Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

Habari mkuu je km unaota unatembea juu ya maji hii inamaa nagi!! new member
Katika hali ya kawaida haiwezekani ila kwa muujiza hivyo unapanga ama utafanya au unafikiria kufanya jambo ambalo wengi hawaliwezi
 
Mkuu nmeota nipo Na sahani ya wali na nyama ya kitimoto nikampa rafiki yangu ashike kwa sababu nilitaka kula nae na tulikuwa maeneo ya kwao lkn baadae nikakumbuka yeye ni muislam hivyo nikamwambia ni kitimoto akasema basi mimi nile tu basi nikala hii ina maana gani mkuu
 
Samahani mkuu hivi nani humuandikia binadamu kifo? Je huandikwa wakati gani?
Samahani sana mkuu Mshana yupo busy kwasasa ngoja nimsaidie kujibu.
Suala la kuepuka kufa hilo haliwezekani hata kidogo, ukiandikia kufa Tanzania unakufa hata kama utakua Ulaya.
Naomba twende sawa hapa. "Kuna kuepuka ajali na kunusurika kufa". Huwa kwenye taarifa za habari wanatoa sana neno hili " KUNUSURIKA KUFA". Naomba muweke mawazo yenu kwamba hakuna ambae anaweza kukunusuru usife. Mwenye uwezo huo ni Mungu pekee. Kifo kikiandikwa kimeandikwa. Ila ajali ina kinga.
 
Mkuu nmeota nipo Na sahani ya wali na nyama ya kitimoto nikampa rafiki yangu ashike kwa sababu nilitaka kula nae na tulikuwa maeneo ya kwao lkn baadae nikakumbuka yeye ni muislam hivyo nikamwambia ni kitimoto akasema basi mimi nile tu basi nikala hii ina maana gani mkuu
Tafsiri ya kumpa asiyekula.... Ulipaswa kula wewe lakini ikawa kuna kikwazo... Lakini baadae kikaondolewa
 
Wanasema kuna habari njema au nzuri itakufikia
Mshana Jr nipo nje ya mada yako....

Naomba unisaidie tafsiri ya jambo hili limenichanganya, toka usiku wa manane, jicho langu la Kulia, upande wa juu linacheza cheza sana, ambapo si kawaida yangu mzee, vipi tafsiri yake hapa yaweza kuwa ninini??

Maana sijielewi elewi na imekuwa too much.
 
.
1.jpeg


Jr[emoji769]
 
Kuna wakati naweza lala siku tatu had nne na nisiote chochote,na nnapopata ndoto huwa ntakiona hicho kitu ama nihisi nilishakiona mahali,
Ila kuna wakati nilifululiza kuota na kuona yakitoke na niliwaeleza wahusika nilichokiota na walikiri ni ya kweli.

Nashindwa kuelewa kwanini inakua hivi kuna wakati naota na wakati mwingine sioti, na sio kwamba nasahau ndoto lah, huwa sina kumbukumbu yoyote ya kuwa niliota'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia
Kuna wakati naweza lala siku tatu had nne na nisiote chochote,na nnapopata ndoto huwa ntakiona hicho kitu ama nihisi nilishakiona mahali,
Ila kuna wakati nilifululiza kuota na kuona yakitoke na niliwaeleza wahusika nilichokiota na walikiri ni ya kweli,
Nashindwa kuelewa kwanini inakua hivi kuna wakati naota na wakati mwingine sioti,na sio kwamba nasahau ndoto lah,huwa sina kumbukumbu yoyote ya kuwa niliota'

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Mkuu Mshana je Ukiota Unatembea Mpekuo Usiku Saana Alafu Ukishtuka kumekucha unaskia Aibuuu Pia Niliota Nakula Nyeti za Shemeji yangu Kanisimamia Eti Nakula huku Nimekunja Saana Sura Pia Niliota huyo huyo Shemeji yangu Kanipakiza Kwenye Gari Ananikimbiza Porini Nikapiga kelele za Kuomba Msaada Huyo Shemeji yangu Uwa Hanipend Saana Ndo Kabakia kwenye Familia Ntashukuru Kwa Hayo Majibu Mkuu Wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh hana shughuli za kishirikina kweli?
Mkuu Mshana je Ukiota Unatembea Mpekuo Usiku Saana Alafu Ukishtuka kumekucha unaskia Aibuuu Pia Niliota Nakula Nyeti za Shemeji yangu Kanisimamia Eti Nakula huku Nimekunja Saana Sura Pia Niliota huyo huyo Shemeji yangu Kanipakiza Kwenye Gari Ananikimbiza Porini Nikapiga kelele za Kuomba Msaada Huyo Shemeji yangu Uwa Hanipend Saana Ndo Kabakia kwenye Familia Ntashukuru Kwa Hayo Majibu Mkuu Wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom