutafuta mbinu za kuzuia ACT kwa sababu ACT si wapinzani haijawahi kuwa na shida na serikali,kwahiyo point ACT haiwezi kufanya jambo ambalo litakuwa pigo kwa ccm na serikali yake hivyo NEC haina shida yeyote na ACT.
Hivi watu wanazungumzia ACT au wanazungumzia "muungano" wa ACT na CHADEMA?! Na wanazungumzia ACT na CHADEMA kwa sababu CHADEMA wametangaza kumuunga mkono Maalimu Seif kule Zanzibar na hapa ililetwa habari kuhusu Zitto kutangaza makubaliano kati ya ACT na CHADEMA kwamba ACT imuunge Tundu Lissu!!

Sasa hilo suala linahusishwa na issue inayodaliwa hapa kwa sababu kwa muda mrefu UDP na TLP walitangaza kumuunga mkono JPM lakini kila zilipoletwa tetesi kuhusu ACT na CHADEMA ku-team up, NEC wakawa wanatoka mbele na kudai kwamba hiyo ni kinyume na sheria!

Ni kutokana na hilo, ndo maana watu wanaamini tangazo la UDP na TLP kutangaza kutomuunga tena JPM ni janja tu ya NEC kuepuka zile lawama kwanini hakuwahi kupinga suala la TLP na UDP kumuunga mkono JPM lakini wawe wanapinga suala la Lissu kumuunga mkono Maalimu Seif na Membe kumuunga mkono Lissu!!
 
Ngoma ya Lissu inazidi kunoga, watu wanakata mauno ni balaa!!
 
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imesema vyama vya Tanzania Labour (TLP) na United Democratic (UDP) ambavyo vilitangaza kumuunga mkono mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli, vilisitisha mpango huo kwa sababu vilikuwa havijafuata kanuni na sheria za uchaguzi.​

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sity Nyahoza, alisema hayo jana wakati akihojiwa na Radio One kwenye kipindi cha Kumepambazuka...
Hii Nchi ina Viongozi wa ovyo sana. Hivi wanapataje hivi vyeo?
 
Naona umepaniki brother.polee sana 😂😂😂

Kunywa maji tu upumzike. Kama CAG wakwenu nyie hajaona ulaji ruzuku wa mbowe, wewe ni nani useme ivyo???😂😂😂😂
Hivi yule takukuru wao bado anaendelea kuchunguza ulaji ruzuku aliodai Lijualikali!? Au kakosa ushahidi!? Wajinga sana hao uchwara wa ccm.
 
Hapo awali msajili hakutambua hili?

Bongo bahati mbaya.

Everyday is Saturday 😎
 
Back
Top Bottom