Uchaguzi 2020 TLP na UDP zajiondoa kumpigia debe Magufuli

Uchaguzi 2020 TLP na UDP zajiondoa kumpigia debe Magufuli

Hivi watu wanazungumzia ACT au wanazungumzia "muungano" wa ACT na CHADEMA?! Na wanazungumzia ACT na CHADEMA kwa sababu CHADEMA wametangaza kumuunga mkono Maalimu Seif kule Zanzibar na hapa ililetwa habari kuhusu Zitto kutangaza makubaliano kati ya ACT na CHADEMA kwamba ACT imuunge Tundu Lissu!!

Sasa hilo suala linahusishwa na issue inayodaliwa hapa kwa sababu kwa muda mrefu UDP na TLP walitangaza kumuunga mkono JPM lakini kila zilipoletwa tetesi kuhusu ACT na CHADEMA ku-team up, NEC wakawa wanatoka mbele na kudai kwamba hiyo ni kinyume na sheria!

Ni kutokana na hilo, ndo maana watu wanaamini tangazo la UDP na TLP kutangaza kutomuunga tena JPM ni janja tu ya NEC kuepuka zile lawama kwanini hakuwahi kupinga suala la TLP na UDP kumuunga mkono JPM lakini wawe wanapinga suala la Lissu kumuunga mkono Maalimu Seif na Membe kumuunga mkono Lissu!!
Sasa kuzungumzia muungano wa ACT na Chadema si ndio umeizungumzia ACT ambayo Lissu anaona ni moja ya chama kinachotumika tu kuvuruga upinzani kwamba hakijawahi kuwa na shida na serikali. Kwa sababu kwa maelezo ya Lissu alisema kuwa 2015 ACT na aliyekuwa mgombea wao wakati huo Anna Mghwila,ni kwamba hawakuwa wapinzani bali waliwekwa tu ili kupambana na Lowassa. Na ndiyo maana Mghwila akaja kuzawadiwa cheo cha ukuu wa mkoa.

Ndio maana nasema hiyo NEC haiwezi kusumbukwa akili na huo muungano wa vyama ambao chama kimoja ni pandikizi la chama tawala.
 
Sasa kuzungumzia muungano wa ACT na Chadema si ndio umeizungumzia ACT ambayo Lissu anaona ni moja ya chama kinachotumika tu kuvuruga upinzani kwamba hakijawahi kuwa na shida na serikali. Kwa sababu kwa maelezo ya Lissu alisema kuwa 2015 ACT na aliyekuwa mgombea wao wakati huo Anna Mghwila,ni kwamba hawakuwa wapinzani bali waliwekwa tu ili kupambana na Lowassa. Na ndiyo maana Mghwila akaja kuzawadiwa cheo cha ukuu wa mkoa.

Ndio maana nasema hiyo NEC haiwezi kusumbukwa akili na huo muungano wa vyama ambao chama kimoja ni pandikizi la chama tawala.
Naona unazidi kubadilisha magoli tu... twende taratibu; ulichosema ni hiki:
Lissu anasema serikali haijawahi kuwa na shida na ACT wala chama chengine zaidi ya Chadema na Cuf tu,kwa maana hao Chadema na Cuf ndiyo wapinzani pekee.
Kisha ukasisitiza:-
Ni kwamba NEC haiwezi kutafuta mbinu za kuzuia ACT kwa sababu ACT si wapinzani haijawahi kuwa na shida na serikali,kwahiyo point ACT haiwezi kufanya jambo ambalo litakuwa pigo kwa ccm na serikali yake hivyo NEC haina shida yeyote na ACT.
Nami nasisitiza, issue sio ACT, CHADEMA wala CUF bali issue ni collabo ya CHADEMA na ACT!!

That's one but two, mwenye tatizo na hiyo collabo sio Lissu, CHADEMA, CUF or anyone but NEC!

And three, kwa mujibu wa maelezo yako anayeona ACT inatumika kuvuruga upinzani ni Lissu wakati mwenye tatizo na collabo sio LIssu bali NEC... hivyo ni vitu viwili tofauti!!

