Ila utaweza? inaonekana ana mwili mkubwa si unajua watu wa mbeya ndizi + kitimoto + bia..Pasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
Atanyooka nikimlalia juu🤣🤣🤣🤭Ila utaweza? inaonekana ana mwili mkubwa si unajua watu wa mbeya ndizi + kitimoto + bia..
Sana ila kiburi tuWanaume tuna kaudhaifu sana ktk kupenda
[emoji3]kiburi kimeingiaje hapo?!Sana ila kiburi tu
[emoji38][emoji38][emoji2][emoji38]Embe bichi komaa kwanza mi ni mshangazi wa mishangazi nitakubemenda bure
😳🙄😒Nishawahi muona mahali
Yani hujakosea
Mali safi ile
Mtoto mbiiichi
Chuma namba DZ tena ni kwa sababu watu walikua wanategeana wanasubiri Namba E iingie sokoni😂
Aamin Kila lenye kheri kwao!
Vipi mtoto mkareeeee
Sawa mkuu, enjoy the decisionUnakuwepo mkuu,fresh tu
Mmggh!..Mganga wako sio tapeli.
Mwisho wa picha kumbe ni dume, 😂 JF on AirTunakugombania kama kaswala kamekatiza kwenye zizi la Simba
🤣🤣🤣🤣maji ataita mmaHaya ma mitandao ya kutumia yuza nemu bwana! Unaeza kuta huyu To Yeye ndo yule ex unaemchukia hutaki hata kumsikia kutokana na vitimbwi alivyokufanyia😅