Tofauti na watoto hakuna kingine special kuhusu ndoa za kileo.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715


Tofauti na hako katoto innocent hapo juu, hakuna cha maana tena. Too bad kakishafikisha miaka 14 kataanza fundishwa kumchukia baba yake.

Modern Weak Men alafu wanakutana Modern Independent Women unadhania nini kitafuata?

Ndoa imekuwa engineered katika panels zinazo hamasisha ukosefu wa furaha ya kweli.

Ndoa imekuwa structured katika systems zinazo haribu misingi ya mwanamke kumtii mwanaume na mwanaume kumuheshimu mwanamke.

Ndoa zimekuwa feminist, Ndoa zimekuwa maonesho ya "mlisema sitaoelewa"
 
Uoeni vijana ni maneno ambayo utahamasishwa sana ila kupewa michongo ya maana hautakaa usikie na ukisikia ujue kuna harufu ya utapeli.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Watu wanataka watoto ,wakishazaa wanaanza visa mwishoe ndoa inavunjika inabaki kila mtu anataka mtoto ndio tegemezi lake baadaye huko.
 
Ndoa ndoa ndoa imekua fashion ila ikiingia ndan ni vita vya tatu humo ndan
Sasa najiuliza Kwan watu mpaka mnaoana inamaana mnafahamiana tabia zetu na kuelewana inakuaje mkiingia inakua tofaut
 
Ndoa ndoa ndoa imekua fashion ila ikiingia ndan ni vita vya tatu humo ndan
Sasa najiuliza Kwan watu mpaka mnaoana inamaana mnafahamiana tabia zetu na kuelewana inakuaje mkiingia inakua tofaut
Tatizo ni kuwa tunafekiana sana

Sasa tukishazoeana tunabweteka
 
Ongezeko la watu kukesha bar inawezekana nyumbani kunawaka moto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…