Tofauti ya Simba na Yanga kuelekea mechi zao za robo fainali

Tofauti ya Simba na Yanga kuelekea mechi zao za robo fainali

Timu ambayo imekosa ubingwa w ligi kwa miaka 2 mtawalia na kufungwa goli 5 kwenye ligi inayoendelea, licha ya kuishia robo final kila msimu. Actually, lazima Iko siku itagundulika kwanini wanafika robo lakini hawafiki nusu.
No wonder mnaambiwa ubingwa wenu unamakandokando yaani unamdoubt mtu mwenye consistent miaka tano caf wakati wewe miaka 25 hujui kuingia makundi club bingwa ya caf maana yake nini.
 
yanga propaganda nyingi sana
Sio propaganda mkuu, Africa yote inajua kuwa Mamelodi wamepewa mpinzani sahihi kwao, hata mamelodi pia wanafahamu hivyo na hata TFF wana imani hiyohiyo kwa timu yake. Hata wewe unafahamu kuwa yanga ni mshindani halisi na halali wa mamelodi sundowns, mambo mengine ni propaganda tu.
 
Mimi kama shabiki wa Yanga nimerelax sana, binafsi naona Yanga haina cha kupoteza nadhani hata mashabiki wengine hawana presha kubwa. Timu inajaribu kuvunja rekodi ya kuingia nusu fainali. Mimi nikiulizwa nani atasonga mbele Simba au Yanga, nitajibu Simba. Sababu ni Moja tu Simba nadhani wamechoka kufungwa na Al Ahly watapambana sana na huenda watatoboa.
Hakika
 
Back
Top Bottom