Tofauti kati ya vitukuu vya mzungu na vitukuu vya mtu mweusi. Miaka 137 iliyopita na leo

Tofauti kati ya vitukuu vya mzungu na vitukuu vya mtu mweusi. Miaka 137 iliyopita na leo

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Mercedes benzi miaka 137 iliyopita na leo.
Mswahili akipanda miaka 137 iliyopita na leo.
FB_IMG_1713250777461.jpg
 
Daah!!
Kuna kitu hakipo sawa hasa kwetu sis wenye ngoz nyeusi
 
Hapo kuna watu wanalia na wengine wanawalaumu wazungu eti wao ndio wamesababisha tuwe nyuma 😆 😂
Inaumiza sana kuona hata wanaoiba mabilioni serikalini bado wananunua majembe ya mkono na kuwapa wafanyakazi wao badala ya tractors 🚜
Kwa hiyo usishangae sana kwani mchawi wa mtu mweusi ni wenyewe
 
Back
Top Bottom