Sitaki kuamini
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 343
- 1,021
- Thread starter
- #41
Ndio mkuu ,ndio nilipo right nowPole sana ndugu yangu. Wengi wanapitia haya, hauko peke yako. Hii picha ndiyo biashara yao au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu ,ndio nilipo right nowPole sana ndugu yangu. Wengi wanapitia haya, hauko peke yako. Hii picha ndiyo biashara yao au?
Sometimes its true 😂😂Hahahaaaa
Fiksi haoooooo
Upo sahihi mkuu ,hasa huo msitari wa mwisho.Hiyo biashara haukuzaliwa nayo na bila shaka wakati unaianza haikuwa kubwa tu ghafla.
Uchumi haukuzaliwa nao uliutafuta kwa jasho lako.
Kama uliweza kuutafuta, ukaupoteza basi amini kwamba unaweza kuutafuta pia.
Relax waza namna bora ya kusolve matatizo yanakukumba badala ya kuwaza depression.
Kwa sasa jitahidi kupunguza madeni wakati ukimove taratibu.
Hakuna binadamu asiyepitia misukosuko kinachotofautisha ni aina ya misukosuko na namna tunavyoweza kupambana nayo.
Wanaume hatupaswi kulia in public.
Pambana man usipoeUpo sahihi mkuu ,hasa huo msitari wa mwisho.
Ila ndio hivyo tunatoa sumu tu
Naamini hivyo D,hilo ni jina tu la JFUnaitwa sitaki kuamini.
Tuanze na unaamini kuwa Mungu yupo na anasaidia?
😂😂😂tumetoka mbali sana na munnoWazee wa kumanifest. Wadogo zake Munno Healer 😂😂❤️🔥
UShauri wa bure jaribu kutembeza hivyo vitu kwa miguu haswa maeneo ya mitaani hutokosa watejaBiashara nafanyia iringa..
0614228735
Naomba mje mnunue hata kisu nipate kusurvive wakuu🙏
😂😂😂 honestly to me iliwork out Dec. Hahaaaa😂😂😂tumetoka mbali sana na munno
pole sana ndugu!!! mimi nilipitia mtihani kama huo mwaka 2021,lakini ilihusu mahusiano ya kifamilia,wife alibeba kila k2 ndani,na 2likuwa na duka lafamilia akalihamisha akaenda kupanga nisipopajua,nilichanganyikiwa sana,nilikuwa mlevi nisiyechagua pombe,,gongo,mnazi,dengerua,bangi,sigara,bia,,,yaani kilevi chochote kasoro MUNGU aliniepusha kuvuta unga!!!!,gari yangu ndogo kidogo iniue kwa ajali,ikabidi niitoe injini ili nisiweze kuliendsha,,,,,maisha yaliendelea ivo mpaka siku moja nikajiuliza nitaishi mpaka lini manake nilianza kusumbuliwa na pressure,nilishaanguka barabrani kupata fahamu nipo emergence room pale dar group hospital,,,yaani afya iliporomoka nikawa kama mgongwa yaani,,,basi,,,nikaanza kujiingiza na ibada za kilokole,mikesha,nikawa nasoma sana biblia{nikakutana na kisa cha ayubu alivopata misukosuko}pia,nikisikia kuna mihadhara ya kiislam nikawa naenda na mawaidha yao yalisaidia sana,,,,,kwa sasa naendela vizuri japo sio asilimia 100,bangi,sigara,na pombe za ovyo na pombe kalizote nimeacha!!!!!,,,kazi nafanya kama kawaida ah!! ajabu upande wapili pigo limemrudia,duka kausha damu wamefilisi,vi2 vya ndani vilevile,karudi kwao kwa aibu kubwa,,anaomba kurudi kupitia ndugu lakini ingawa bado nampenda lakini namwogopa sana,namuona kama muuaji ivi,,,,so,nimekusimulia ili nikutie moyo kwamba yatapita haya!!! ki2 cha muhimu ukiona dalili za marafiki zako kukukwepa,usilazimishe,jiweke kando kwani ukilazimisha utaumia zaidi.................KOMAA "MUNGU yupo na wewe"Depression hii imesababishwa na anguko kubwa la kiuchumi ninalopitia.
