Tofauti kati Mchawi na Mkristo

Tofauti kati Mchawi na Mkristo

Mchawi ndie kiumbe asiyekuwa na akili kuliko viumbe vyote duniani, anafanya uchawi kwake hauna faida wala si kwa Jamii yake, zaidi ya kumfurahisha shetani. Thus shetani uwahita wachawi " ninyi wapumbavu wangu".

1 mchawi anaroga mazao yasiote kesho ndie anaenda dukani kununua unga kwa bei juu.

2.Mchawi anabeba mimba kwa taabu miezi 9 then anamtoa sadaka kwa shetani.

3.. Mchawi anaroga nyumba isijengwe wakati angekinga maji ya mvua badala ya kutembea umbali kufuata maji.
Hawa wapumbavu wasio na akili naunga mkono wauwawe
 
Wakristo awabarikiwi sababu awamtolei Mungu wao bali wanatoa chenji yaani mabaki, thus wachawi wanaburuza Wakristo kwa umasikini, laana mikosi magonjwa.

Mchawi anabarikiwa Sana KWA sababu anatoa sana , SAsa mtu kamtoa sadaka mtoto wake ndio umshinde kwa tuna mafuta twa upako.

Mchawi anatoa hadi 80% ya sadaka anatumia 20%.Mkristo kaachiwa 90% nzima lakini 10% anashindwa then ndio upambane na mchawi lazima akugaragaze.
 
Mbona inawezekana kushika yote, babu wa babu yake babu alikuwa mwanga na shehe.

Bila ya yeye watu hawasali
Huyo alikuwa mchawi ni kama walivyo manabii na mitume wa uongo wa kizazi hiki.wameshika vyote
 
Umeacha bangi mkristo ni mtu mpole kama mwanakondoo mtu wa Amani ndio maana nchi zenye wakristo wengi zimetulia
 
Nuru na giza havichangamani, huwezi tumikia falme mbili. Uwe simba wakati huo huo uwe Yanga
Mbona Haji Manara ameweza.Yanga ikishinda anashangilia. Simba ikishinda anashangilia chooni.
 
Back
Top Bottom