Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

Glass ya ndimu iliyochanganywa na kitunguu saumu, kumbuka kuongeza maji kidogo kushushia au dawa inaitwa MAKATA
MAKATA inapatikana wapi au kwenye maduka ya aina gani, je nikitumia makata pekee au lazima nichanganye kitunguu swaumu, ndimu na makata
 
Good; NTAKUJIBU MKUU. wasomi wa dini zote mbili wapo wachache sana waliobakia wanasaka hela tu, na ndio maana kila kukicha watu wanagombaniana kibla ili apate tonge iende mdomoni, sio kwa kumpenda Mungu.

SUALA LA NYOTA: Mashekhe wengi wamefanya kwamba ndo sheria ila hapana huu ni ushirikina, unaambia ukitaka kuowa uowe Ijumaa kwamba siku zingine nyota ya mwanamke huyo haiko sawa, huu ni ushirikina. Hakuna siku mbaya, matendo yako ndo mabaya.

JIBU LAKO; Ndoto zote zinatokana na shetani alielaaniwa, kwa hiyo hakuna ukweli wa hilo bali huja na kukupotezea mda wako wa kumkimbuka Mungu tu.

Kwa waislam ambao ni swala tano, mara nyingi inapofika swala ya asubuhi ndoto nzuri haziishi. Lengo sala iwapite tu.
Watu wengine wanaota wanakua matajiri ila akiamka hamna kitu mfukoni, huyo ni shetani anakuchezea akili yako.
Vile vile unaweza kujikuta unafanya mapenzi na mtu hatimae kujipiga bao, pia ni shetani kakutawala kitandani.
Kuota umeowa haina maana ya kwamba utaowa karibuni bali ni mawazo yako mwenyewe uliyonayo kwenye akili yako. Na shetani mara nyingi anacheza na akili zetu, ukiwazacho ndicho anachokufanyia unapolala.

  • Kwanini unatumia nguvu kubwa sana kumshutumu Shetani?
  • Mbali na kumsoma tu uliwahi kukutana naye na kumsikiliza maelezo yake?
  • Maelezo mengi sana juu ya shetani yamebase upande mmoja, hakupewa nafasi ya kujitetea!
 
Asante mkuu...naomba nitoke nje ya mada niulize...niliwah kuota nimekufa na nimewekwa kwenye jeneza ina maan gani ndoto hii?!
Mmh roho ya mauti hiyo!
Omba kwa ajili ya hiyo roho ikuachie!

Mungu anakuonyesha hali yako kiroho
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] waganga wa kienyeji siku hizi kama wanasiasa tuu... Wanaangalia wanapata nini kwenye nini
Hahaha wanasiasa wanamajibu ya jumla jumla sana kwa kila tatizo, na they play with people psychology. Yaani you need, i will provide.

No matter how difficulty your need might be. Lakini wewe you give them answers right away. And I am amazed how everyone get satisfied with the answers you provide.

Hii inaonyesha uwezo wako wakua clinical psychologist hata kama wewe sio. Yaani mganga wa level nyingine ilitakiwa ukaishi sayari nyingine kama siyo galaxy nyingine hahaha big up.
 
Hahaha wanasiasa wanamajibu ya jumla jumla sana kwa kila tatizo, na they play with people psychology. Yaani you need, i will provide. No matter how difficulty your need might be.
Lakini wewe you give them answers right away. And I am amazed how everyone get satisfied with the answers you provide. Hii inaonyeshageez I, wako wakua clinical psychologist hata kama wewe sio. Yaani mganga wa level nyingine ilitakiwa ukaishi sayari nyingine kama siyo galaxy nyingine hahaha big up.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji123] [emoji115]
 
Hahaha wanasiasa wanamajibu ya jumla jumla sana kwa kila tatizo, na they play with people psychology. Yaani you need, i will provide. No matter how difficulty your need might be.
Lakini wewe you give them answers right away. And I am amazed how everyone get satisfied with the answers you provide. Hii inaonyeshageez I, wako wakua clinical psychologist hata kama wewe sio. Yaani mganga wa level nyingine ilitakiwa ukaishi sayari nyingine kama siyo galaxy nyingine hahaha big up.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji123] [emoji115]
 
Unajua nchi yetu ilipofikia mshana unaweza kuwa msaada mkubwa kuitibu jamii. Tunahitaji majibu ya papo hapo. Unewahi kufikiria politics as your career?! Sikufahamu lakini utafanya vizuri mkuu
 
Mimi huwa mara nyingi napambana na watu nikiwa kwenye usingzi, hadi nitakayelala nae pamoja huwa ananishangaa, na niliwahi pambana na mtu ndotoni, kesho yake alikuja lalamika kuwa ameamka shingo inamuuma na nilimkaba haswa hadi akawa anaropoka mambo yake mabaya.

ILA NDOTO KUBWA AMBAYO SIWEZI ISAHAU HADI KESHO NI KUMUOTA BABU YANGU AKIWA KWENYE VAZI JEUPE AKILALAMIKA NA KUNIOMBA NIMSAIDIE NA NIMUOKOE... KESHO YAKE JIONI NAPEWA TAARIFA KUWA AMEFARIKI.

HADI LEO, HII NDOTO HAITOKI KICHWANI MWANGU
 
Naomba nikujibu kibliblia,

~hiyo ndoto ina maana kuna roho ya mauti ipo kwako na inazengea kukuua kabisa kiroho na wakati mwingine kimwili japo si sana.

~hapo hiyo mauti inakuwa imetumwa kwenye,uchumi,maisha ya kawaida,ardhi,uzao wako,anga nk.ss unatakiwa kwa kuiondoa kwa kufanya vitu vifuatavyo.