Biashara imechakaa, sina mzigo wala pesa bali madeni tu ,am stalked.
Things are not moving, napitia kipindi kigumu sana kuliko vipindi vyangu vyote vigumu hapa duniani.
Am in btn devil and deep blue sea.
View attachment 2903809
kikubwa imani yaani na ukifanya usiwaze😂😂😂 honestly to me iliwork out Dec. Hahaaaa
Nataka nipige moja ninayemdai anilipe 🥹
pole sana mkuu[emoji24] mama yangu usiku wakuamkia j5 kapigwa tukio la kijambazi , bongo yakisefenge sana ,imebidi niende bar kabisa leo mkuu , coz ilibaki kidgo waniondolee uhai wa kipenz changu mama yangu mzazi[emoji24][emoji24][emoji24]
Dah yan , leo nmevurugwa kabisa aseee.pole sana mkuu
M1 deni we huna deni amin kwambakaza moyo tukianza tusimulie yetu hapa JF utaona yako yana unafuu.mimi deni dogo ni milioni 1. na maisha yana kwenda
Unafanya nn kama ni biashara...wewe ni mzembeMm nipo dar na kwa sasa napitia kipindi kingumu balaa..
Naichukua hii mkuu.pole sana ndugu!!! mimi nilipitia mtihani kama huo mwaka 2021,lakini ilihusu mahusiano ya kifamilia,wife alibeba kila k2 ndani,na 2likuwa na duka lafamilia akalihamisha akaenda kupanga nisipopajua,nilichanganyikiwa sana,nilikuwa mlevi nisiyechagua pombe,,gongo,mnazi,dengerua,bangi,sigara,bia,,,yaani kilevi chochote kasoro MUNGU aliniepusha kuvuta unga!!!!,gari yangu ndogo kidogo iniue kwa ajali,ikabidi niitoe injini ili nisiweze kuliendsha,,,,,maisha yaliendelea ivo mpaka siku moja nikajiuliza nitaishi mpaka lini manake nilianza kusumbuliwa na pressure,nilishaanguka barabrani kupata fahamu nipo emergence room pale dar group hospital,,,yaani afya iliporomoka nikawa kama mgongwa yaani,,,basi,,,nikaanza kujiingiza na ibada za kilokole,mikesha,nikawa nasoma sana biblia{nikakutana na kisa cha ayubu alivopata misukosuko}pia,nikisikia kuna mihadhara ya kiislam nikawa naenda na mawaidha yao yalisaidia sana,,,,,kwa sasa naendela vizuri japo sio asilimia 100,bangi,sigara,na pombe za ovyo na pombe kalizote nimeacha!!!!!,,,kazi nafanya kama kawaida ah!! ajabu upande wapili pigo limemrudia,duka kausha damu wamefilisi,vi2 vya ndani vilevile,karudi kwao kwa aibu kubwa,,anaomba kurudi kupitia ndugu lakini ingawa bado nampenda lakini namwogopa sana,namuona kama muuaji ivi,,,,so,nimekusimulia ili nikutie moyo kwamba yatapita haya!!! ki2 cha muhimu ukiona dalili za marafiki zako kukukwepa,usilazimishe,jiweke kando kwani ukilazimisha utaumia zaidi.................KOMAA "MUNGU yupo na wewe"
Deni 2.6M ila kwa watu tofauti ndugu.Ilo deni lako linafika kias gan ?
Depression hii imesababishwa na anguko kubwa la kiuchumi ninalopitia.
Biashara imechakaa, sina mzigo wala pesa bali madeni tu, I am stalked.
Things are not moving, napitia kipindi kigumu sana kuliko vipindi vyangu vyote vigumu hapa duniani.
I'm in btn devil and deep blue sea.
View attachment 2903809