Sasa hebu ona mark Zuckerberg ni billionea mkubwa sana ila baby shower yake hajatumia hata elfu 50, wakati diamond ni kama maskini tu kwa Zuckerberg lakini katumia kama millioni 100 hv kwenye baby shower huoni ni ulimbukeni wewe jamaa?We jamaa utakua una matatiza sehemu tena makubwa sana, yaani unataka kuwalinganisha Mark Zuckerberg na Diamond, yaani kabisa? Maskini wa Mungu ukute eti na wewe umeenda shule kabisa then unakuja na haya mambo.
Si kosa lako lakini.
Jamaa hapo uliposena hajatumia hata elfu 50 umezingua [emoji23] 50,000 ni sawa na 21 USD, natumaini budget ya Mark haiwezi kuwa chini hivyoSasa hebu ona mark Zuckerberg ni billionea mkubwa sana ila baby shower yake hajatumia hata elfu 50, wakati diamond ni kama maskini tu kwa Zuckerberg lakini katumia kama millioni 100 hv kwenye baby shower huoni ni ulimbukeni wewe jamaa?
We jamaa utakua una matatiza sehemu tena makubwa sana, yaani unataka kuwalinganisha Mark Zuckerberg na Diamond, yaani kabisa? Maskini wa Mungu ukute eti na wewe umeenda shule kabisa then unakuja na haya mambo.
Si kosa lako lakini.
Wewe jaribu kuchunguza tu hizo picha za baby shower ya Zuckerberg, mapambo ya karatasi na hizo juice za baby bottle hazifiki hata elfu 50[emoji1787][emoji1787]Ni kama jamaa hukumuelewa OP alimaanisha nini "yani pamoja ya unilionea wa Mark lakini amefanya hiyo "baby shower sjui" simple kwanza inaonyesha kama ni kwake na pia hakuwa na mambo mengi
Jamaa hapo uliposena hajatumia hata elfu 50 umezingua [emoji23] 50,000 ni sawa na 21 USD, natumaini budget ya Mark haiwezi kuwa chini hivyo
Kama tunavyojua wabongo/wa Africa tunapenda sifa.. . Mark yupogo simple maana hata tshirt huvaaga ya rangi moja
Kingine unaweza kukuta hiyo baby shower imemuongizia Dai faida na sio hasara.
Lengo la baby shower ni kupeana vizawadi kwa ajili ya mtoto mtarajiwa kama vi nguo nguo, na kutangaza jinsia ya mtoto mtarajiwa. Na mara nyingi huwa ni simple indoor event ya ki home home. Najua diamond ushamba tu umechangia. We fuatilia hata mastaa wengi duniani baby shower huwa ni event ndogo sana hainaga mbwembwe kabisaKILA MMOJA ANAFANYA JAMBO KULINGANA NA ANAVYOJISIKIA HAIJALISHI ANA KIPATO AU MALI KIASI GANI.WANASEMA RAHA JIPE MWENYEWE
Sasa hebu ona mark Zuckerberg ni billionea mkubwa sana ila baby shower yake hajatumia hata elfu 50, wakati diamond ni kama maskini tu kwa Zuckerberg lakini katumia kama millioni 100 hv kwenye baby shower huoni ni ulimbukeni wewe jamaa?
Ni kama jamaa hukumuelewa OP alimaanisha nini "yani pamoja ya unilionea wa Mark lakini amefanya hiyo "baby shower sjui" simple kwanza inaonyesha kama ni kwake na pia hakuwa na mambo mengi
Jamaa hapo uliposena hajatumia hata elfu 50 umezingua [emoji23] 50,000 ni sawa na 21 USD, natumaini budget ya Mark haiwezi kuwa chini hivyo
Kama tunavyojua wabongo/wa Africa tunapenda sifa.. . Mark yupogo simple maana hata tshirt huvaaga ya rangi moja
Kingine unaweza kukuta hiyo baby shower imemuongizia Dai faida na sio hasara.
Best comment.Mimi nimepata bahati ya kufanya kazi na hawa wazungu na kufika kwao, ukweli hawa wenzetu wana nidhamu kubwa sana ya pesa haijalishi ana kiasi gani yeye anatumia tu panapohitajika. chukulia mfano mdogo lakini ndio ukweli. mkienda kwenye sherehe ya kula buffet sisi sahani itabeba kila kitu kama kuna kuku sijui wali hata kama chura tia tu katika sahani akikaa ndio sasa anachagua cha kula na kingine kinabaki kinatupwa. hawa jamaa akienda kuchukuwa chakula anachagua tu anachokitaka kula basi na utakuta sahani yake nyeupe kala alichokichukua. Hii ina reflect maisha yao toka utotoni, tusione hawa wa Japan mfano mambo yao na tabia zao wanafundishwa toka wakiwa vidudu. Tuko busy na show off na kushindana na vivuli vyetu. Sisi tunaona matajiri wa kweli Tz wako kimyaa utasema hawaishi nchi hii.
Faida!!!?Ni kama jamaa hukumuelewa OP alimaanisha nini "yani pamoja ya unilionea wa Mark lakini amefanya hiyo "baby shower sjui" simple kwanza inaonyesha kama ni kwake na pia hakuwa na mambo mengi
Jamaa hapo uliposena hajatumia hata elfu 50 umezingua [emoji23] 50,000 ni sawa na 21 USD, natumaini budget ya Mark haiwezi kuwa chini hivyo
Kama tunavyojua wabongo/wa Africa tunapenda sifa.. . Mark yupogo simple maana hata tshirt huvaaga ya rangi moja
Kingine unaweza kukuta hiyo baby shower imemuongizia Dai faida na sio hasara.
Agiza supu hapo ufungulie kinywa nakuja kulipa.Wanawake wa kiafrika hawawezi ieyelewa baby shower ya mark hata kidogo.
We jamaa utakua una matatiza sehemu tena makubwa sana, yaani unataka kuwalinganisha Mark Zuckerberg na Diamond, yaani kabisa? Maskini wa Mungu ukute eti na wewe umeenda shule kabisa then unakuja na haya mambo.
Si kosa lako lakini.