Tofauti niliyoiona kati ya Chama wa Simba SC na Aucho wa Yanga SC ni hii tu ifuatayo

Tofauti niliyoiona kati ya Chama wa Simba SC na Aucho wa Yanga SC ni hii tu ifuatayo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Chama ni 100% Zinedine Zidane na Aucho ni 100% Andrea Pirlo ambapo Chama ni Mpishi mzuri wa Chakula Kitamu na Aucho ni Viungo muhimu katika Chakula Kitamu halafu Chama ni sawa na Maji yanayokata Kiu upesi huku Aucho akiwa ni sawa na Maji yanayokata Kiu na Kuimarisha pia Afya yako.

Wote Wawili ni Wachezaji Bora sana.
 
Chama ni 100% Zinedine Zidane na Aucho ni 100% Andrea Pirlo ambapo Chama ni Mpishi mzuri wa Chakula Kitamu na Aucho ni Viungo muhimu katika Chakula Kitamu halafu Chama ni sawa na Maji yanayokata Kiu upesi huku Aucho akiwa ni sawa na Maji yanayokata Kiu na Kuimarisha pia Afya yako.

Wote Wawili ni Wachezaji Bora sana.
Mi nafikiri anaekata kiu na kuimarisha afya ndo Bora zaidi maana hata maji ya vidimbwi yanakata kiu lakini yanadhoofisha afya

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni hivyo basi GSM ifanye mpango ili mwakani Chama acheze timu moja na Aucho ili tupate maana halisi ya wimbo 'Yanga tamu'
 
Kwamba wote wako sawa ilhali Aucho hawezi kufunga aina ya magoli yanayofungwa na Chama? Vyura nao bila kujua kuwa umewakejeli wao wanakuja kuvimba tu kwenye uzi.
 
Back
Top Bottom