On top of that, this politics! Again, this's politics... it's politics ndo maana Lissu huyo huyo unayedai kasema ACT inatumika kuua upinzani ndie Lissu huyo huyo aliyekuwa wa kwanza kutangaza hadharani kwamba CHADEMA inamuunga mkono Maalimu Seif; yaani Maalimu Seif yule yule kutoka chama kile kile cha ACT!

It's politics ndo maana Magufuli yule yule aliyekuwa anatajwa kwamba kiongozi mbovu na watu kama akina Kitilla Mkumbu, ndie Magufuli huyo huyo ambae hivi sasa anasifiwa na akina Kitila Mkumbo wale wale!!

It's politics ndo maana CHADEMA ile ile ambayo iliimba miaka 8 kwamba Lowassa ni FISADI ndiyo CHADEMA ile ile ambayo mwaka 2015 ilizunguka Tanzania mzima kumnadai Lowassa yule yule waliyekuwa wanasema fisadi!!

It's politics!
 

======

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imesema vyama vya Tanzania Labour (TLP) na United Democratic (UDP) ambavyo vilitangaza kumuunga mkono mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli, vilisitisha mpango huo kwa sababu vilikuwa havijafuata kanuni na sheria za uchaguzi.

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sity Nyahoza, alisema hayo jana wakati akihojiwa na Radio One kwenye kipindi cha Kumepambazuka.

Mapema mwaka huu, Mwenyekiti wa Taifa wa TLP, Augustino Mrema, na Mwenyekiti wa UDP, John Cheyo, kwa nyakati tofauti, walitangaza kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, vyama vyao havitaweka wagombea urais badala yake vitamuunga mkono mgombea wa CCM.

Hata hivyo, Nyahoza jana alisema katika uchaguzi wa mwaka huu, viko vyama ambavyo vilishawahi kupewa onyo na vikarekebishika.

"Mfano kuna Chama cha UDP na TLP walitangazaga kwamba wanamuunga mkono mgombea wa CCM, tukawaambia kuna utaratibu wake, hivyo hamjafuata inabidi mfuate. Wakaona hawajafuata utaratibu ikabidi wakae kimya, sasa hivi unawasikia tena?" Alihoji.

Alisema hivi sasa UDP baada ya kuelezwa walielewa na wanaendelea na kazi zao za kampeni na wana wagombea wao ambao wanaendelea kutangaza sera za chama chao.

Nyahoza alisema TLP kwa upande wake kiliweka hadi na bango na baada ya kuelezwa hakijafuata utaratibu, kiliyatoa sasa wanaendelea na kampeni zao.

"Kwa hiyo vyama ni sikivu, vile ambavyo siyo sikivu wawe wasikivu na kuzingatia sheria na kanuni maana kama mgombea wa chama chako msipokuwa wasikivu ukishinda kwenye uchaguzi itakuwaje," alisema.

Aidha, Nyahoza alisema vyama lazima vitambue kuwa kama huna amani na utulivu huwezi kuwa na uchaguzi.

"Unapokaa jukwaani ukaongea ukanadi sera yako au hata ukaongea mambo yako yawe ya ovyo au ya msingi ujuwe unaongea sababu kuna amani, huwezi kwenda kukaa sehemu risasi zinapigwa, vurugu watu wanafukuzana utapataje muda wa kukaa," alisema.

Aliongeza kuwa msajili wa vyama vya siasa ambaye kisheria ndiye msimamizi na mlezi wa vyama vyote vya siasa, ataendelea kuvishauri na kuvionya vile ambavyo vinakiuka sheria na kanuni.

"Msajili ni mlezi wa vyama vya siasa hivyo inapotokea mtu amekiuka sheria taratibu kwenye kampeni wajibu wake kama mlezi ni kumuonya kwamba unachofanya siyo sahihi, akiendelea kufanya unamuonya tena si unajua mambo ya ulezi tena na ndiyo maana unaona tunawaandikiaga barua sana vyama vya siasa vile ambavyo vinakiuka taratibu na sheria," alisema.
Msajili wa Vyama hapaswi kuwasemea TLP na UDP.
vyama husika vinapaswa kutoa tamko wao wenyewe.

