Nilikuwa tu Naomba Unitafsilie hasa Hiyo ya Kula Sehemu zake Za Siri Mpaka Leo Sijajua ni nini???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu viwiliMkuu Mshana je Ukiota Unatembea Mpekuo Usiku Saana Alafu Ukishtuka kumekucha unaskia Aibuuu Pia Niliota Nakula Nyeti za Shemeji yangu Kanisimamia Eti Nakula huku Nimekunja Saana Sura Pia Niliota huyo huyo Shemeji yangu Kanipakiza Kwenye Gari Ananikimbiza Porini Nikapiga kelele za Kuomba Msaada Huyo Shemeji yangu Uwa Hanipend Saana Ndo Kabakia kwenye Familia Ntashukuru Kwa Hayo Majibu Mkuu Wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu viwili
1. Shem wako ni mlozi, anafanya hayo.
2. Kuna mtu anatumia image yake kuficha uhalia wake.
Lakini yote yana kitu kimoja common, kuwa unafatwa usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Kwa Majibu Sasa Kinachomfanya Anifatilie ni Nini??? Make Yeye Alipewa Mgao Wake Chanzo ni Kutaka Kurithi Mali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kaka Mshana Asante Sana Kwa UshauliUsiache kutumia chumvi pia hasa wakati wa kulala
Jr[emoji769]
Kila mtu ana sababu ya kumloga mtu.
1. Kutaka vyote.
2.chuki labda kuna sehem ulimkwaz bila kujua.
3. Damj zimepishana, n. K
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza je ukiota unakula chakula cha kawaida, lakini katika mazingira usiyoyaelewa.Ni yale yale umeshikishwa ule mwenyewe
Asante sanaKuna ndoto za chakula hazina shida...ndoto mbaya ni hizi za nyama
Maana yake.Nini maana ya kuota ndogo kwenye makazi uliyoishi zamani na ungali ulishahama kitambo
Mkuu naomba melezo zaidi kwenye hizi points.Ulalapo roho huwa na tabia ya kuvinjari ulimwengu