UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
La sivyo nisingesema!Kwani unajua nilipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La sivyo nisingesema!Kwani unajua nilipo?
Niko wapi sasa hivi?La sivyo nisingesema!
Maboxini. Kwani umerudi lini?Niko wapi sasa hivi?
Hujui nilipo. Acha kujifanya mjuaji.Maboxini. Kwani umerudi lini?
Acha kuropoka, watu wanashinda kwenye computer ku-study na ku-analyse weather foresting models halafu wewe unakuja hapa kuropoka!Wameona leo joto kali tayari wameshatabiri mvua kubwa wakati inajulikana kabisa.
Sawa basiHujui nilipo. Acha kujifanya mjuaji.
Huna uthibitisho wowote ule kuwa nipo sehemu fulani.
Una assume tu.
Wewe acha ujinga, sisi wengine tunajua hali ya hewa na kutabiri itakuaje kwa kuangalia mawingu, joto, nyota, mwezi n.k. usifikiri me ni mjinga kama wewe na ukoo wako msioweza hata kusoma nyakati. Pumbaaav!Acha kuropoka, watu wanashinda kwenye computer ku-study na ku-analyse weather foresting models halafu wewe unakuja hapa kuropoka!
Watu wa dar walivyo machizi hawawezi kuelewa kila muda ni kulalamika tuuSasa hivi, wamewaletea hadi michoro.
Mshindwe wenyewe kuelewa.
Ngoja nisubiri Mimi napenda mvua Ila bachukia matope tu, mvua ikinyesha matope alafu washenzi wanafunguliza vyoo kishenzi ni kunuka mavi tuzitanyesha kwa siku nne mfululizo kuanzia kesho Novemba 15 na zitaendelea hadi Jumamosi ya Novemba 18 mwaka huu
🤣🤣🤣...mziki mzitoSasa hivi jamaa watakubali hawawezi kubisha tena..... maana kazi wanaiona jinsi ilivyo