1.nyunyiza damu ya Yesu sawasawa na waebrania 12:24

2.Omba toba kwa kuacha milango ya ndoto wazi.yaani kutakuwa na ulinzi juu ya hilo lango.

3.okoka kama huja okoka ili kukabiliana na hiyo laana maana ipo kihalali.

4.ondoa laana hiyo kwako

5.Futa hiyo laana

6.Batilisha hiyo laana sawa na waebrania 9:10 na waebrania 2:14-15

7.Kemea pepo lililo tumwa kuiguatilia hiyo laana na kuitekeleza.

8.ombea baraka kwako na eneo ulilo liona ndotoni.tena baraka za ndani ya agano.
Ufunuo 11:12

9.Mshukuru Mungu
Asante mkuu....ila ni miaka 10 imepita na nliota nkiwa mdogo japo nliogopa sana na hua sisahau...

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Unajua nchi yetu ilipofikia mshana unaweza kuwa msaada mkubwa kuitibu jamii. Tunahitaji majibu ya papo hapo. Unewahi kufikiria politics as your career?! Sikufahamu lakini utafanya vizuri mkuu
Thanks but seriously I hate politics hasa hizi za kiafrika.. They are fake and very unrealistic..
 
Ndoto ni mlango wa kiroho Mungu anajifunua kupitia ndoto na kuweka maagano Mwanzo 15 usipewe tafsri nje ya neno la Mungu maana shetani naye anajifunua ktk ndoto ukiota umelishwa ni unakumbushwa agano 1korinto 10:16-28ndoto ni mlango soma mwanzo 28 na mwanzo 37 mpaka sura 43 ndoto anatafsri Roho Mtakatifu kupitia Neno la Mungu nenda fcbk ukamtafute Mwalimu Christopher Mwakasege mana ministry kafundisha tafsri nje ya neno la Mungu Biblia huyo ni shetani kwa msaada ni pm
 
Mi niko tofauti kidogo!
Kuota unakula ,kwa asilimia kubwa ni ishara mbaya, mara chache sn mtu anaeota anakula in a postive way!

Inategemea mazingira uliyoota upo, pili ulikuwa ulikula na kina nani, wakati unakula pia hao uliokua nao ni wazima au wamekufa,pia ulikuwa unakula mwnywe au unalishwa!!
Pia angalia mlikuwa mnakula chakula cha aina gani!

Mfano unaota unakula na watu waliokwisha kufa,either ni ndugu ,watu wa karibu nk...hii ndoto haiwezi kuwa ina maana nzuri!
~Mungu anakuonyesha kuwa kuna roho ya mauti inakufuatilia
~au Mungu anakuonyesha kuna agano kwny family/ukoo wenu lilifanyika na ww linakuhusu ,uliingizwa kwny agano na labda hujui,hivyo Mungu anakupa taarifa ,lzm uchukue hatua ya kuomba!
Na mara nyingi hapa huwa kuna makundi tofauti,1 kuna ambao wanamuomba Mungu labda awavushe sehemu lkn wanashangaa hawavuki,wanabaki kumuuliza Mungu tatizo ni nn?
Au wanajiuliza tatizo nn ,Mungu anaamua kukupa ujumbe kwa njia ya ndoto!
Na kundi la 2, wale ambao hawaelewi chochote kuhusu ulimwengu wa roho!

Mfano2..wakati mwingine unaota unakula upo mazingira ya kijijini kwenu huko,ss usitegemee hii itakua nzuri sbb kuna baadhi ya mila chakula kwao ni ibada ,yaani ibada haikamiliki bila chakula!(ndo maana ht kanisani tunashiriki meza ya Bwana ili kukamilisha ibada) kumbuka ibada ile manaake kuna ushirika na Roho mtakatifu,kwa kanisani.....ss uwe na uhakika ht kwny chakula cha kwny hizo ibada nyingine pale kuna roho mnashirikiana nazo,ss inategemea mnashiki wapi.....km uliota unakula makaburini,ndo utaelewa roho gani unaipata hapa! Nk. wanapofanya hizi ibada labda ww hutaki,mambo yao! Ss km huna ulinzi wa kutosha ktk ulimwengu wa Roho wa nuru, uwe na uhakika ht kupitia ndoto watakulisha tu ili ku activate
maagano,kukamilisha ibada zao nk....

Naeleza kwa kifupi tu...
 
ndugu mshana jr ikiwa ukiota kifo tafasiri yake ni kukiepuka vipi kuhusu kuota ndoa ina maana umeiepuka? Asante!
Mkuu sio mara zote tafsiri ni kuepuka!
Mungu anajaribu kukuonyesha kuna roho ya mauti ,shughlika ,omba kuiondoa!

Ukiacha ,itakuja kutimia then utasema niliwahi kuota!


Kuhusu ndoa,umeotaje?
Unafunga ndoa au vipi?
 
Ndoto ni mlango wa kiroho Mungu anajifunua kupitia ndoto na kuweka maagano Mwanzo 15 usipewe tafsri nje ya neno la Mungu maana shetani naye anajifunua ktk ndoto ukiota umelishwa ni unakumbushwa agano 1korinto 10:16-28ndoto ni mlango soma mwanzo 28 na mwanzo 37 mpaka sura 43 ndoto anatafsri Roho Mtakatifu kupitia Neno la Mungu nenda fcbk ukamtafute Mwalimu Christopher Mwakasege mana ministry kafundisha tafsri nje ya neno la Mungu Biblia huyo ni shetani kwa msaada ni pm
Yes,[emoji106] [emoji106] kibiblia si nzuri kuota unakula!
 
Back
Top Bottom