TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam

Mie niko tofauti kidogo.
Kwani huyu binti kasema nini mpaka saizi?

Jamaa waliokamatwa je wao wamesema vipi?

Hili jambo linahitaji utulivu, watu wanalipapatikia kihisia sana na hili ndio tatizo la kulelewa na singo mama, wana judge mambo kwa feelings kuliko kufikiri hata kidogo.

Vipi kama ikija kujulikana wote kwa pamoja(majamaa na mdada)waliamua kurekodi video kwa hiyari yao, ila wakaamua kuigiza kama binti anashurutishwa??? Labda kwa lengo fulani kama kutafuta Kiki???

Siungi mkono matendo ya namna hiyo lakini tusubiri kidogo uchunguzi ndio tuongee.

Watu wamelipokea hili tukio kwa hisia sana(singo mama product) hivyo kila mtu anatoa matamko tu kana kwamba imethibitika ni ukweli.

Mara ngapi tunaonaga video za x unakuta mwanamke anashurutishwa kweli kweli lakini mwisho wa siku unaona ni maigizo tu.
 
Hii 👆 issue tisi hawausiki Kweli😂
 
Ila nimeshtuka sana nilipoona polisi imetoa namba za simu kuomba isaidiwe kuwapata. Jeshi lenye kila aina ya nyenzo linaombaje kusaidiwa na raia kuwakamata washenzi kama wale? Wakija wahalifu wakubwa kama kina Carlos jeshi litafanyaje?
Sasa jaribu ata kumtukana mkuu wa mkoa, utashangaa namba zako wamepata wapi😂​
 
Ofisi ya Fatma Karume wakati wa bwana Magufuli ilipigwa na bomu. Je, bwana Mwabukusi amejidhatiti kiulinzi ?
 
Uwezo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo sana samahani kwa kukuambia hivyo.
 
Ila nimeshtuka sana nilipoona polisi imetoa namba za simu kuomba isaidiwe kuwapata. Jeshi lenye kila aina ya nyenzo linaombaje kusaidiwa na raia kuwakamata washenzi kama wale? Wakija wahalifu wakubwa kama kina Carlos jeshi litafanyaje?
ukiona hivyo hawana nia ya kuwatafuta sababu washawajua ila hawana nia ya kuendelea mbele zaidi.
 
Ila nimeshtuka sana nilipoona polisi imetoa namba za simu kuomba isaidiwe kuwapata. Jeshi lenye kila aina ya nyenzo linaombaje kusaidiwa na raia kuwakamata washenzi kama wale? Wakija wahalifu wakubwa kama kina Carlos jeshi litafanyaje?
Hatari sana,na washarahisishiwa
Video wamepiga

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…