Pia Muandishi wa habari naye ni kichwa boga kwasababu ame-rely kwenye taarifa ya msajili wa vyama badala ya kwenda kuwahoji TLP na UDP baada ya maelezo hayo ya Msajili.
 
Naona unazidi kubadilisha magoli tu... twende taratibu; ulichosema ni hiki:

Kisha ukasisitiza:-

Nami nasisitiza, issue sio ACT, CHADEMA wala CUF bali issue ni collabo ya CHADEMA na ACT!!

That's one but two, mwenye tatizo na hiyo collabo sio Lissu, CHADEMA, CUF or anyone but NEC!

And three, kwa mujibu wa maelezo yako anayeona ACT inatumika kuvuruga upinzani ni Lissu wakati mwenye tatizo na collabo sio LIssu bali NEC... hivyo ni vitu viwili tofauti!!

On top of that, this politics! Again, this's politics... it's politics ndo maana Lissu huyo huyo unayedai kasema ACT inatumika kuua upinzani ndie Lissu huyo huyo aliyekuwa wa kwanza kutangaza hadharani kwamba CHADEMA inamuunga mkono Maalimu Seif; yaani Maalimu Seif yule yule kutoka chama kile kile cha ACT!

It's politics ndo maana Magufuli yule yule aliyekuwa anatajwa kwamba kiongozi mbovu na watu kama akina Kitilla Mkumbu, ndie Magufuli huyo huyo ambae hivi sasa anasifiwa na akina Kitila Mkumbo wale wale!!

It's politics ndo maana CHADEMA ile ile ambayo iliimba miaka 8 kwamba Lowassa ni FISADI ndiyo CHADEMA ile ile ambayo mwaka 2015 ilizunguka Tanzania mzima kumnadai Lowassa yule yule waliyekuwa wanasema fisadi!!

It's politics!
Point katika haya maelezo yako kama ulivyosema kuwa ni politics tu.
 
Sawa wajitowe tu. Ila sisi ACT hatutaacha kumpigia debe Lissu. Kama ni kosa waanze na UDP na TLP kisha ACT
 
Point ni kwamba shida ya NEC ni collabo ya CHADEMA na ACT, politics ni hayo aliyoongea Lissu!!!
2015 vyama vingi viliungana na bado haikuwazuia NEC kufanya jambo lao,sasa ndio itakuwa collabo ya vyama viwili tu ndio iwe shida kwa NEC?

Ni politics tu.
 
Hata hivyo, Vyama hivi havijawahi kukiongezea ama kukipunguzia chochote Chama cha CCM,

Na ukweli ni kuwa, hata wakijiondoa sasa, Ila Kura zao wataipigia CCM, si wenyeviti tu, na wanachama wao wote pia
kwani hiyo chupa umeikalia upande upi? kwa matakwoni au upande wa mdomoni? ila ulivyofura itakuwa umeikalia upande wa chini. pole sana bibie, maumivu yatapoa tu kama alivyopona ELITWEGE. Nae ameshawahi kalia upande huo huo uliokalia wewe
 
Hahaaaa acha hizo
Nilitamani kumfahamu huyu aliyeruka huku kichwa kikiwa chini na miguu ikiwa juu ni nani? Polepole, mahera, nyahoza, au ni mzee mwenyewe!!!!

Maana kuna kila dalili hiyo ngoma inayopigwa na huyo Mheshimiwa siyo tu kwamba imemchanganya, ila imemvuruga kabisa.
 
