Tofauti kubwa kati ya Hayati Magufuli na Rais Samia ni uvumilivu na kiwango cha ubinadamu. Tuipende Nchi yetu

Tofauti kubwa kati ya Hayati Magufuli na Rais Samia ni uvumilivu na kiwango cha ubinadamu. Tuipende Nchi yetu

Fafanua, biashara ngapi zimekufa kwa ajili kukosa umeme, ndoa ngapi zimevunyika kwa kukosa kipato.

Mwenzake JPM alithibiti mfumuko wa bei, maisha ya Watanzania wakati wa korona alituvusha kulinganisha na nchi jirani.

Ameweka mifumo tunapata chetu kwenye madini nk. Rushwa ilipungua, nidhamu iliongezeka. Wateule walifanya kazi. Umelipwa kiasi gani? Bibi yako, kijiji chako kina chakula?

Mafisadi hayawezi kukuelewa.

Hayat Rais Magufuli atabakia kuwa Rais aliyependwa na Watu nchini mwake, na kuchukiwa na vibaraka wa makaburu na mabeberu wa mtandaoni.
 
Yeye mwenyewe haipendi Tanganyika unategemea nini? amekuja kutujazia wazanzibar wenzake kwenye idara za serikali, unategemea watatuletea maendeleo waache kupeleka kwao Zanzibar? huyu maza binafsi simkubali kabisa
 
Mkuu, uongozi katika taasisi nyeti ya urais huangalia zaidi tija ya kiongozi mkuu wa taasisi hii na wala siyo haiba ama hulka binafsi ya mtu. Majukumu yaliyoainishwa kikatiba ya mtu aliyepewa dhamana ya kuiongoza taasisi yanajulikana vyema.

Kuwatendea haki hawa wawili, wote wanapwaya mno katika mizani inayoendana na majukumu nyeti ya kikatiba waliyokabidhiwa. Wakati JPM aliongoza nchi kwa "one man show" huyu SSH aongoza nchi kwa mikakati ya ki "MBWA", ashakhum si tusi, "it's just an acronym for Management By Walking Around*

Hakuna kati yao ameweza ku "adopt" mikakati ya ki "MBO", yaani "Management By Objective'. Ukweli mchungu ni kuwa wote wawili ni "empty case" [emoji19]
nakubaliana na wewe tena huyu ndiyo hawezi kabisa
 
Primitive society haihitaji mfumo, bali inahitajika brutality kuwatoa watu kutoka kwenye primitive kuwaleta kwenye civilization, wakishakuwa civilized ndio wanaweza kuishi kwa kufuata mifumo sasa.

Tatizo letu tukiiona ulaya iko civilized tunafikiria na Tanzania iko civilized pia, kumbe wao walipambana na uprimitive kwanza na kuutokomeza.

Tanzania bado mtu mmoja kutoka kwenye familia akipata cheo basi familia nzima na marafiki woote wanaamini cheo ni cha kwao.
Tanzania mtu akiwa kiongozi anaamini ameshayapatia maisha na kila kilichopo anahaki nacho binafsi.
Tanzania siasa ni ajira inayolipa sana kiasi cha kufanya watu waache taaluma zao zenye msaada kwenye jamii na kuwa wanasiasa.
Tanzania ukiwa kiongozi au mtumishi wa umma ni kama umetoa favour tu kwa wananchi na sio mtumishi wa wananchi.

Kwa sasa Tanzania inahitaji Rais dictator atakayeua wapumnavu weengi sana huku akifundisha watu kuishi Kwa utaratibu Kwa fimbo na mijeredi ili kuwatoa kutoka kwenye uprimitive.

Kukaa masaki na kuendesha VXV8R hakukufanyi wewe usiwe primitive uprimitive ni Ile ujinga wako unaoufanya na kughalimu maisha ya mamilioni ya watanzania.
 
Habari Jf , Tanzania inajengwa na itajengwa na watu wanao ipenda ingawa wengine wanaijenge kwa maslahi yao binafsi lakini maendeleo kama haya huja na maumivu makubwa kwa wengine.

Rais Samia na hayati Magufuli wote ni watu wenye upendo wa kweli na Nchi hii ukiachana na siasa na propaganda mbalimbali .

Hayati magufuli alitumia mfumo wa kulazimisha watu wawe wazalendo na kuipenda nchi yao - kutumia nguvu dhidi ya wasio ipenda nchi waipende ,kulazimisha watu wafuate sheria na n.k

Kwa sasa Rais Samia anatengeneza mfumo ambao watu wanao ipende nchi unakuwa rafiki kuiletea maendeleo nchi yao , Kiuhalisia kwa akili za wabongo na africa kwa ujumla ni ngumu sana .

