Uchaguzi 2020 TLP na UDP zajiondoa kumpigia debe Magufuli

Yaani ktk hali ya kawaida na kwa mtu mwenye kuujali utu wake, heshima yake na mwenye kufikira Image yake in future,
Angejiuzuru urais, ameharibu na anazidi kuharibu
 
Yaani ktk hali ya kawaida na kwa mtu mwenye kuujali utu wake, heshima yake na mwenye kufikira Image yake in future,
Angejiuzuru urais, ameharibu na anazidi kuharibu
Yaani aibu tupu!!

Na mwaka huu I doubt kama hawa jamaa wasivyokimbia na masanduku ya kura au kuzima umeme wakati zoezi la kuhesabu kura likiendelea!
 
Yaani aibu tupu!!

Na mwaka huu I doubt kama hawa jamaa wasivyokimbia na masanduku ya kura au kuzima umeme wakati zoezi la kuhesabu kura likiendelea!
Haisaidii kuteleza kwa miti
 
Hawa TLP na wachumiatumbo wenzao ni wapuuzi wa kutupwa aisee. Haiwezekani hawa mabwege wajifanye kuunga mkono chama cha majambazi (CCM) halafu leo hii wajiondoe wakati kila kukicha tunajua wanajikomba kwa CCM!
 
Si wafute tu vyama,,hakuna haja ya kujitetea sana,maneno mawili tu,,KA na TA ...mnazunguka point sana
 
Hivi Hawa akina Nyahoza Sheria walisoma Vyuo gani mbona Mtu anakuwa KILAZA hivi?
 
Too late to justify their (NEC) action. Damage has already been done.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…