Mkuu samahani, hivi huwa unaoongea nini? Maana kila mahali naona unaandika neno ERROR TERM, au ndio msemo unaobamba huko mtaani kwenu, sasa umehasika na hilo neno naona unalileta humu jf. Sio watu wote humu jf wanajua misemo ya hamasa ya huko mtaani kwenu.
WEWE JAMAA HYAWEZEKANA CHAMA CHA SIASA BORA VIKO VINGI MAANA KUNA WATU WANGETEMBEA UCHI KWA SABABU HUELEWI OVIOUS
 
Mkuu samahani, hivi huwa unaoongea nini? Maana kila mahali naona unaandika neno ERROR TERM, au ndio msemo unaobamba huko mtaani kwenu, sasa umehasika na hilo neno naona unalileta humu jf. Sio watu wote humu jf wanajua misemo ya hamasa ya huko mtaani kwenu.
WEWE JAMAA HYAWEZEKANA CHAMA CHA SIASA BORA VIKO VINGI MAANA KUNA WATU WANGETEMBEA UCHI KWA SABABU HUELEWI OVIOUS VICHWA VYA WATU VIMEJAA MBALIMBALI NA KATHALIKA


UTAWALA WA CHAMA KIMOJA ILIKUWA KUORDER TU

1. ATEMBEE UCHI

2. FUKUZA KAZI

3. CHANA NGUO

4. LAZIMA ANIPENDE MIMI SIYO YULE

5. HATAKIWI KUOA/KUOLEWA

6. AFIKIRISHWE UJAMAA PEKEYAKE

7. HAFIKIRI TENA

8. TUNATAKA MOYO

9.TUNATAKA INI

10. ERROR TERM


WATU WANATEKELEZA KWA SABABU NI RAHA KUWA KARIBU NA KIONGOZI
 

======

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imesema vyama vya Tanzania Labour (TLP) na United Democratic (UDP) ambavyo vilitangaza kumuunga mkono mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli, vilisitisha mpango huo kwa sababu vilikuwa havijafuata kanuni na sheria za uchaguzi.

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sity Nyahoza, alisema hayo jana wakati akihojiwa na Radio One kwenye kipindi cha Kumepambazuka.

Mapema mwaka huu, Mwenyekiti wa Taifa wa TLP, Augustino Mrema, na Mwenyekiti wa UDP, John Cheyo, kwa nyakati tofauti, walitangaza kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, vyama vyao havitaweka wagombea urais badala yake vitamuunga mkono mgombea wa CCM.

Hata hivyo, Nyahoza jana alisema katika uchaguzi wa mwaka huu, viko vyama ambavyo vilishawahi kupewa onyo na vikarekebishika.

"Mfano kuna Chama cha UDP na TLP walitangazaga kwamba wanamuunga mkono mgombea wa CCM, tukawaambia kuna utaratibu wake, hivyo hamjafuata inabidi mfuate. Wakaona hawajafuata utaratibu ikabidi wakae kimya, sasa hivi unawasikia tena?" Alihoji.

Alisema hivi sasa UDP baada ya kuelezwa walielewa na wanaendelea na kazi zao za kampeni na wana wagombea wao ambao wanaendelea kutangaza sera za chama chao.

Nyahoza alisema TLP kwa upande wake kiliweka hadi na bango na baada ya kuelezwa hakijafuata utaratibu, kiliyatoa sasa wanaendelea na kampeni zao.

"Kwa hiyo vyama ni sikivu, vile ambavyo siyo sikivu wawe wasikivu na kuzingatia sheria na kanuni maana kama mgombea wa chama chako msipokuwa wasikivu ukishinda kwenye uchaguzi itakuwaje," alisema.

Aidha, Nyahoza alisema vyama lazima vitambue kuwa kama huna amani na utulivu huwezi kuwa na uchaguzi.

"Unapokaa jukwaani ukaongea ukanadi sera yako au hata ukaongea mambo yako yawe ya ovyo au ya msingi ujuwe unaongea sababu kuna amani, huwezi kwenda kukaa sehemu risasi zinapigwa, vurugu watu wanafukuzana utapataje muda wa kukaa," alisema.