Kwa kifupi kumpa uhuru Mtanzania na kuvumilia kwa kuangalia utu zaidi kuboa ni ngumu sana .

Si ajabu hata hiyo March umeme ukaendelea kukatika ,sukari na vitu vingine bei zikaendelea kupanda .

Mwisho kabisa Tuipende Nchi yetu nchi ipate maendeleo na maisha yawe vizuri maana sasa hivi hakuna atakae kuvamia ili utoe kodi , hakuna wa kutulazimisha kufuata sheria ,hakuna wa kukuattack ukiwa unapotosha umma .

Tanzania itajengwa na watu wanaoipenda .

Rais wangu punguza upole unatuumiza wananchi wa kawaida .​
kwani tokea afariki magufuli nchi hii ina raisi mwingine....?
kwa mambo yanavyoenda sidhani kama kuna raisi....may be mwanasesere!
 
Habari Jf , Tanzania inajengwa na itajengwa na watu wanao ipenda ingawa wengine wanaijenge kwa maslahi yao binafsi lakini maendeleo kama haya huja na maumivu makubwa kwa wengine.

Rais Samia na hayati Magufuli wote ni watu wenye upendo wa kweli na Nchi hii ukiachana na siasa na propaganda mbalimbali .

Hayati magufuli alitumia mfumo wa kulazimisha watu wawe wazalendo na kuipenda nchi yao - kutumia nguvu dhidi ya wasio ipenda nchi waipende ,kulazimisha watu wafuate sheria na n.k

Kwa sasa Rais Samia anatengeneza mfumo ambao watu wanao ipende nchi unakuwa rafiki kuiletea maendeleo nchi yao , Kiuhalisia kwa akili za wabongo na africa kwa ujumla ni ngumu sana .

Kwa kifupi kumpa uhuru Mtanzania na kuvumilia kwa kuangalia utu zaidi kuboa ni ngumu sana .

Si ajabu hata hiyo March umeme ukaendelea kukatika ,sukari na vitu vingine bei zikaendelea kupanda .

Mwisho kabisa Tuipende Nchi yetu nchi ipate maendeleo na maisha yawe vizuri maana sasa hivi hakuna atakae kuvamia ili utoe kodi , hakuna wa kutulazimisha kufuata sheria ,hakuna wa kukuattack ukiwa unapotosha umma .

Tanzania itajengwa na watu wanaoipenda .

Rais wangu punguza upole unatuumiza wananchi wa kawaida .​
Hueleweki
 
Unafiki unaliangamiza taifa,ccm ni ile ile kama wanavyojinadi, hii inamaanisha mapambio hayataisha hata rais awe steve nyerere.CCM ni kidonda ndugu.
 
Habari Jf , Tanzania inajengwa na itajengwa na watu wanao ipenda ingawa wengine wanaijenge kwa maslahi yao binafsi lakini maendeleo kama haya huja na maumivu makubwa kwa wengine.

Rais Samia na hayati Magufuli wote ni watu wenye upendo wa kweli na Nchi hii ukiachana na siasa na propaganda mbalimbali .

Hayati magufuli alitumia mfumo wa kulazimisha watu wawe wazalendo na kuipenda nchi yao - kutumia nguvu dhidi ya wasio ipenda nchi waipende ,kulazimisha watu wafuate sheria na n.k

Kwa sasa Rais Samia anatengeneza mfumo ambao watu wanao ipende nchi unakuwa rafiki kuiletea maendeleo nchi yao , Kiuhalisia kwa akili za wabongo na africa kwa ujumla ni ngumu sana .

Kwa kifupi kumpa uhuru Mtanzania na kuvumilia kwa kuangalia utu zaidi kuboa ni ngumu sana .

Si ajabu hata hiyo March umeme ukaendelea kukatika ,sukari na vitu vingine bei zikaendelea kupanda .

Mwisho kabisa Tuipende Nchi yetu nchi ipate maendeleo na maisha yawe vizuri maana sasa hivi hakuna atakae kuvamia ili utoe kodi , hakuna wa kutulazimisha kufuata sheria ,hakuna wa kukuattack ukiwa unapotosha umma .

Tanzania itajengwa na watu wanaoipenda .

Rais wangu punguza upole unatuumiza wananchi wa kawaida .​

Magufuli alikuwa analazimisha watu wafuate Sheria, halafu yeye mwenyewe akawa hafuati! Sukuma gang mnakwama wapi?
 
Back
Top Bottom