Tofauti ya Simba na Yanga kuelekea mechi zao za robo fainali

Tofauti ya Simba na Yanga kuelekea mechi zao za robo fainali

Simba moyo unataka kucheza nusu finali lakini quality yao inakataa katakata na wana mashaka nayo. Tumaini lao kuu huwa wanalielekeza kwa kocha Benchikha kwakuwa anao uzoefu mkubwa wa kucheza hizi za robo, nusu na finali za caf champions, lakini bahati mbaya Benchikha hataingia uwanjani kuzuia Simba isifungwe wala kuifanya simba kufunga magoli. Ukiwasikia mashabiki wa simba wengi wao hawasifii wachezaji wao tegemeo bali wanamsifia kocha Benchikha kuwa anajua kuzicheza hizi mechi. Wanasimba wana imani kubwa kuwa timu yao ni dhaifu lakini Al-Ahly nayo sasa hivi ni unga (dhaifu). Hii ni tofauti kabisa na wenzao Yanga.

Yanga mara zote kuelekea mechi yao na Mamelodi huwa wanasifia na kutegemea ubora wa wachezaji wao zaidi kuliko kocha wao gamondi. Ni rahisi kuwasikia mashabiki wa yanga kuelekea mechi yao na Mamelodi wakiwasifia sana wachezaji wao akina Pacome, yao, Aucho, Aziz, Mudathir, Nzengeli, Musonda, Mzize na wengine kuliko ubora na uzoefu wa Gamondi. Yanga wanaamini kuwa Mamelodi ni timu imara na tajiri lakini wachezaji wao wana uwezo wa kuifunga Mamelodi.

Wanamwamini zaidi mwalimu wao na wale wanawaamini zaidi wachezaji wao. wacha tusubiri.

Tofauti Yao nyingine ni Simba kuwaamisha wafuasi wao kuwa kulipiwa viingolio kuona mechi live bila malipo ni vibaya sana na Yanga wanawaaminisha wafuasi wao kuingia bila malipo kutawqfanya waende wengi uwanjani usiku na kushangilia timu yao..

Hapo ukweli ni upi? Je mashabiki wa Simba ni kweli hawataki kusaidiwa au viongozi wa Simba wanawasemea tu? Je, ni kweli Yanga kuondoa viingolio kwa mashabiki wao wa mzunguuko kunashusha thamani Yao? Kweli wako watanzani wasiopenda msaada?

Mwisho wa juma sio mbali, panapo majaliwa simba, yanga na Tanzania tutapata darsa jipya kuhusu namna ya kuutazama, kuucheza, kuuchambua na kuushabikia mchezo wa mpira nchini.
Kwahiyo huko yanga kuna mtu anamsifia mzize?
 
Simba moyo unataka kucheza nusu finali lakini quality yao inakataa katakata na wana mashaka nayo. Tumaini lao kuu huwa wanalielekeza kwa kocha Benchikha kwakuwa anao uzoefu mkubwa wa kucheza hizi za robo, nusu na finali za caf champions, lakini bahati mbaya Benchikha hataingia uwanjani kuzuia Simba isifungwe wala kuifanya simba kufunga magoli. Ukiwasikia mashabiki wa simba wengi wao hawasifii wachezaji wao tegemeo bali wanamsifia kocha Benchikha kuwa anajua kuzicheza hizi mechi. Wanasimba wana imani kubwa kuwa timu yao ni dhaifu lakini Al-Ahly nayo sasa hivi ni unga (dhaifu). Hii ni tofauti kabisa na wenzao Yanga.

Yanga mara zote kuelekea mechi yao na Mamelodi huwa wanasifia na kutegemea ubora wa wachezaji wao zaidi kuliko kocha wao gamondi. Ni rahisi kuwasikia mashabiki wa yanga kuelekea mechi yao na Mamelodi wakiwasifia sana wachezaji wao akina Pacome, yao, Aucho, Aziz, Mudathir, Nzengeli, Musonda, Mzize na wengine kuliko ubora na uzoefu wa Gamondi. Yanga wanaamini kuwa Mamelodi ni timu imara na tajiri lakini wachezaji wao wana uwezo wa kuifunga Mamelodi.

Wanamwamini zaidi mwalimu wao na wale wanawaamini zaidi wachezaji wao. wacha tusubiri.

Tofauti Yao nyingine ni Simba kuwaamisha wafuasi wao kuwa kulipiwa viingolio kuona mechi live bila malipo ni vibaya sana na Yanga wanawaaminisha wafuasi wao kuingia bila malipo kutawqfanya waende wengi uwanjani usiku na kushangilia timu yao..

Hapo ukweli ni upi? Je mashabiki wa Simba ni kweli hawataki kusaidiwa au viongozi wa Simba wanawasemea tu? Je, ni kweli Yanga kuondoa viingolio kwa mashabiki wao wa mzunguuko kunashusha thamani Yao? Kweli wako watanzani wasiopenda msaada?

