Tofauti ya baby shower ya Diamond Platnumz na Mark Zuckerberg

Tofauti ya baby shower ya Diamond Platnumz na Mark Zuckerberg

Diamond ni mwanamuziki na pia ni celebrity number 1 hapa nchini ,katika kukuza biashara yake ya Muziki lazima ayakuze na maisha yake ya kawaida ili watu wapende na wazidi kumfuatilia kila siku kwa sababu kwa kufanya hivyo thamani yake inaongezeka mara dufu.

Mark Zuckeberg sio Mwanamuziki wala sio mtu anayetegemea maisha yake ya kawaida kukuza thamani yake au ya biashara yake kwa ujumla, ndio maana Mark anaweza akavaa shati la rangi moja mwaka mzima ila isiwe issue kabisa kwake wala biashara yake haitaathirika hata kidogo lakini Jay z au Kanye West hawawezi kufanya hivyo japokuwa wameachwa mbali sana Mark Zuckeberg kwenye upande wa utajiri.



Next time ukitaka ufananishe watu/vitu tafuta ulinganyo kwanza , maana mwisho wa siku utakuja kuonekana huna uelewa na vitu vidogo vidogo
Wewe lini umeona baby shower ya beyonce/jay-z yenye mbwembwe za kijinga? Hebu jaribu ku Google baby shower za kim Kardashian ambaye maisha yake ni show hutakuta baby shower kama ya Diamond imejaa mishankupe ya mjini. Baby shower zao very simple ki home home tena hata siyo sherehe.
 
Kweli sikumuelewa jamaa ndio maana nimemwimba samahani
Swine we,uwe una soma na kuelewa kwanza kabla hujakurupuka.Jamaa alikuwa anashauri matumizi bora ya rasilimali fedha,leo anazo kesho hana.

Hata Mhe. JPM anatupa akili ya kutumia fedha kiungalifu awamu hii ya 5 pasipo kusaka sifa.

Sikupotoshi na usipotoshe wengine.
 
Wao ni wao na yeye ni yeye ili mradi hakukuomba mchango yanini unaumia ndugu?
Kila mtu na style yake mkuu hatufanani hata kidogo. Kuna mtu hapo jirani yako anaona una haribu pesa kwa kumiliki ka tecno kako hako camon 11 wakati kuna simu za promotion za tigo 70000. Pesa haina maana kama huitumii kufurahi maana ukifa hutozikwa nayo.
Wewe lini umeona baby shower ya beyonce/jay-z yenye mbwembwe za kijinga? Hebu jaribu ku Google baby shower za kim Kardashian ambaye maisha yake ni show hutakuta baby shower kama ya Diamond imejaa mishankupe ya mjini. Baby shower zao very simple ki home home tena hata siyo sherehe.
 
Una hoja nzuri kwa maelezo haya.
Wewe lini umeona baby shower ya beyonce/jay-z yenye mbwembwe za kijinga? Hebu jaribu ku Google baby shower za kim Kardashian ambaye maisha yake ni show hutakuta baby shower kama ya Diamond imejaa mishankupe ya mjini. Baby shower zao very simple ki home home tena hata siyo sherehe.
 
Sasa hebu ona mark Zuckerberg ni billionea mkubwa sana ila baby shower yake hajatumia hata elfu 50, wakati diamond ni kama maskini tu kwa Zuckerberg lakini katumia kama millioni 100 hv kwenye baby shower huoni ni ulimbukeni wewe jamaa?
Uliwahi kumsaidia Diamond kutafuta hela? Tunaanza kupangiana matumizi ya hela wakati hatusaidiani kutafuta?
 
Mambo yao waachie wenyewe...

Tofauti ni kwamba Mark anapangiwa matumizi na nini cha kufanya, Diamond anajipangia matumizi na hapangiwi nini cha kufanya...



Cc: mahondaw
 
Naona madogo wa Masaki na Obey wanatoana jasho kwenye hii thread, sisi wa vijijini Nyalugusu haya mambo wala hatuna abc zake, ngoja tupite kimya kimya
 
Diamond ni mwanamuziki na pia ni celebrity number 1 hapa nchini ,katika kukuza biashara yake ya Muziki lazima ayakuze na maisha yake ya kawaida ili watu wapende na wazidi kumfuatilia kila siku kwa sababu kwa kufanya hivyo thamani yake inaongezeka mara dufu.

Mark Zuckeberg sio Mwanamuziki wala sio mtu anayetegemea maisha yake ya kawaida kukuza thamani yake au ya biashara yake kwa ujumla, ndio maana Mark anaweza akavaa shati la rangi moja mwaka mzima ila isiwe issue kabisa kwake wala biashara yake haitaathirika hata kidogo lakini Jay z au Kanye West hawawezi kufanya hivyo japokuwa wameachwa mbali sana Mark Zuckeberg kwenye upande wa utajiri.



Next time ukitaka ufananishe watu/vitu tafuta ulinganyo kwanza , maana mwisho wa siku utakuja kuonekana huna uelewa na vitu vidogo vidogo

Aliekueleza nani kama ukishakua mwanamuziki unahitaji kufanya show off? Macelebrities wanaofanya show of sikuzote ni wale wanaokosa cha kuuzia na Washamba.

Huwezi mkuta Angelina Jolie akifanya upuuzi kama anaofanya Kim Kardashian. sasa hapo ndipo unapopata kuona tafauti kati ya Super Star au Celebrity wa kweli na Drama Queen.

Domo nae ni Drama Queen tu
 
Umeona kuna kejeli hapo ama ni ukweli kwamba hao wawili hawawezi kulinganishwa

Dogo wala haukupaswa kujibu ulichemka, kaa kimya

1.umekejeli yeye kulinganisha
2.umekejeli elimu
3.kisha ukasema sio kosa lake


bado ukaomba msamaha

bado unaaandika post mfu kama hii

narudi tena, angalia na ID zenu hizo, ni aibu
 
Ni kama jamaa hukumuelewa OP alimaanisha nini "yani pamoja ya unilionea wa Mark lakini amefanya hiyo "baby shower sjui" simple kwanza inaonyesha kama ni kwake na pia hakuwa na mambo mengi
Jamaa hapo uliposena hajatumia hata elfu 50 umezingua [emoji23] 50,000 ni sawa na 21 USD, natumaini budget ya Mark haiwezi kuwa chini hivyo

Kama tunavyojua wabongo/wa Africa tunapenda sifa.. . Mark yupogo simple maana hata tshirt huvaaga ya rangi moja

Kingine unaweza kukuta hiyo baby shower imemuongizia Dai faida na sio hasara.
Babyshower imlipe Chibu lakin sio Zuckerberg?
 
Back
Top Bottom