Nenda ukashitaki FIFA. Mbona gongowazi mnakuwa watu wa malalamiko muda woteYanga juzi wakati wamacheza Ghana walivaa vitambaa vyeusi kuonyesha wanaguswa na tukio la Hanang hamna timu nyingine imefanya hivyo
Yanga kwenye foundation ya prof jay imechanga tsh 5m upande wa pili hata simba ambayo ndio timu yake haijatoa hata mia
Hapo ndio tofauti inapoanzia
Azam wanajaribu kuiga sijui kutoa misaada Kila wanapokuwa na mechi ila wapi
Yanga juzi wakati wamacheza Ghana walivaa vitambaa vyeusi kuonyesha wanaguswa na tukio la Hanang hamna timu nyingine imefanya hivyo
Yanga kwenye foundation ya prof jay imechanga tsh 5m upande wa pili hata simba ambayo ndio timu yake haijatoa hata mia
Hapo ndio tofauti inapoanzia
Azam wanajaribu kuiga sijui kutoa misaada Kila wanapokuwa na mechi ila wapi
mayatima algeria na watoto wa shule pale ghana pia wameonja misaada yetu MAISHA MAREFU KWA INJINIAYanga juzi wakati wamacheza Ghana walivaa vitambaa vyeusi kuonyesha wanaguswa na tukio la Hanang hamna timu nyingine imefanya hivyo
Yanga kwenye foundation ya prof jay imechanga tsh 5m upande wa pili hata simba ambayo ndio timu yake haijatoa hata mia
Hapo ndio tofauti inapoanzia
Azam wanajaribu kuiga sijui kutoa misaada Kila wanapokuwa na mechi ila wapi