Tofauti na Magufuli, Nyerere alielewa mataifa tajiri yanatuonea, kutuingilia na alijua jinsi ya kubabiliana nayo kwa busara bila nguvu na umwamba!

Tofauti na Magufuli, Nyerere alielewa mataifa tajiri yanatuonea, kutuingilia na alijua jinsi ya kubabiliana nayo kwa busara bila nguvu na umwamba!

Mkuu unaweza kuwa sawa, lakini mfano ulioutumia wa vita ya Kagera sio sawa na hauna uhalisia!
Chokochoko za Idd Amini ndizo zilizotusukuma kuingia kwenye vita ile, hata ungelikuwa wewe machukizo ya Idd Amini usingweza kuyavumilia!
Amini alifika mahala anamwambia Nyerere ni beautifull na kwamba angelikuwa mwanamke angemuoa! Wakati wa uvamizi wa kule Kagera kuna ndugu zetu waliuwa kinyama sana, mama mjamzito anachomwa kisu kikavu kikavu na kukata tumbo kutoa mtoto nje alafu wote wakiwa maiti wanatupwa mbe ya mamba!
Tena katika uvamizi ule Amini alishusha bendera yetu na kupandisha ya Uganda huku akijitapa kuwa Nyerere akisema fyoo....atamtandika mpaka Dar es salaam!
Hivi wewe uwe ni kiongozi mwenye roho ya aina gani ya kuvumilia yote hayo huku mamia ya wananchi wako hawana makazi na wengine wameuawa??
Tuache kutungia mifano simple kwa hoja nzito! ....Hatukuwa na viwanda vya kutengeneza silaha za kivita za kukabiliana na Uganda ya Idd Amin ambayo ilikuwa imewekeza sana kwenye kuimarisha majeshi yake, hivyo kuomba msaada nje lilikuwa ni jambo lisiloepukika, vinginevyo waganda wangetusambaratisha na kuchukuwa Tanzania nzima!
Amini alichokoza makusudi na nyerere alivumilia mengi kutoka kwa amino maana alielewa taifa linaingizwa kwenye umasikini ishu ni kwamba kila binadamu anakiwango cha uvumilivu ndio maana mzee akaona liwalo na liwe.

Ile vite ilikuwa ya makusudi na ilitegemewa tupigwe (asante MUNGU) hatukupigwa.
Mfano nilio utoa umelenga kwenye behind the scene zaidi. Au hujawahi on a mtoto anatumwa aje akuulize unaondoka lini lakini wewe unaweza dhani mtoto amejiulizia tu kumbe wazazi wake wamemtuma.
 
Hizo ni conspiracy theory ambazo mara nyingi husemwa na watu ambao wakati huo wala hawakuwa wamezaliwa. Msugiuano wa Tanzania na Uganda ulianza siku nyingi kabla hata hiyo vita kuanza mwaka 1978. Kisa kilikuwa ni urafiki mkubwa kati ya Obote na Nyerere, na Nyerere kumhifadhi Obote na familia yake hapa Tanzania. Kulikuwa na supermarket moja tu Dar enzi hizo, Dar supr market, ambayo ilikuwa ya mama Obote ili kuikimu familia yao. Katika utawala wake, Idd Amin kila mfano wa vita alikuwa akitolea Tanzania. Kuna wakati kabla hata ya vita, alinunua ndege za vita akasema sasa tunaweza kupiga Mwanza kirahisi tu. Akinunua mizinga alikuwa anasema mizinga ina range ya kupiga hadi Dar es Salaam, Tanzania.

Hata kuna wakati timu ya Taifa ya mpira ilikuwa iende Uganda Nyerere akasema msiende yule kichaa anaweza kuwafunga au hata kuwaua, na hapo ilikuwa kabla ya vita.

Kina Museveni waliokimbilia Tanzania - kabla ya vita, walitaka kuanzisha vita ya msituni dhidi ya Idd Amin Nyerere akawaziua na kusema wasubiri kwanza, Mueveni aende shule badala ya kufikiria vita, na Idd Amin alijua haya yote.