Aliongeza kuwa msajili wa vyama vya siasa ambaye kisheria ndiye msimamizi na mlezi wa vyama vyote vya siasa, ataendelea kuvishauri na kuvionya vile ambavyo vinakiuka sheria na kanuni.

"Msajili ni mlezi wa vyama vya siasa hivyo inapotokea mtu amekiuka sheria taratibu kwenye kampeni wajibu wake kama mlezi ni kumuonya kwamba unachofanya siyo sahihi, akiendelea kufanya unamuonya tena si unajua mambo ya ulezi tena na ndiyo maana unaona tunawaandikiaga barua sana vyama vya siasa vile ambavyo vinakiuka taratibu na sheria," alisema.
Porojo tupu.
 
Mbona Jana nilimwona Cheyo akisisitiza kuwa ataendelea kumwunga mkono mgombea wa CCM?

Ina maana tume walidanganya uma?
 

======

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imesema vyama vya Tanzania Labour (TLP) na United Democratic (UDP) ambavyo vilitangaza kumuunga mkono mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli, vilisitisha mpango huo kwa sababu vilikuwa havijafuata kanuni na sheria za uchaguzi.

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sity Nyahoza, alisema hayo jana wakati akihojiwa na Radio One kwenye kipindi cha Kumepambazuka.

Mapema mwaka huu, Mwenyekiti wa Taifa wa TLP, Augustino Mrema, na Mwenyekiti wa UDP, John Cheyo, kwa nyakati tofauti, walitangaza kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, vyama vyao havitaweka wagombea urais badala yake vitamuunga mkono mgombea wa CCM.

Hata hivyo, Nyahoza jana alisema katika uchaguzi wa mwaka huu, viko vyama ambavyo vilishawahi kupewa onyo na vikarekebishika.

"Mfano kuna Chama cha UDP na TLP walitangazaga kwamba wanamuunga mkono mgombea wa CCM, tukawaambia kuna utaratibu wake, hivyo hamjafuata inabidi mfuate. Wakaona hawajafuata utaratibu ikabidi wakae kimya, sasa hivi unawasikia tena?" Alihoji.

Alisema hivi sasa UDP baada ya kuelezwa walielewa na wanaendelea na kazi zao za kampeni na wana wagombea wao ambao wanaendelea kutangaza sera za chama chao.

Nyahoza alisema TLP kwa upande wake kiliweka hadi na bango na baada ya kuelezwa hakijafuata utaratibu, kiliyatoa sasa wanaendelea na kampeni zao.

"Kwa hiyo vyama ni sikivu, vile ambavyo siyo sikivu wawe wasikivu na kuzingatia sheria na kanuni maana kama mgombea wa chama chako msipokuwa wasikivu ukishinda kwenye uchaguzi itakuwaje," alisema.

Aidha, Nyahoza alisema vyama lazima vitambue kuwa kama huna amani na utulivu huwezi kuwa na uchaguzi.

"Unapokaa jukwaani ukaongea ukanadi sera yako au hata ukaongea mambo yako yawe ya ovyo au ya msingi ujuwe unaongea sababu kuna amani, huwezi kwenda kukaa sehemu risasi zinapigwa, vurugu watu wanafukuzana utapataje muda wa kukaa," alisema.

Aliongeza kuwa msajili wa vyama vya siasa ambaye kisheria ndiye msimamizi na mlezi wa vyama vyote vya siasa, ataendelea kuvishauri na kuvionya vile ambavyo vinakiuka sheria na kanuni.

"Msajili ni mlezi wa vyama vya siasa hivyo inapotokea mtu amekiuka sheria taratibu kwenye kampeni wajibu wake kama mlezi ni kumuonya kwamba unachofanya siyo sahihi, akiendelea kufanya unamuonya tena si unajua mambo ya ulezi tena na ndiyo maana unaona tunawaandikiaga barua sana vyama vya siasa vile ambavyo vinakiuka taratibu na sheria," alisema.
Hawaja jiondoa ayo magazeti ni kanjanja
 
Back
Top Bottom