Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye kuota ndoa ni lazima kwanza ujue msingi wa ndoa ninini.Ahsante sana mkuu nimekusoma kidogo, ila kabla sijajaribu kukujibu swali lako nakuomba kama nimekosea unisamehe sana.
Suala la kuota ndoa sihafaham ulikusudia vipi, " kuota kwamba umeifunga au imevunjika? Naomba unisaidie hapo ili twende sawa.
Mkuu mi nikiota nakula nyama. Hapo najuw ni taarifa ya msiba kwa mtu wa karibu.Nakaribia kustaafu niombee nisirudi siasani
Mkuu sijakuelewa vizuri.Cgunguza ni misiba yenye mashaka mengi
Sisi wengine tunatamani uendelee kule ingawa kwa sasa ni pagumu.Nakaribia kustaafu niombee nisirudi siasani
Mara nyingi ukiongea na wanajimu wa elimu zinazohusu anga na nyota watakuambia mara zote mambo tunayoota hutukia kinyume na tulivyoota, mathalan unaota kufa kwenye ajali inakuwa kinyume chake, ama unaota mgonjwa wako amefariki ila ndo tunaambwa kwamba status yake ya kuishi ndo inaongezeka, swali likaja ikiwa hivyo ndivyo vipi kwa kumwota binti mara kwa mara kama mwandani wako?Ahsante sana mkuu nimekusoma kidogo, ila kabla sijajaribu kukujibu swali lako nakuomba kama nimekosea unisamehe sana.
Suala la kuota ndoa sihafaham ulikusudia vipi, " kuota kwamba umeifunga au imevunjika? Naomba unisaidie hapo ili twende sawa.
Dah.... Bora umestuka profesa..unaowaamini hawaaminiki...[emoji87]Vema tukarejea kwenye mada zetu hizi... Huko siasani ni tabu tupu... Kunaweza kukufanya mtu sometimes uwe na frustration zako... Nitajitahidi nisiende tena kule.... Japo naona kama naidhulumu nafsi...
Jr[emoji769]
Naomba nikujibu kibliblia,Asante mkuu...naomba nitoke nje ya mada niulize...niliwah kuota nimekufa na nimewekwa kwenye jeneza ina maan gani ndoto hii?!
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Inasaidia pia
Mshana Jr nipo nje ya mada yako....Vema tukarejea kwenye mada zetu hizi... Huko siasani ni tabu tupu... Kunaweza kukufanya mtu sometimes uwe na frustration zako... Nitajitahidi nisiende tena kule.... Japo naona kama naidhulumu nafsi.....
============================================
Dhana ya kula chakula ndotoni si jambo baya si jambo la ajabu japo kuna wakati huambatana na matatizo ya kisaikolojia kwa sehemu! Lakini lazima tutambue kuwa lazima tuote kuota ni lazima na kuna ndoto baadhi hazina maana yoyote zaidi ya kumbukumbu ya yaliyopita.....
Kuota mara kwa mara unakula ni ishara ya kutamani kufanikisha jambo fulani katika maisha, hamu ya kuwa na mahusiano , mali ama mafanikio yoyote yale.. Chakula ni uhai bila chakula uhai uko shakani hivyo kuota unakula ni dalili za kutaka kupata uhai kwenye jambo fulani
Lakini vilevile kuota unakula hutokana na kutamani chakula fulani lakini ikatokea hukukipata lakini ufahamu wako ukahifadhi ile hamu na usiku unapolala roho yako huondoka na kwenda kutafuta chakula husika na kuiridhisha nafsi tamanifu....
Sasa turudi kwenye mada... Kuota unakula nyama na kulishwa nyama... Kuna tofauti kubwa hapa
Kuota unakula nyama ni tafsiri ni dalili ya kutaka mafanikio ama kufanikisha jambo lako kwa njia ya kudhuru ama kuumiza wengine.. Yani ufanikiwe wewe lakini ukiacha wengine na madhara... Nyama inatokana na kuondosha uhai wa kiumbe hai kingine... Hii hutokana na mawazo tuwazayo bila kujua madhara yake kiroho... Kwa mfano penzi linazingua unatamani kurekebisha mambo lakini masharti ya mtaalam unatakiwa upate kuku wa kafara.... Ni kitu kama hiki... Unatamani cheo kazini, mvuto ama umaarufu nk unaambiwa dawa yake lazima itengenezwe na damu na mzoga wa mbuzi... Ni vitu kama hivi... Hivyo kupitia ndotoni hujidhihiri kwa njia ya kula nyama. Kwamba unashibisha nafsi huku kiumbe kikipoteza uhai
Sasa linapokuja suala la kulishwa nyama ndotoni... Hiki ni kitu tofauti kabisa.. Hizi ni ndoto zenye kuakisi uhalisia.. Ni ndoto za kichawi na unacholishwa ni nyama halisi kwa njia za kishirikina na nyama hizo si nzuri si nyama za wanyama tulao bali ni nyama za mizoga ya kenge nyani mbweha fisi konokono hata panya nk...
Sio nyama nzuri kwakuwa zina madawa ya kudhuru kiroho na hushibisha na hata kuvimbiza.. Hujaza tumbo kabisa na kukufanya ushindwe kula chochote.... Na tafsiri yake ni moja tu kukufunga usifanikiwe tena kwenye lolote.. Kwamba ukishakula na kushiba huwezi kula tena....
Namna bora ya kutatua tatizo hili ni kitunguu saumu na ndimu tuu... Kabla ya kulala hakikisha unalamba ndimu au kutafuna kipande cha kitunguu saumu ama vyote kwa pamoja... Kwa njia hii utakuwa umeidhibiti hiyo hali
Jr[emoji769]