Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,160
- 1,359
Jambo moja la uhakika ni akili ya Mbowe ni kubwa kuliko yako.Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo moja la uhakika ni akili ya Mbowe ni kubwa kuliko yako.Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Hao wazee wamekwisha wanatafuta kuishi na kufa vizuri.Wamegundua kua wanabeba zigo la NAJISI
Afadhali ubebe bomu kuliko UOZO
Wanasiasa wakongwe hawana msimamo
MABEBERU YA CHATO YAMETAFUNA HIZI PESA
Punctuated education!Hivi Hawa akina Nyahoza Sheria walisoma Vyuo gani mbona Mtu anakuwa KILAZA hivi?
Wewe kwanza whats your IQ level kabla hatujaanza kujadili aliki ya Mbowe??Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Ndiyo madhara ya kutumia akili za kuvukia barabaraWamechelewa, wakiwa na akili wasideal nao kabisa, vinginevyo watakuwa wamejiharibia.
Kilichotakiwa ile mapema wangekemewa na mamlaka husika tungeelewa.
Kinachokupa kiburi wewe na ccm yako ni ubovu wa katiba... Mfumo mbovu kutumia dola kurud madarakani ila sio box la kura..Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Anakula ruzuku anamchanganya na mama yako. mwaka huu lazima upate mdogo wako uache kudekaMbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Kwanini mabango yao yalikuwa napicha ya mgombea Urais wa polepole wakati utaratibu ulikuwa hajakamilikaOfisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imesema vyama vya Tanzania Labour (TLP) na United Democratic (UDP) ambavyo vilitangaza kumuunga mkono mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli, vilisitisha mpango huo kwa sababu vilikuwa havijafuata kanuni na sheria za uchaguzi...
Kene hii picha huyo anaeruka 'sambasoti' atakuwa ni Jiwe.Lissu wachezeshe!!!View attachment 1592647
Ww jamaa Kila siku unaambiwa na Kila thread unaambiwa. Kilema hakidhihakiwi kabla ujafa haujaumbika kumbuka Hilo.Mchoraji amekasahau kale kamguu na buti la jeje.
Kula ruzuku yenyewe ni akili. Kama wewe unaakili kula ruzuku kama yeye.Mbowe ana akili gani?. Kula ruzuku na faru John?. Hata muungane wote na beberu zenu pia. Kipigo kipo pale pale.
Wapi nimekidhihaki?Ww jamaa Kila siku unaambiwa na Kila thread unaambiwa. Kilema hakidhihakiwi kabla ujafa haujaumbika kumbuka Hilo.
Shetani Hana rafiki