Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu, salama huko ulipo?
Wataalam wa hali ya hewa wakitoa tahadhari ya mvua kubwa kunyesha shule zifungwe kufuatia matangazo hayo, kama tangazo hili lililotolewa juzi.
Wote tunajua ni hatari kipindi hiki, kwanini shule hazichukui iniative kuongeza usalama kwa watoto.
Halafu cha kushangaza mzazi akimzuia mtoto kwenda shule, siku inayofata mtoto atakula fimbo kwa kutega.
Tunasubiri janga lingime lotokee ndio tuwe tunachukua tahadhari? Utasikia wengine wanakuja na visingizio leo kuna mtihani, sasa kwani huo mtihani hauwezi kusogezwa mbele ukafanyika siku nyingine, kwamba usipofanywa siku hiyo basi shule inaboka na kkla kitu kinasimama?
Huyu mwanafunzi hapa kaloa chapa hata shule hata shule hajafika, hapa tu tayari ni ni hatari kwa afya, bado shida za barabara kufungwa, bado hajakutana na madereva wehu, embu tuwe serious kidogo na maisha ya watoto hawa.
Sio kila kitu mpaka msubiri serikalo itoe tamko kwani hamna vichwa mkaona hii ni hatari inabidi tuchukue hatua?
Wataalam wa hali ya hewa wakitoa tahadhari ya mvua kubwa kunyesha shule zifungwe kufuatia matangazo hayo, kama tangazo hili lililotolewa juzi.
Wote tunajua ni hatari kipindi hiki, kwanini shule hazichukui iniative kuongeza usalama kwa watoto.
Halafu cha kushangaza mzazi akimzuia mtoto kwenda shule, siku inayofata mtoto atakula fimbo kwa kutega.
Tunasubiri janga lingime lotokee ndio tuwe tunachukua tahadhari? Utasikia wengine wanakuja na visingizio leo kuna mtihani, sasa kwani huo mtihani hauwezi kusogezwa mbele ukafanyika siku nyingine, kwamba usipofanywa siku hiyo basi shule inaboka na kkla kitu kinasimama?
Huyu mwanafunzi hapa kaloa chapa hata shule hata shule hajafika, hapa tu tayari ni ni hatari kwa afya, bado shida za barabara kufungwa, bado hajakutana na madereva wehu, embu tuwe serious kidogo na maisha ya watoto hawa.
Sio kila kitu mpaka msubiri serikalo itoe tamko kwani hamna vichwa mkaona hii ni hatari inabidi tuchukue hatua?