Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

Mshana tafahdali uje kutoa msaada hapa nini cha kufanya kuachana na hili la kufanya mapenzi ndotoni na unajikuta unapizz
 
Sasa Hapa unachotakiwa kufanya nini ili kumtoa huyo mme wa mapepo?
mpe YESU MAISHA YAKO MAANA YESU ALIKUJA KWA AJILI YA WATU WOTE
UKISHA MPA YESU MAISHA SASA VYOMBO VYA DOLA VYA MBINGUNI VINAPIGANA UPANDE WAKO
JIFUNZE NENO LA MUNGU KWA USAHIHI WAKE
PENDA KUSOMA NENO LA MUNGU KWA NIA YA KUJIFUNZA
ROHO MTAKATIFU AKIKUJULIA ATAANZA KUKUONYESHA ULIPO KWAMA
KILA SIKU USIKU OMBA MAOMBI HAYA WAEFESO 1;17-23 Na zaburi 69;13-18 omba taja jina lako Damu ya Yesu ipo na ina nena mema wewe iamini tu
 


Asante sana kwa kwa msitari nitaifutatilia kwa karibu zaidi
 
Mi nikimuota mwanamke nafanya naye ngono ndotoni basi hata namfukuzia naacha hapo najua simpati tena labda atanichuna tu na kusepa
 
Mshana kwa sisi tunaokunywa maji ya uvuguvugu na tukichanganya na ndimu au limao si haitadhuru
 
Mi nikimuota mwanamke nafanya naye ngono ndotoni basi hata namfukuzia naacha hapo najua simpati tena labda atanichuna tu na kusepa
Unamwacha kwa kuwa umeshazini naye kimawazo hivyo unaalika nafasi za kueendela kupata wapya ndotoni!
 
Mshana huwa nikiota ndoto sikumbuki ila zikiwa za kupambana na kukemea nakumbuka, but juzi nimeota nakula nyama tena kama ya mfupa wa paja hv. Nilimaliza na baadae kurudia ile mifupa nakunyofoanyofoa vilivyobaki.

Kama zilikua za kichawi nifanyeje? Tena siku hiyo nilikua na jirani yetu wa zamani na mwalimu wangu mkuu wa primary ktk ndoto nilimaliza 98 ila sasa niko masters, yani jirani alikuja kwa mwalimu kwa ajili ya nyama na kiuhalisia hawafahamiani na wanakaa mkoa mmoja but viviji tofauti kabisa nami Niko shule miaka mingi sijawaona na Huyo mwlm alishafarikigi.

So nishauri ni nini na nifanyeje coz sielewi?
 
Hakuna shida kabisa hapo ulikuwa unakula mwenyewe.. Refer maelezo hapo juu.

Hukulishwa, ungelishwa lingekuwa tatizo... ZAIDI ni kwamba ndoto za kukemea ni matukio halisi na roho chafu haziepukiki kinga yake ni kujidhatiti na MUNGU wako tuu
 
Hakuna shida kabisa hapo ulikuwa unakula mwenyewe.. Refer maelezo hapo juu.. Hukulishwa, ungelishwa lingekuwa tatizo..

ZAIDI ni kwamba ndoto za kukemea ni matukio halisi na roho chafu haziepukiki kinga yake ni kujidhatiti na MUNGU wako tuu
 
Hakuna shida kabisa hapo ulikuwa unakula mwenyewe.. Refer maelezo hapo juu.. Hukulishwa, ungelishwa lingekuwa tatizo... ZAIDI ni kwamba ndoto za kukemea ni matukio halisi na roho chafu haziepukiki kinga yake ni kujidhatiti na MUNGU wako tuu
 
Hakuna shida kabisa hapo ulikuwa unakula mwenyewe.. Refer maelezo hapo juu.. Hukulishwa, ungelishwa lingekuwa tatizo... ZAIDI ni kwamba ndoto za kukemea ni matukio halisi na roho chafu haziepukiki kinga yake ni kujidhatiti na MUNGU wako tuu
Duh niliogopa sana, na kusali sana asubuhi nilipoikumbuka ukizingatia naotaga sana Niko primary kijijini darasa la 5 au la 6 wakati nilimaliza primary toka 98 sijawah ota secondary, university wala masters hii iko vipi ni sawa au?
 
Duh niliogopa sana, na kusali sana asubuhi nilipoikumbuka ukizingatia naotaga sana Niko primary kijijini darasa la 5 au la 6 wakati nilimaliza primary toka 98 sijawah ota secondary, university wala masters hii iko vipi ni sawa au?
Kiroho kuna reverse action zinaendelea lakini hakuna shida yoyote kuna mada yake nitajitahidi kukutag nikiipata
 
Kuna ndoto moja niliota mara mbili ila kwa vipindi tofauti kuna nyoka alikuwa ananitokea kitandani ila hakuwahi kuni dhuru hii ili kuwa ina maana gani?

Na ndoto nyingine niliwahi kuota nimetokewa na mababu wawili wana nguo nyeupe nywele nyeupe hadi ndevu zao nilikuwa kati kati yao sikuelewa nini wanaongea ila vitendo vyao nilielewa walichanganya dawa kwenye bakuri na kunipa nikanywa kisha wakaondoka ila nakumbuka kipindi hicho nilikuwa kwenye vita na vitu vya giza sana kwahiyo mie niliweka tu conclusion kuwa hao walikuwa ni wazee wangu wa kale wa ukoo wetu upande wa mama hata nilivyo mwambia mama akasema hata yeye pia huwa inatokea hivyo hawa wanakuaga na lengo gani haswa kujenga au kubomoa?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…