‘To Yeye’ popote ulipo tambua unatembea na nusu ya moyo wangu

‘To Yeye’ popote ulipo tambua unatembea na nusu ya moyo wangu

Pasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
Ila utaweza? inaonekana ana mwili mkubwa si unajua watu wa mbeya ndizi + kitimoto + bia..
 
Nishawahi muona mahali


Yani hujakosea
Mali safi ile

Mtoto mbiiichi

Chuma namba DZ tena ni kwa sababu watu walikua wanategeana wanasubiri Namba E iingie sokoni😂
 
😳🙄😒
Vipi mtoto mkareeeee

Mkubalie mdada au bado unapima uzito wa soko maana wewe kuondoka mapema hii unaweza ukapishana na mahari ya waziri😂👍🏽

You’ve got a bright future kwenye mahusiano😁
 

Attachments

  • F8B1D0D0-A796-4F5D-8329-986EC404F2EC.jpeg
    F8B1D0D0-A796-4F5D-8329-986EC404F2EC.jpeg
    73.4 KB · Views: 4
Back
Top Bottom