M MKWEAMINAZI JF-Expert Member Joined May 28, 2023 Posts 930 Reaction score 1,304 Sep 4, 2023 #21 Erythrocyte said: Nimekuonya mara nyingi kuhusu matusi , unaweza kutoa hoja bila matusi na ukaeleweka tu , vinginevyo utabadili sana ID kwa kutandikwa ban za kijinga , siku ukijua mimi ni boss wa boss wako utajisikiaje ? Click to expand... Huyu Mbaga ana ujinga sana muda wote ni Lugha ya Matusi kuna haja ya kumripoti aache ujinga wake arudi FB alikokuwa
Erythrocyte said: Nimekuonya mara nyingi kuhusu matusi , unaweza kutoa hoja bila matusi na ukaeleweka tu , vinginevyo utabadili sana ID kwa kutandikwa ban za kijinga , siku ukijua mimi ni boss wa boss wako utajisikiaje ? Click to expand... Huyu Mbaga ana ujinga sana muda wote ni Lugha ya Matusi kuna haja ya kumripoti aache ujinga wake arudi FB alikokuwa
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Sep 4, 2023 #22 Mshana Jr said: Penye udhia penyeza shekeli Click to expand... Na ikumbukwe tu huyu mama yetu yuko vizuri sana kwenye hiki kipengele. Naona anafuata nyendo za mtangulizi wake kwenye baadhi ya mambo.
Mshana Jr said: Penye udhia penyeza shekeli Click to expand... Na ikumbukwe tu huyu mama yetu yuko vizuri sana kwenye hiki kipengele. Naona anafuata nyendo za mtangulizi wake kwenye baadhi ya mambo.
Pac the Don JF-Expert Member Joined Feb 17, 2021 Posts 6,170 Reaction score 7,710 Sep 4, 2023 #23 Erythrocyte said: Hivi ndivyo ilivyo , je kuna haja yoyote ya kuendelea kuamini Sungusia na wenzake ? Mbona wakati wa viongozi waliopita mambo hayakuwa hivi ? View attachment 2738124 Click to expand... Hawana impact yoyote kwa watanzania, bora wale kwa uref wa rope zao tu!!
Erythrocyte said: Hivi ndivyo ilivyo , je kuna haja yoyote ya kuendelea kuamini Sungusia na wenzake ? Mbona wakati wa viongozi waliopita mambo hayakuwa hivi ? View attachment 2738124 Click to expand... Hawana impact yoyote kwa watanzania, bora wale kwa uref wa rope zao tu!!