Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Meno yote nje!! Asali ya Jaji wa mahakama kuu si ya kitoto!! Marupurupu yake usiombe kuyajua!!Hivi ndivyo ilivyo , je kuna haja yoyote ya kuendelea kuamini Sungusia na wenzake ?
Mbona wakati wa viongozi waliopita mambo hayakuwa hivi ?
View attachment 2738124
Penye udhia penyeza shekeliHivi ndivyo ilivyo , je kuna haja yoyote ya kuendelea kuamini Sungusia na wenzake ?
Mbona wakati wa viongozi waliopita mambo hayakuwa hivi ?
View attachment 2738124
Hakika ! lakini hawa viongozi wa TLS wa sasa waliokotwa wapi ?Penye udhia penyeza shekeli
Mie nilivyoona Sungusia ame-concentrate kutembeza bakuli,nikajua hapo hakuna kituHakika ! lakini hawa viongozi wa TLS wa sasa waliokotwa wapi ?
Nimekuonya mara nyingi kuhusu matusi , unaweza kutoa hoja bila matusi na ukaeleweka tu , vinginevyo utabadili sana ID kwa kutandikwa ban za kijinga , siku ukijua mimi ni boss wa boss wako utajisikiaje ?Unalia mumeo kutokupewa cheo alipokuwa mwenyekiti wa TLS 😂
Nsamehe boss wangu, kumbe ndo maana huu n mwaka wa saba bado najitolea kwenye kampuni yako bila kuajiriwa kumbe sababu n kukutukana ww boss wa maboss zangu.Nimekuonya mara nyingi kuhusu matusi , unaweza kutoa hoja bila matusi na ukaeleweka tu , vinginevyo utabadili sana ID kwa kutandikwa ban za kijinga , siku ukijua mimi ni boss wa boss wako utajisikiaje ?
N kweli naweza kutoa hoja bila matusi japokuwa sijakutukana.Nimekuonya mara nyingi kuhusu matusi , unaweza kutoa hoja bila matusi na ukaeleweka tu ,vinginevyo utabadili sana ID kwa kutandikwa ban za kijinga , siku ukijua mimi ni boss wa boss wako utajisikiaje ?
By Rostam AzizMahakama ambazo mtu akipiga simu wanabadilisha hukum
Kama KKKT ya Mwalusisa!!!Hakika ! lakini hawa viongozi wa TLS wa sasa waliokotwa wapi ?
TLS ni Jumuia ndani ya CCM haina MENO TENAHivi ndivyo ilivyo , je kuna haja yoyote ya kuendelea kuamini Sungusia na wenzake ?
Mbona wakati wa viongozi waliopita mambo hayakuwa hivi ?
View attachment 2738124