mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Jumapili moja moja nimekuwa nikifuatilia hii show ya TMT. Watangazaji wake (Joti na Lulu) kwa kweli nawakubali, wamejipanga vizuri.
Majaji mmh, namkubali mmoja tu, Monalisa. Richie na yule sijui Sarungi wananiboa, hawana mvuto wa kuongea.
Richie najua na bongo muvi mzoefu, tena wa siku nyingi lakini ameshindwa kuonyesha uzoefu wake ktk nafasi ya ujaji.
Huyu mwenzake Sarungi (sina hakika sana na hili jina) ndo kabisaaa, hajiwezi!! Ila natamani kumjua zaidi, so kwa aliye na details zake tafadhali tumwagie, binafsi sijawahi kumuona bongo muvi.
Nionavyo mimi: Mwenye kipindi amefanya mabadiliko kwenye safu ya majaji, hawaondoe Richie na mwenzie halafu aweke vifaa vingine kama kina J.B, Wema and the like.
Nahisi kipindi kingekuwa na mvuto wa kutosha na wadhamini wangejitokeza kwa wingi.
Huu ni mtizamo wangu jamani, msinishambulie.
Majaji mmh, namkubali mmoja tu, Monalisa. Richie na yule sijui Sarungi wananiboa, hawana mvuto wa kuongea.
Richie najua na bongo muvi mzoefu, tena wa siku nyingi lakini ameshindwa kuonyesha uzoefu wake ktk nafasi ya ujaji.
Huyu mwenzake Sarungi (sina hakika sana na hili jina) ndo kabisaaa, hajiwezi!! Ila natamani kumjua zaidi, so kwa aliye na details zake tafadhali tumwagie, binafsi sijawahi kumuona bongo muvi.
Nionavyo mimi: Mwenye kipindi amefanya mabadiliko kwenye safu ya majaji, hawaondoe Richie na mwenzie halafu aweke vifaa vingine kama kina J.B, Wema and the like.
Nahisi kipindi kingekuwa na mvuto wa kutosha na wadhamini wangejitokeza kwa wingi.
Huu ni mtizamo wangu jamani, msinishambulie.