Kama polisi waliwakamata watu na kuwaweka ndani, ni lazima watu hao walifanya uvunjifu wa sheria za nchi hivyo wawafungulie mashitaka, kama polisi haiwafungulii mashitaka ni wazi kwamba ni vitendo vya uonevu wa polisi kwa raia hasà wa vyama vya upinzani wanapokuwa wanafanya shughuli zao za kisiasa.