Mwisho wa juma sio mbali, panapo majaliwa simba, yanga na Tanzania tutapata darsa jipya kuhusu namna ya kuutazama, kuucheza, kuuchambua na kuushabikia mchezo wa mpira nchini.
wote wanaondoka
 
Tofauti ni moja wengine wamezoea kufika hatua ya robo wakati wengine ndio wageni hivyo Wana makelele mengi.
 
Mimi kama shabiki wa Yanga nimerelax sana, binafsi naona Yanga haina cha kupoteza nadhani hata mashabiki wengine hawana presha kubwa. Timu inajaribu kuvunja rekodi ya kuingia nusu fainali. Mimi nikiulizwa nani atasonga mbele Simba au Yanga, nitajibu Simba. Sababu ni Moja tu Simba nadhani wamechoka kufungwa na Al Ahly watapambana sana na huenda watatoboa.
Simba yenyewe kikosi hatuna
 
Mimi kama shabiki wa Yanga nimerelax sana, binafsi naona Yanga haina cha kupoteza nadhani hata mashabiki wengine hawana presha kubwa. Timu inajaribu kuvunja rekodi ya kuingia nusu fainali. Mimi nikiulizwa nani atasonga mbele Simba au Yanga, nitajibu Simba. Sababu ni Moja tu Simba nadhani wamechoka kufungwa na Al Ahly watapambana sana na huenda watatoboa.
Mashabiki hawachezi, wachezaji tunao? Simba iliyocheza robo final mara tatu ilikuwa Bora kuliko Simba hii. Simba hii ilishinda mechi moja TU makundi, Jwaneng walipuliziwa vitu visivyofahamika. Kama Simba waliweza kuroga uwanja wa Orlando ugenini watashindwaje kuroga kwa Mkapa nyumbani?
 
Simba moyo unataka kucheza nusu finali lakini quality yao inakataa katakata na wana mashaka nayo. Tumaini lao kuu huwa wanalielekeza kwa kocha Benchikha kwakuwa anao uzoefu mkubwa wa kucheza hizi za robo, nusu na finali za caf champions, lakini bahati mbaya Benchikha hataingia uwanjani kuzuia Simba isifungwe wala kuifanya simba kufunga magoli. Ukiwasikia mashabiki wa simba wengi wao hawasifii wachezaji wao tegemeo bali wanamsifia kocha Benchikha kuwa anajua kuzicheza hizi mechi. Wanasimba wana imani kubwa kuwa timu yao ni dhaifu lakini Al-Ahly nayo sasa hivi ni unga (dhaifu). Hii ni tofauti kabisa na wenzao Yanga.

Yanga mara zote kuelekea mechi yao na Mamelodi huwa wanasifia na kutegemea ubora wa wachezaji wao zaidi kuliko kocha wao gamondi. Ni rahisi kuwasikia mashabiki wa yanga kuelekea mechi yao na Mamelodi wakiwasifia sana wachezaji wao akina Pacome, yao, Aucho, Aziz, Mudathir, Nzengeli, Musonda, Mzize na wengine kuliko ubora na uzoefu wa Gamondi. Yanga wanaamini kuwa Mamelodi ni timu imara na tajiri lakini wachezaji wao wana uwezo wa kuifunga Mamelodi.

Wanamwamini zaidi mwalimu wao na wale wanawaamini zaidi wachezaji wao. wacha tusubiri.

Tofauti Yao nyingine ni Simba kuwaamisha wafuasi wao kuwa kulipiwa viingolio kuona mechi live bila malipo ni vibaya sana na Yanga wanawaaminisha wafuasi wao kuingia bila malipo kutawqfanya waende wengi uwanjani usiku na kushangilia timu yao..

Hapo ukweli ni upi? Je mashabiki wa Simba ni kweli hawataki kusaidiwa au viongozi wa Simba wanawasemea tu? Je, ni kweli Yanga kuondoa viingolio kwa mashabiki wao wa mzunguuko kunashusha thamani Yao? Kweli wako watanzani wasiopenda msaada?

Mwisho wa juma sio mbali, panapo majaliwa simba, yanga na Tanzania tutapata darsa jipya kuhusu namna ya kuutazama, kuucheza, kuuchambua na kuushabikia mchezo wa mpira nchini.
Ni Tanzania pekee timu iliyo nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi na ya tano afrika inaitwa timu dhaifu na ndio timu pekee inayoshikilia kombe rasmi (ngao ya jamii) kwa msimu husika ila inaitwa dhaifu hayo ni maajabu!
 
