TLS wao kila siku ni kulia na kuomba misaada kwa Rais, Law Bar za nchi nyingine hazina huu ujinga

TLS wao kila siku ni kulia na kuomba misaada kwa Rais, Law Bar za nchi nyingine hazina huu ujinga

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ukifuatilia hata Law Bar Associations ya Rwanda tu utagundua huwezi wakuta wanaenda kulia lia kwa Kagame mara wapewe Gari mara Kagame awwpunguziwe Kodi, nenda Law Bar ya Uganda huwezi kuta huu ujinga wa kwenda kuomba msaada kwa Mseveni.

Njoo sasa kwa Law bar association ya Kenya, ile ndio imepinda kisawa sawa chini ya MWanamke mmmoja jivi alie pinda hasa. Huwezi wakuta wanaenda kumpigia Ruto Magoti na kulia lia mara wapewe Gari na Ruto.

Screenshot_20250204_065505_com.android.gallery3d.jpg


Hii Law Bar association ya Tanzania haina tofauti na Chama cha Walimu au hata TUKUTA, daily wakipata chansi ya kukutana na Rais ni kulia lia shida tu.

Sasa kama Wanasheria wananenda kulia shida kwa Raisi mara wapunguziwe Mzigo wa kodi, Mara Gari, vipi wataweza pambana na uvunjivu wa haki katika nchi hii? Vipi raia wa kawaida nani atenda kuwaliliwa wapunguziwe mizgo wa kodi?

Mwamabukisi ni kama alisha lishwa asali kitambo sana angalia alivyo kuwa moto na alivyo sasa hivi. Kimya.

Mwambukusi aliongoza kampeni ya kumnanga sana Mbowe kwamba ni mlaini sana kwa Raisi, ila yeye hajioni kabisa, Nyani haoni Kundule lake.
 
Ukifuatilia hata Law Bar Associations ya Rwanda tu utagundua huwezi wakuta wanaenda kulia lia kwa Kagame mara wapewe Gari mara Kagame awwpunguziwe Kodi, nenda Law Bar ya Uganda huwezi kuta huu ujinga wa kwenda kuomba msaada kwa Mseveni.

Njoo sasa kwa Law bar association ya Kenya, ile ndio imepinda kisawa sawa chini ya MWanamke mmmoja jivi alie pinda hasa. Huwezi wakuta wanaenda kumpigia Ruto Magoti na kulia lia mara wapewe Gari na Ruto.
View attachment 3224543

Hii Law Bar association ya Tanzania haina tofauti na Chama cha Walimu au hata TUKUTA, daily wakipata chansi ya kukutana na Rais ni kulia lia shida tu.

Sasa kama Wanasheria wananenda kulia shida kwa Raisi mara wapunguziwe Mzigo wa kodi, Mara Gari, vipi wataweza pambana na uvunjivu wa haki katika nchi hii? Vipi raia wa kawaida nani atenda kuwaliliwa wapunguziwe mizgo wa kodi?

Mwamabukisi ni kama alisha lishwa asali kitambo sana angalia alivyo kuwa moto na alivyo sasa hivi. Kimya.

Mwambukusi aliongoza kampeni ya kumnanga sana Mbowe kwamba ni mlaini sana kwa Raisi, ila yeye hajioni kabisa, Nyani haoni Kundule lake. Iyo ya Rwanda imewahi kumkemea Kagame kwa udikiteita wake? Nilini umesikia wakitetea Raia wa Rwanda wanaomkosoa Kagame? Kabla haujaandika shirikisha ubongo wako mkuu.
 
Kuandika tu hujui hoja zinakuwaje na mashiko. Umeamka vibaya wewe
 
Ukifuatilia hata Law Bar Associations ya Rwanda tu utagundua huwezi wakuta wanaenda kulia lia kwa Kagame mara wapewe Gari mara Kagame awwpunguziwe Kodi, nenda Law Bar ya Uganda huwezi kuta huu ujinga wa kwenda kuomba msaada kwa Mseveni.

Njoo sasa kwa Law bar association ya Kenya, ile ndio imepinda kisawa sawa chini ya MWanamke mmmoja jivi alie pinda hasa. Huwezi wakuta wanaenda kumpigia Ruto Magoti na kulia lia mara wapewe Gari na Ruto.
View attachment 3224543

Hii Law Bar association ya Tanzania haina tofauti na Chama cha Walimu au hata TUKUTA, daily wakipata chansi ya kukutana na Rais ni kulia lia shida tu.

Sasa kama Wanasheria wananenda kulia shida kwa Raisi mara wapunguziwe Mzigo wa kodi, Mara Gari, vipi wataweza pambana na uvunjivu wa haki katika nchi hii? Vipi raia wa kawaida nani atenda kuwaliliwa wapunguziwe mizgo wa kodi?

Mwamabukisi ni kama alisha lishwa asali kitambo sana angalia alivyo kuwa moto na alivyo sasa hivi. Kimya.

Mwambukusi aliongoza kampeni ya kumnanga sana Mbowe kwamba ni mlaini sana kwa Raisi, ila yeye hajioni kabisa, Nyani haoni Kundule lake.
Hata wananchi wake tanzania ni waoga sana ni mahodari wa kuandika kwenye mitandao wakiambiwa waandamane wote wanaharisha na kujifunika shuka gubi gubi na kujijambia mashuzi ukiangalia rwanda hawaogopi,uganda vile vile kenya ndio wamepinda walikula mpaka biryani ya bunge na wakatembeza siwa mtaani!
 
Mheshimiwa awanyime tu hilo gari, kwanza wao wapo upande wa pili,
 
Uanaharakati ni jambo binafsi

Ukiingia kwenye uongozi kuna sheria na kanuni za kuendeshaa Taasisi

ila pia labda Mama ni mwanasiasa mzuri.. anawapatia
 
Back
Top Bottom