Tofauti na tozo, Waziri wa Fedha amefanya nini mwaka mmoja Toka akabidhiwe ofisi?

Tofauti na tozo, Waziri wa Fedha amefanya nini mwaka mmoja Toka akabidhiwe ofisi?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Jana niliuliza kuhusu majukumu ya Mhe. Waziri wa mambo ya nje, Leo naangazia utendaji wa Mhe. Waziri wa Fedha.

Naomba anayeweza kueleza Mhe. Waziri wa Fedha wa Tanzania amebuni mikakati Gani yakukuza uchumi? Tofauti na kukopa pamoja na kutoza wananchi tozo ni kipi kipya chenye tija alichofanya waziri?

Je, ungetamani afanye Nini kuboost uchumi wa mtu mmoja mmoja au nchi Kwa jumla?

Mwisho nitoe angalizo waziri wa Fedha apandishi mishahara na kupandisha mishahara siyo Jambo jipya ni jambo lipo Toka ajira za Dunia zilipoanza.

Kupandisha mishahara ihesabike kama kupanga Fedha za wananchi kuwalipa wafanyakazi Jambo ambalo kila mtu anaweza na Hii siyo tafsiri ya kukua Kwa uchumi.

Tuambieni amefanya nini?
 
Kazi kupenda madaraka na kuifanya nchi hii bila wao haiendi....

Tatizo ni umasikini na ujinga wa watanzania wanaowachagua.
 
Jana niliuliza kuhusu majukumu ya Mhe. Waziri wa mambo ya nje, Leo naangazia utendaji wa Mhe. Waziri wa Fedha.

Naomba anayeweza kueleza Mhe. Waziri wa Fedha wa Tanzania amebuni mikakati Gani yakukuza uchumi? Tofauti na kukopa pamoja na kutoza wananchi tozo ni kipi kipya chenye tija alichofanya waziri?

Je, ungetamani afanye Nini kuboost uchumi wa mtu mmoja mmoja au nchi Kwa jumla?

Mwisho nitoe angalizo waziri wa Fedha apandishi mishahara na kupandisha mishahara siyo Jambo jipya ni jambo lipo Toka ajira za Dunia zilipoanza. Kupandisha mishahara ihesabike kama kupanga Fedha za wananchi kuwalipa wafanyakazi Jambo ambalo kila mtu anaweza na Hii siyo tafsiri ya kukua Kwa uchumi.

Tuambieni amefanya nini?
Ametoza
 
Alifanikiwa kumshawishi Mama kukopa sehemu moja, kwa lengo la kwenda kulipa deni sehemu nyingine! Huyo ndiyo Dr. Mwigulu Nchemba bhana! Kichwa cha uchumi Tanzania.
 
Kwenye kichwa chake hiyo ni nafasi ya kupiga porojo za kisiasa.

Vita ya Ukraine ianze majuzi tu ndio kwanza ina wiki mbili uambatanishe inflation na hayo matukio ya dunia as if mbolea iliyopo sokoni leo iliagizwa two weeks ago to justify the price.

Nchi marafiki washakuwa na wasiwasi na kiwango cha madeni, some of us have said it before it was coming together with SAP to curb the lending spree.

Huko kwenye ufisadi unaosababisha inflation madhara yake yanakuja mwache waziri asifie kukosa viti kwenye minuso kisa watu sasa hivi wanapesa. Watch this this space interest rates za mikopo ya banks sasa hivi zinapanda. Na hapo ndio mziki utanoga.

Mwigulu kajiaribia ukiona mamlaka za teuzi zinakupendekeza kuwa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa fedha (as far ministries goes hakuna wizara sensitive kama hizo, kwenye unitary constitution nchi za mabeberu ni mawaziri hao wawili tu na foreign ndio wanaotembea na vin’gora, jumlisha na head of state na waziri mkuu) mawaziri wengine wote awana ulinzi Mwigulu keshajaribiwa kwenye hizo nafasi.

I do not see him being given any sensitive post in the future keshaonyesha hana uwezo.

Sijui ataenda kuombea wapi safari hii maana kanisa lake pendwa la T.B Joshua Nigeria jamaa sasa hivi mauti.

Uchumi ni sayansi sio porojo za uenezi wa CCM; the guy is a failure.
 
Kwenye kichwa chake hiyo ni nafasi ya kupiga porojo za kisiasa.

Vita ya Ukraine ianze majuzi tu ndio kwanza ina wiki mbili uambatanishe inflation na hayo matukio ya dunia as if mbolea iliyopo sokoni leo iliagizwa two weeks ago to justify the price.

Nchi marafiki washakuwa na wasiwasi na kiwango cha madeni, some of us have said it already it was coming together with SAP to curb the lending spree.

Huko kwenye ufisadi unaosababisha inflation madhara yake yanakuja mwache waziri asifie kukosa viti kwenye minuso kisa watu sasa hivi wanapesa. Watch this this space interest rates za mikopo ya banks sasa hivi zinapanda. Na hapo ndio mziki utanoga.

Mwigulu kajiaribia ukiona mamlaka za teuzi zinakupendekeza kuwa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa fedha (as far a ministry goes hakuna wizara sensitive kama hizo, kwenye unitary constitution nchi za mabeberu ni mawaziri hao wawili tu na foreign ndio wanaotembea na vin’gora, jumlisha na head of state na waziri mkuu) mawaziri wengine wote awana ulinzi Mwigulu keshajaribiwa kwenye hizo nafasi.

I do not see him being given any sensitive post in the future keshaonyesha hana uwezo.

Sijui ataenda kuombea wapi safari hii maana kanisa lake pendwa la T.B Joshua Nigeria jamaa sasa hivi mauti.

Uchumi ni sayansi sio porojo za uenezi wa CCM; the guy is a failure.
Mwigulu Nchemba ni great failure minister. Mambo ya ndani alishindwa, akaishia kuondolewa kwa aibu.

Sasa kapewa wizara ya fedha, nayo kapwaya sana, halafu anajiita mchumi mbobevu, wakati ni galasa TU, hata jina analotumia si lake
 
Mwigulu Nchemba ni great failure minister. Mambo ya ndani alishindwa, akaishia kuondolewa kwa aibu.

Sasa kapewa wizara ya fedha, nayo kapwaya sana, halafu anajiita mchumi mbobevu, wakati ni galasa TU, hata jina analotumia si lake
Amejiaribia mwenyewe inaonekana jamaa walikuwa na imani nae sana. Ukipewa nafasi ya wizara ya mambo ya nje, wizara ya mambo ya ndani au fedha; kwa mwanasiasa elewa wewe ni potential candidate wa nafasi ya juu in the future kwenye nchi zenye unitary constitution. Na hizo wizara ni senior kweli kasheshe sasa ukimsikiliza Mwigulu the nonsense is beyond me.
 
Kazi kupenda madaraka na kuifanya nchi hii bila wao haiendi....

Tatizo ni umasikini na ujinga wa watanzania wanaowachagua.
Mtazamo wangu waliwekwa mana kama wangelikua wamechaguliwa wangekuwa wabunifu ili kukidhi matarajio ya waliowachagua.
 
Kadri siku zinavyoenda anazidi kuwa mtu wa ovyo
Alikuwa mtu wa ovyo tokea kitambo...
Alijivika uSavimbi akadhulumu haki za watu kuishi (Soweto, Arusha etc).
Akajaa kiburi akadhani mawe yatamchagua kuwa Rais 2015. Akapiga kampeni jiwe kwa mawe!

Itoshe tu kusema, Tanzania wahalifu wengi wanafaidi keki ya Taifa.
 
Back
Top Bottom