Ni Tanzania pekee timu iliyo nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi na ya tano afrika inaitwa timu dhaifu na ndio timu pekee inayoshikilia kombe rasmi (ngao ya jamii) kwa msimu husika ila inaitwa dhaifu hayo ni maajabu!
Timu ambayo imekosa ubingwa w ligi kwa miaka 2 mtawalia na kufungwa goli 5 kwenye ligi inayoendelea, licha ya kuishia robo final kila msimu. Actually, lazima Iko siku itagundulika kwanini wanafika robo lakini hawafiki nusu.
 
Kila la kheri Yanga.
Fainali yetu jumamosi.
Hatutaki kosakosa za Mzize na Ki Aziz, tunataka accuracy na magoli mengi maana tumeanza kuzoea mechi ya pili tunakamilisha ratiba tu!
Nyuma wacheze Nondo, Baka na Job, kuna quality inakosekana mmoja wao akiwa nje naona Gamondi hajashtukia hilo anapenda kumuweka nje Mwamnyeto na maboko tunayaona!! Ushauri umfikie walio karibu nae!!
 
nilikuwa namjibu yule anayesema simba wanafatilia zaidi mechi ya utopolo
Simba wanasahau uwezo wa okrah, Aziz ki, pacome, musonda, aucho, mudathir, lomalisa, Bacca, kibabage, Guede, job, nondo, Fred, Farid na Diara uwanjani. Ni Kweli kuwa Yanga na Simba zitafungwa zote kwenye weekend moja TU? Itakuwa aibu na msiba mkubwa kwa taifa, TFF na timu zetu.
 
Simba wanasahau uwezo wa okrah, Aziz ki, pacome, musonda, aucho, mudathir, lomalisa, Bacca, kibabage, Guede, job, nondo, Fred, Farid na Diara uwanjani. Ni Kweli kuwa Yanga na Simba zitafungwa zote kwenye weekend moja TU? Itakuwa aibu na msiba mkubwa kwa taifa, TFF na timu zetu.
Kila mtu apambane na Hali yake
 
Mpira sio ngono kwamba inachezwa chumbani,soka ni mchezo wa wazi unachezwa dimbani,tar 29 na 30 sio mbali..
 
wewe ndiye umekata tamaa, mpira ni dressing code ya dunia nzima, watu wana bet, wanachambua, wanaangalia mpira na wanashangilia mpira. ukijiona kuwa wewe ni tofauti na wale basi ujue umechanganyikiwa vibaya sana.
Kila siku kauli yake hiyo hiyo,afu bado yumo kwenye nyuzi za simba na yanga.
 
Simba moyo unataka kucheza nusu finali lakini quality yao inakataa katakata na wana mashaka nayo. Tumaini lao kuu huwa wanalielekeza kwa kocha Benchikha kwakuwa anao uzoefu mkubwa wa kucheza hizi za robo, nusu na finali za caf champions, lakini bahati mbaya Benchikha hataingia uwanjani kuzuia Simba isifungwe wala kuifanya simba kufunga magoli. Ukiwasikia mashabiki wa simba wengi wao hawasifii wachezaji wao tegemeo bali wanamsifia kocha Benchikha kuwa anajua kuzicheza hizi mechi. Wanasimba wana imani kubwa kuwa timu yao ni dhaifu lakini Al-Ahly nayo sasa hivi ni unga (dhaifu). Hii ni tofauti kabisa na wenzao Yanga.

Yanga mara zote kuelekea mechi yao na Mamelodi huwa wanasifia na kutegemea ubora wa wachezaji wao zaidi kuliko kocha wao gamondi. Ni rahisi kuwasikia mashabiki wa yanga kuelekea mechi yao na Mamelodi wakiwasifia sana wachezaji wao akina Pacome, yao, Aucho, Aziz, Mudathir, Nzengeli, Musonda, Mzize na wengine kuliko ubora na uzoefu wa Gamondi. Yanga wanaamini kuwa Mamelodi ni timu imara na tajiri lakini wachezaji wao wana uwezo wa kuifunga Mamelodi.

Wanamwamini zaidi mwalimu wao na wale wanawaamini zaidi wachezaji wao. wacha tusubiri.

Tofauti Yao nyingine ni Simba kuwaamisha wafuasi wao kuwa kulipiwa viingolio kuona mechi live bila malipo ni vibaya sana na Yanga wanawaaminisha wafuasi wao kuingia bila malipo kutawqfanya waende wengi uwanjani usiku na kushangilia timu yao..

Hapo ukweli ni upi? Je mashabiki wa Simba ni kweli hawataki kusaidiwa au viongozi wa Simba wanawasemea tu? Je, ni kweli Yanga kuondoa viingolio kwa mashabiki wao wa mzunguuko kunashusha thamani Yao? Kweli wako watanzani wasiopenda msaada?

Mwisho wa juma sio mbali, panapo majaliwa simba, yanga na Tanzania tutapata darsa jipya kuhusu namna ya kuutazama, kuucheza, kuuchambua na kuushabikia mchezo wa mpira nchini.
Wtf akili yako haina akili
 
Back
Top Bottom