Tofauti kati Mchawi na Mkristo

Walitumia elimu ya quran sababu quran is demonic
 
Mkristo hawezi shindana na mchawi linapokuja suala la mafanikio ya kiuchumi.
Mchawi anatoa sadaka iliyonona kwa mungu wake anatoa sadaka mtoto wake kipenzi, anatoa kafara basi zima la mkoani abiria 50 wote anachinja kwa kafara kumtolea shetani, then wewe Mkristo kumi mbovu tu inakushinda kutoa ndio uje ulingane na mchawi, thus wachawi ndio wamiliki wa utajili na mali nyingi kuliko Wakristo, Wakristo wanachapwa na ufukara, magonjwa, kuteswa na wachawi sababu awatoi.
Hakuna kiumbe kinachotoa sadaka nono na kwa uaminifu kama mchawi.
 
Unafaa kuwa pastor kaka.
 
Mkristo anahangaika sana kuuremba mwili wake kwa mavazi mazuri, lakini roho yake imejaa uwongo, chuki, masimango, uchoyo, na vitu vingi vibaya. Mchawi hana muda na mwili wake, ameikabidhi roho yake yote kwa shetani.[emoji23]
 
Kitu kinachonipa shida mimi kama mkristo ni mahali sahihi au bora pa kutolea sadaka, aina gani ya sadaka, kiwango cha sadaka nk.
 
Mkristo yuko mwilini zaidi. Mchawi yuko rohoni
 
Uchawi/uganga kwa kutumia maandiko ya Biblia, ndani ya hiki kitabu kinafundisha uchawi kwa katika mambo mbalimbali kwa kutumia maandiko kutoka kwenye zaburi.
 

Attachments

  • images.jpeg
    45.7 KB · Views: 4
Uchawi/uganga kwa kutumia maandiko ya Biblia, ndani ya hiki kitabu kinafundisha uchawi kwa katika mambo mbalimbali kwa kutumia maandiko kutoka kwenye zaburi.
Kama unacho kitabu nitumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…