Kwa hiyo vita kati ya Tanzania na Uganda lilikuwa ni suala la lini itatokea, sio msukumo wa nje. Na wala Tanzania ilikuwa haijajiandaa na vita hii. Ndio maana hata vikosi vya JWTZ havikuwa mpakani ndio maana Idd Amin aliiingia nchini kirahisi. Lile daraja la Kagera tulivunja wenyewe, lakini tukasema Idd Amin. Lengo lilikuwa kumfanya Idd Amin asiingie ndani zaidi kwa kuwa hatukuwa tayari kukabiliana nae.

Hata kujibu uvamizi, ilibidi tuanze kutafuta silaha kwanza na tukawa hatuna fedha za kununua cash ndio maana nchi kama Algeria wakatusaidia silaha muhimu baada ya nchi za Magharibi kutukatalia. Samora yeye alikuwa tayari kutupa majeshi yake immediately ili wakati tunajiandaa wao ndio wawe wanapigana frontline, Nyerere akawakatalia. In fact Samora wala hakungoja, tulipovamiwa tu alileta majeshi, wakaabiwa walinde mitaani hapa Dar, wakafundishwa neno moja la kiswahili "kitambulisho?"
Ukiwa choko choko zilianza mda mrefu halafu tena hatukujiandaa?
No way!

Tulizidiwa kila kitu na yule jamaa, na kama usemavyo, maghalibi walikataa kutupa mdaada kwa nini?je haikuwa na maana ya wao kutaka tupigwe ile tushike adabu? Unajua mataifa mengi yalikuwa nyuma ya amini?
Tanzania ni nchi ya ajabu kila kukicha inafanya maajabu ya kutisha na kuogofya.
Michezo ya kiuchumi sio ya kawaida kabisa!
 
Hizo ni conspiracy theory ambazo mara nyingi husemwa na watu ambao wakati huo wala hawakuwa wamezaliwa. Msugiuano wa Tanzania na Uganda ulianza siku nyingi kabla hata hiyo vita kuanza mwaka 1978. Kisa kilikuwa ni urafiki mkubwa kati ya Obote na Nyerere, na Nyerere kumhifadhi Obote na familia yake hapa Tanzania. Kulikuwa na supermarket moja tu Dar enzi hizo, Dar supr market, ambayo ilikuwa ya mama Obote ili kuikimu familia yao. Katika utawala wake, Idd Amin kila mfano wa vita alikuwa akitolea Tanzania. Kuna wakati kabla hata ya vita, alinunua ndege za vita akasema sasa tunaweza kupiga Mwanza kirahisi tu. Akinunua mizinga alikuwa anasema mizinga ina range ya kupiga hadi Dar es Salaam, Tanzania.

Hata kuna wakati timu ya Taifa ya mpira ilikuwa iende Uganda Nyerere akasema msiende yule kichaa anaweza kuwafunga au hata kuwaua, na hapo ilikuwa kabla ya vita.

Kina Museveni waliokimbilia Tanzania - kabla ya vita, walitaka kuanzisha vita ya msituni dhidi ya Idd Amin Nyerere akawaziua na kusema wasubiri kwanza, Mueveni aende shule badala ya kufikiria vita, na Idd Amin alijua haya yote.

Kwa hiyo vita kati ya Tanzania na Uganda lilikuwa ni suala la lini itatokea, sio msukumo wa nje. Na wala Tanzania ilikuwa haijajiandaa na vita hii. Ndio maana hata vikosi vya JWTZ havikuwa mpakani ndio maana Idd Amin aliiingia nchini kirahisi. Lile daraja la Kagera tulivunja wenyewe, lakini tukasema Idd Amin. Lengo lilikuwa kumfanya Idd Amin asiingie ndani zaidi kwa kuwa hatukuwa tayari kukabiliana nae.

Hata kujibu uvamizi, ilibidi tuanze kutafuta silaha kwanza na tukawa hatuna fedha za kununua cash ndio maana nchi kama Algeria wakatusaidia silaha muhimu baada ya nchi za Magharibi kutukatalia. Samora yeye alikuwa tayari kutupa majeshi yake immediately ili wakati tunajiandaa wao ndio wawe wanapigana frontline, Nyerere akawakatalia. In fact Samora wala hakungoja, tulipovamiwa tu alileta majeshi, wakaabiwa walinde mitaani hapa Dar, wakafundishwa neno moja la kiswahili "kitambulisho?"
Hiindioraha ya jf yn unapatakilakitu Asante.kuu
 
Back
Top Bottom